Katika mechi zilizo cheza jana matokeo yake ni haya ususani katika bara la europer ndani ya England
Arsenal yamchapa Ports mouth 4 kwa 1
Arsenal~4
Ports mouth~1
Namchezo uliopishana nusu saa tu yani Man utd vs Wigan. pia wigan wapata kipondo toka kwa man utd 5 kwa mtungi kweli siku yakufa nyani miti yote huteleza wahenga usema.
MAN UTD~5
WIGAN~0
MWisho ya yote nihayo. Nakutakieni HAPPY NEW YEAR wadau.
Thursday, December 31, 2009
Monday, December 28, 2009
Akika Dunia! Matau,
Watu wengi wamemaliza vema sikukuu yao na pia twa subiri Happay New Year jana tulishudia Yanga yamtandika sofapaka 2 kwa 1 na ushindi kwenda kwa YANGA
NAHUKU ARSENAL VS A.VILLA
Arsenal yamchapa vill 3-0
arsenal-3
a.villa-0
NAHUKU ARSENAL VS A.VILLA
Arsenal yamchapa vill 3-0
arsenal-3
a.villa-0
Thursday, December 17, 2009
Matokeo yaliyo jili kwenye blog yeto europa!
Mh! Mchanange ulicheza na tim mashuhuri duniani tupate natokeo
Burnely kutoka sale na Arsenal
Burnely-1
Arsenal- 1
NAYE:Chelsea kumchapa Portsmouth 2 kwa 1 Chelsea-2
Portsmouth-1
NA Liver poor kumtandika Wigan 2 kwa 1
Liver poor-2
Wigan-1
Burnely kutoka sale na Arsenal
Burnely-1
Arsenal- 1
NAYE:Chelsea kumchapa Portsmouth 2 kwa 1 Chelsea-2
Portsmouth-1
NA Liver poor kumtandika Wigan 2 kwa 1
Liver poor-2
Wigan-1
Wednesday, December 16, 2009
Katika ulimwengu wa soka baran ulaya akika timwili lajana
Man Utd ya mpiga Wolves 3-0 bila jana Man wajiongeze pwent .
NA LEO IFIKAPO SAA 1:00 Atlanta vs Barcelona
NA PIA SAA 4:45 Chelsea vs Porsmo
Arsenal vs Burnel
NA LEO IFIKAPO SAA 1:00 Atlanta vs Barcelona
NA PIA SAA 4:45 Chelsea vs Porsmo
Arsenal vs Burnel
Tuesday, December 15, 2009
Juzi tu juma mosi Man utd ilipata kipigo toka katita tim pinzani wolf1-0
SASA LEO SAA 4:45
Man Utd vs Wolves
Bolton vs West ham
SASA LEO SAA 4:45
Man Utd vs Wolves
Bolton vs West ham
Sunday, December 13, 2009
Leo ndio leo asema kesho muongo!
Ni mbwe mbwe za unjani kama ilivyo aya sasa mdau tupate habari kamili. Ni Liver poor vs Arsenal
arsenal wapo ugenini .mpira umeanza kunako saa 1 :00 za East Africa. Katika dakika ya 11 torres nakosa bao kunako dakika ya 40 kipind cha kwanza kuyt mshambuliaji wa Liver anapata gori moja. Na kunako dakika ya 49 samir nasri anapata bao moja ni mshambuliaji wa Arsenal. Pia dakika ya 57 arsenal wana pata gor la 2 Arshavin anajipatia.Da! Yani uwezi amini mpaka mzezo unaisha Arsenal wanaongoza mabao 2
Liver poor-1
Arsenal-2
arsenal wapo ugenini .mpira umeanza kunako saa 1 :00 za East Africa. Katika dakika ya 11 torres nakosa bao kunako dakika ya 40 kipind cha kwanza kuyt mshambuliaji wa Liver anapata gori moja. Na kunako dakika ya 49 samir nasri anapata bao moja ni mshambuliaji wa Arsenal. Pia dakika ya 57 arsenal wana pata gor la 2 Arshavin anajipatia.Da! Yani uwezi amini mpaka mzezo unaisha Arsenal wanaongoza mabao 2
Liver poor-1
Arsenal-2
Usiku mkubwa da nime shudia vingi sana kwa usiku wa juma mosi kuamki juma pili
Mdau uwezi amini yani wengi wao wana furaha na wengi wao wana uzuni na palepale wana celebrate kwenye kumbi mbalimbali na hakika usku waleo wapenz wa man utd hawata usahau usku leo.Na katika kumbi za cinema walio shuhudi Aston villa kujipatia gori moko kwa tim pinzani Man utd nakutoka sifuri akika man wali kosa magori zaid ya 9. Nasiku kama ya leo hatuto weza kupata tena itatokea lakin tarehe si kama yaleo na mwaka si kama wa leo the gud day
Friday, December 11, 2009
LIGI KUU BARAN UROPA USUSAN NCHIN ENGLAND JUMAMOSI 12/DEC/2009
Birmingham vs Westham *Bolton vs Man city *Burnley vs Fullham *Chelsea vs Everton *Hall vs Black barn *Man utd vs Aston vill *Stoke vs Wigan
Wednesday, December 9, 2009
Kama tulivo shuhudia Man utd 3-o wor
na huku realmadrid3-1maselle
Na tukirudi leo katika kombe la cecafa africa
ifikapo saa 9:00
zanzibar
vs
uganda
Tukirudi baran ueropa!
Ifikapo saa 4:45za afrika mashariki
Arsenal
vs
Olimpic
Barcelona
vs
Dynamukiv
na huku realmadrid3-1maselle
Na tukirudi leo katika kombe la cecafa africa
ifikapo saa 9:00
zanzibar
vs
uganda
Tukirudi baran ueropa!
Ifikapo saa 4:45za afrika mashariki
Arsenal
vs
Olimpic
Barcelona
vs
Dynamukiv
9/dec/2009 sherehe ya miaka 48 ya uhuru
Kama una vyo som mdau watu wame fana na mpaka sasa wananchi wanaonge zeka kungia ndan ya uwanja wa uhuru
Tuesday, December 8, 2009
Tukirudi baran la ulopa!
Ususani Europer leo ifikapo saa 4:45
Man utd
vs
Wolfsrug
Maselle
vs
Realmadrid
kitakacho toke kataka mech hiz jaribu kufatiria blog hii mdau tupo pamoja
Man utd
vs
Wolfsrug
Maselle
vs
Realmadrid
kitakacho toke kataka mech hiz jaribu kufatiria blog hii mdau tupo pamoja
Wadau nyote karibuni uwanja wetu wa uhuru maana naona shamlashamla ...!!!
panapo majaliwa yake mola kesho tarehe 9/dec/2009 watanzania wote wanayo furaha yakuwaali wageni wote wa nje ya nch kuwa kutakuwa na sherehe ya kusherekea miaka 48 ya uhuru so wageni wote mnakaribishwa na watanzania wote kinacho jili nitawatarifu wote wadau
Monday, December 7, 2009
Nimengi yaliyo tokea anga za kimataifa ususani america
Yule mcheza mieleka wa marekani anakwenda kwa jina la umaga Amefariki dunia ukitaka habari zaidi ingia hapa www.wwe.com
Tuesday, December 1, 2009
money 4 nothing!!!!!!

There is no doubt that money talks loudly in soccer. But for Real Madrid, the almighty Euro is not flexing its vocal chords as much as the club would like right now.
Watching hated rival Barcelona win an unprecedented Treble while struggling both domestically and in Europe was a bitter pill to swallow for Real. The humiliating experience prompted a glut of summer spending at the Bernabeu, with Cristiano Ronaldo, Kaka and Karim Benzema all arriving in blockbuster transfer moves.
Watching hated rival Barcelona win an unprecedented Treble while struggling both domestically and in Europe was a bitter pill to swallow for Real. The humiliating experience prompted a glut of summer spending at the Bernabeu, with Cristiano Ronaldo, Kaka and Karim Benzema all arriving in blockbuster transfer moves.
Friday, November 27, 2009
NAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NA WEEKEND NJEMA MDAU
PANAPO MAJALIWA YA MWENYEZI MUNGU KESHO SIKUKU NDUGU ZANGU WOTE WAISLAM SALUYA44 INAKUTAKIA IDD ALL-KHAJI NZURI KABISA NA WEEK END NJEMA.. SINA MENGI KWA WADAU WANGU.Saturday, November 14, 2009
TARIFA ILIYOTUFIA KATIKA BLOG YETU YA MICHEZO MCHAKAMCHAKA WA KUTINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA 2010 IYOOO!!!
Afrika kujua leo Nchi 3 zitakazoungana na Wenyeji Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast Fainali!!!
Afrika kujua leo Nchi 3 zitakazoungana na Wenyeji Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast Fainali!!!Wakati Bara la Afrika leo linategemewa kuzipata Nchi 3 zitazojumuika na Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini kuanzia Juni 11 mwakani, Mabara ya Ulaya na Marekani leo wanacheza mechi zao za kwanza na kurudiana Jumatano Novemba 18 ili kupata washindi wakatakaoenda Fainali.Kwa Afrika, Timu zinazogombea Nafasi hizo 3 ni ama Cameroun au Gabon toka KUNDI A, Tunisia au Nigeria toka KUNDI B, Misri au Algeria toka KUNDI C.
RATIBA:
Afrika
Novemba 14
Mozambique v Tunisia
Togo v Gabon
Morocco v Cameroun
Rwanda v Zambia
Kenya v Nigeria
Burkina Faso v Malawi
Ivory Coast v Guinea
Egypt v Algeria
Sudan v Benin
Novemba 15
Ghana v Mali
Marekani
Novemba 14
Costa Rica v Uruguay
Ulaya
Novemba 14
Urusi v Slovenia
Republic of Ireland v Ufaransa
Greece v Ukraine
Ureno v Bosnia-Herzegovina.
Tuesday, November 10, 2009
Da.!!FA yajaribu kumpa onyo Rooney kwa kauli: "MTU 12 MTU 12' aliyoitoa baada ya mechi ya Chelsea juzi!!!

wayne rooney
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney amepewa onyo na FA, Chama cha Soka England, na ametakiwa achunge mwenendo wake wa baadae baada ya kunaswa akipiga kelele kwenye Kamera ya TV 'MTU 12!! MTU 12!!', akimaanisha Refa kawabeba Chelsea, mara tu baada ya mechi ya Ligi Kuu jana kumalizika huko Stamford Bridge kwa Chelsea kuifunga Man U 1-0 kwa goli la utata.Pia FA imesema Meneja wa Manchester United, Sir Alex Ferguson, hana hatia baada ya kutamka maamuzi ya Refa Martin Atkinson yalikuwa ni upuuzi wa hali ya juu na pia kusema maamuzi kama hayo yanawafanya watu wakose imani kwa Marefa. Kwa sasa Ferguson yupo matatani na FA akikabiliwa na kesi inayosubiri uamuzi baada ya kushitakiwa mwezi Oktoba pale alipodai Refa Alan Wiley hayuko fiti kuchezesha mara tu baada ya mechi kati ya Man U na Sunderland kwisha dro 2-2.
Sunday, November 8, 2009
Boss Wa England Fabio Capello Ajalibu Kuwaonya Majeruhi!!!
Yule Boss wa England, Fabio Capello, amesema Kikosi chake hakina nafasi kwa Mchezaji ambae hayuko fiti na wasitegemea watachukuliwa kwenda Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini Juni mwakani ikiwa hawakuthibitisha uimara wao.Capello anategemewa kutangaza Kikosi chake kitakachocheza mechi ya kirafiki na Brazil Jumamosi tarehe 14 Novemba 2009 huko Doha, Qatar muda wowote leo.Capello amemzungumzia Rio Ferdinand na kusema ikiwa atakuwa fiti kabla hajateua Kikosi chake cha mwisho basi ataenda nae Afrka Kusini lakini ameonya kuwa Ledley King, Beki wa Tottenham, na Kipa David James wana mashaka makubwa kutokana na kuwa majeruhi.Kuhusu David James, Capello alisema: "James anacheza vizuri lakini tangu aumie akicheza mechi baadae hawezi kufanya mazoezi siku mbili.Jinsi Nilivyomuumba Mke Ninayemtaka"
Dokta Reza Vossough alichukia maumbile ya mwanamke aliyetaka kumuoa lakini aliamua kumuoa ili amfanyie operesheni kibao za kubadilisha maumbile yake awe kama alivyopenda yeye mke wake awe.


Daktari wa operesheni za urembo za kurekebisha maumbile wa nchini Ujerumani Reza Vossough, amejitamba jinsi alivyomuoa mwanamke asiye na mvuto wowote na kumfanyia operesheni kila kona ya mwili wake kumgeuza mwanamke mwenye mvuto kwa jinsi alivyotaka yeye. Pichani Cany Vossough alivyo sasa baada ya operesheni kibao za kurekebisha maumbile yake. Gonga Life Style Pembeni kushoto kusoma habari kamili.
Subscribe to:
Posts (Atom)
