Thursday, December 31, 2009

Haya funga mwaka na....!!!

Katika mechi zilizo cheza jana matokeo yake ni haya ususani katika bara la europer ndani ya England
Arsenal yamchapa Ports mouth 4 kwa 1
Arsenal~4
Ports mouth~1
Namchezo uliopishana nusu saa tu yani Man utd vs Wigan. pia wigan wapata kipondo toka kwa man utd 5 kwa mtungi kweli siku yakufa nyani miti yote huteleza wahenga usema.
MAN UTD~5
WIGAN~0
MWisho ya yote nihayo. Nakutakieni HAPPY NEW YEAR wadau.

Monday, December 28, 2009

Akika Dunia! Matau,

Watu wengi wamemaliza vema sikukuu yao na pia twa subiri Happay New Year jana tulishudia Yanga yamtandika sofapaka 2 kwa 1 na ushindi kwenda kwa YANGA
NAHUKU ARSENAL VS A.VILLA
Arsenal yamchapa vill 3-0
arsenal-3
a.villa-0

Thursday, December 17, 2009

Matokeo yaliyo jili kwenye blog yeto europa!

Mh! Mchanange ulicheza na tim mashuhuri duniani tupate natokeo
Burnely kutoka sale na Arsenal
Burnely-1
Arsenal- 1
NAYE:Chelsea kumchapa Portsmouth 2 kwa 1 Chelsea-2
Portsmouth-1
NA Liver poor kumtandika Wigan 2 kwa 1
Liver poor-2
Wigan-1

Wednesday, December 16, 2009

Katika ulimwengu wa soka baran ulaya akika timwili lajana

Man Utd ya mpiga Wolves 3-0 bila jana Man wajiongeze pwent .
NA LEO IFIKAPO SAA 1:00 Atlanta vs Barcelona
NA PIA SAA 4:45 Chelsea vs Porsmo
Arsenal vs Burnel

Tuesday, December 15, 2009

Juzi tu juma mosi Man utd ilipata kipigo toka katita tim pinzani wolf1-0
SASA LEO SAA 4:45
Man Utd vs Wolves
Bolton vs West ham

Sunday, December 13, 2009

Leo ndio leo asema kesho muongo!

Ni mbwe mbwe za unjani kama ilivyo aya sasa mdau tupate habari kamili. Ni Liver poor vs Arsenal
arsenal wapo ugenini .mpira umeanza kunako saa 1 :00 za East Africa. Katika dakika ya 11 torres nakosa bao kunako dakika ya 40 kipind cha kwanza kuyt mshambuliaji wa Liver anapata gori moja. Na kunako dakika ya 49 samir nasri anapata bao moja ni mshambuliaji wa Arsenal. Pia dakika ya 57 arsenal wana pata gor la 2 Arshavin anajipatia.Da! Yani uwezi amini mpaka mzezo unaisha Arsenal wanaongoza mabao 2
Liver poor-1
Arsenal-2

Usiku mkubwa da nime shudia vingi sana kwa usiku wa juma mosi kuamki juma pili

Mdau uwezi amini yani wengi wao wana furaha na wengi wao wana uzuni na palepale wana celebrate kwenye kumbi mbalimbali na hakika usku waleo wapenz wa man utd hawata usahau usku leo.Na katika kumbi za cinema walio shuhudi Aston villa kujipatia gori moko kwa tim pinzani Man utd nakutoka sifuri akika man wali kosa magori zaid ya 9. Nasiku kama ya leo hatuto weza kupata tena itatokea lakin tarehe si kama yaleo na mwaka si kama wa leo the gud day

Friday, December 11, 2009

LIGI KUU BARAN UROPA USUSAN NCHIN ENGLAND JUMAMOSI 12/DEC/2009

Birmingham vs Westham *Bolton vs Man city *Burnley vs Fullham *Chelsea vs Everton *Hall vs Black barn *Man utd vs Aston vill *Stoke vs Wigan

Wednesday, December 9, 2009

Kama tulivo shuhudia Man utd 3-o wor
na huku realmadrid3-1maselle
Na tukirudi leo katika kombe la cecafa africa
ifikapo saa 9:00
zanzibar
vs
uganda
Tukirudi baran ueropa!
Ifikapo saa 4:45za afrika mashariki
Arsenal
vs
Olimpic
Barcelona
vs
Dynamukiv

9/dec/2009 sherehe ya miaka 48 ya uhuru

Kama una vyo som mdau watu wame fana na mpaka sasa wananchi wanaonge zeka kungia ndan ya uwanja wa uhuru

Tuesday, December 8, 2009

Tukirudi baran la ulopa!

Ususani Europer leo ifikapo saa 4:45
Man utd
vs
Wolfsrug

Maselle
vs
Realmadrid
kitakacho toke kataka mech hiz jaribu kufatiria blog hii mdau tupo pamoja

Wadau nyote karibuni uwanja wetu wa uhuru maana naona shamlashamla ...!!!

panapo majaliwa yake mola kesho tarehe 9/dec/2009 watanzania wote wanayo furaha yakuwaali wageni wote wa nje ya nch kuwa kutakuwa na sherehe ya kusherekea miaka 48 ya uhuru so wageni wote mnakaribishwa na watanzania wote kinacho jili nitawatarifu wote wadau

Monday, December 7, 2009

Nimengi yaliyo tokea anga za kimataifa ususani america

Yule mcheza mieleka wa marekani anakwenda kwa jina la umaga Amefariki dunia ukitaka habari zaidi ingia hapa www.wwe.com

Tuesday, December 1, 2009

money 4 nothing!!!!!!


There is no doubt that money talks loudly in soccer. But for Real Madrid, the almighty Euro is not flexing its vocal chords as much as the club would like right now.
Watching hated rival Barcelona win an unprecedented Treble while struggling both domestically and in Europe was a bitter pill to swallow for Real. The humiliating experience prompted a glut of summer spending at the Bernabeu, with Cristiano Ronaldo, Kaka and Karim Benzema all arriving in blockbuster transfer moves.

Friday, November 27, 2009

WADAU WOOTE................!!!!!!!!!!!!!!!


DA! TUPO PAMOJA WADAU KATIKA IDD ALL- KHAJI

NAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NA WEEKEND NJEMA MDAU

PANAPO MAJALIWA YA MWENYEZI MUNGU KESHO SIKUKU NDUGU ZANGU WOTE WAISLAM SALUYA44 INAKUTAKIA IDD ALL-KHAJI NZURI KABISA NA WEEK END NJEMA.. SINA MENGI KWA WADAU WANGU.

Saturday, November 14, 2009

TARIFA ILIYOTUFIA KATIKA BLOG YETU YA MICHEZO MCHAKAMCHAKA WA KUTINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA 2010 IYOOO!!! Afrika kujua leo Nchi 3 zitakazoungana na Wenyeji Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast Fainali!!!
Wakati Bara la Afrika leo linategemewa kuzipata Nchi 3 zitazojumuika na Afrika Kusini, Ghana na Ivory Coast Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini kuanzia Juni 11 mwakani, Mabara ya Ulaya na Marekani leo wanacheza mechi zao za kwanza na kurudiana Jumatano Novemba 18 ili kupata washindi wakatakaoenda Fainali.Kwa Afrika, Timu zinazogombea Nafasi hizo 3 ni ama Cameroun au Gabon toka KUNDI A, Tunisia au Nigeria toka KUNDI B, Misri au Algeria toka KUNDI C.
RATIBA:
Afrika
Novemba 14
Mozambique v Tunisia
Togo v Gabon
Morocco v Cameroun
Rwanda v Zambia
Kenya v Nigeria
Burkina Faso v Malawi
Ivory Coast v Guinea
Egypt v Algeria
Sudan v Benin
Novemba 15
Ghana v Mali
Marekani
Novemba 14
Costa Rica v Uruguay
Ulaya
Novemba 14
Urusi v Slovenia
Republic of Ireland v Ufaransa
Greece v Ukraine
Ureno v Bosnia-Herzegovina.


Tuesday, November 10, 2009

Da.!!FA yajaribu kumpa onyo Rooney kwa kauli: "MTU 12 MTU 12' aliyoitoa baada ya mechi ya Chelsea juzi!!!
wayne rooney
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney amepewa onyo na FA, Chama cha Soka England, na ametakiwa achunge mwenendo wake wa baadae baada ya kunaswa akipiga kelele kwenye Kamera ya TV 'MTU 12!! MTU 12!!', akimaanisha Refa kawabeba Chelsea, mara tu baada ya mechi ya Ligi Kuu jana kumalizika huko Stamford Bridge kwa Chelsea kuifunga Man U 1-0 kwa goli la utata.Pia FA imesema Meneja wa Manchester United, Sir Alex Ferguson, hana hatia baada ya kutamka maamuzi ya Refa Martin Atkinson yalikuwa ni upuuzi wa hali ya juu na pia kusema maamuzi kama hayo yanawafanya watu wakose imani kwa Marefa. Kwa sasa Ferguson yupo matatani na FA akikabiliwa na kesi inayosubiri uamuzi baada ya kushitakiwa mwezi Oktoba pale alipodai Refa Alan Wiley hayuko fiti kuchezesha mara tu baada ya mechi kati ya Man U na Sunderland kwisha dro 2-2.

Sunday, November 8, 2009

Boss Wa England Fabio Capello Ajalibu Kuwaonya Majeruhi!!!

Yule Boss wa England, Fabio Capello, amesema Kikosi chake hakina nafasi kwa Mchezaji ambae hayuko fiti na wasitegemea watachukuliwa kwenda Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini Juni mwakani ikiwa hawakuthibitisha uimara wao.Capello anategemewa kutangaza Kikosi chake kitakachocheza mechi ya kirafiki na Brazil Jumamosi tarehe 14 Novemba 2009 huko Doha, Qatar muda wowote leo.Capello amemzungumzia Rio Ferdinand na kusema ikiwa atakuwa fiti kabla hajateua Kikosi chake cha mwisho basi ataenda nae Afrka Kusini lakini ameonya kuwa Ledley King, Beki wa Tottenham, na Kipa David James wana mashaka makubwa kutokana na kuwa majeruhi.Kuhusu David James, Capello alisema: "James anacheza vizuri lakini tangu aumie akicheza mechi baadae hawezi kufanya mazoezi siku mbili.

Jinsi Nilivyomuumba Mke Ninayemtaka"

Dokta Reza Vossough alichukia maumbile ya mwanamke aliyetaka kumuoa lakini aliamua kumuoa ili amfanyie operesheni kibao za kubadilisha maumbile yake awe kama alivyopenda yeye mke wake awe.







Daktari wa operesheni za urembo za kurekebisha maumbile wa nchini Ujerumani Reza Vossough, amejitamba jinsi alivyomuoa mwanamke asiye na mvuto wowote na kumfanyia operesheni kila kona ya mwili wake kumgeuza mwanamke mwenye mvuto kwa jinsi alivyotaka yeye. Pichani Cany Vossough alivyo sasa baada ya operesheni kibao za kurekebisha maumbile yake. Gonga Life Style Pembeni kushoto kusoma habari kamili.






lil Wayne At The Miami Heat game with


got some pictures of Lil Wayne at the Miami Heat verses Denver Nuggets game with Common. You can see some photo this:

Saturday, October 31, 2009

NILIVYO ONA NILISHTUKA NIKA SEMA SIWEZI KUSITAJABU MIMI KUNA WADAUS






Mwanamke Ameza Uma na Vijiko 78Seti ya vijiko na uma vilivyotolewa toka kwenye tumbo lake

Uma ukitolewa toka kwenye tumbo lake wakati wa operesheni pembeni kulia ni baadhi ya vijiko na uma vilitolewa toka kwenye tumbo lake.

Madaktari nchini Ujerumani ilibidi wamfanyie operesheni ya dharura mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Margaret Daalman ambaye alikuwa akimeza vijiko na uma kila alipokuwa akila kwa muda mrefu kiasi cha kwamba jumla ya vijiko na uma 78 vilitolewa toka kwenye tumbo lake. Pichani Lundo la vijiko na uma vikiwa vimekusanyika kwenye tumbo lake. GONGA LIFE STYLE kwa habari zaidi.

Arsenal wawatoa nishai jirani zao Tottenham!!Arsenal 3 Tottenham 0

Katika dabi ya Timu za Kaskazini ya London, Arsenal wakiwa kwao Emirates Stadium waliwapiga Tottenham mabao 3-0 kwenye mechi ya Ligi Kuu iliyoanza mapema kuliko mechi nyingine za leo Jumamosi Oktoba 31.Mpaka mapumziko Arsenal walikuwa mbele kwa bao 2-0 kwa mabao yaliyofungwa ndani ya dakika moja katika dakika ya 43 Mfungaji akiwa Van Persie na la pili sekunde chache baadae kwa bao zuri sana la Nahodha Fabregas. Bao la 3 alifunga Van Persie.Vikosi:Arsenal: Almunia, Sagna, Gallas, Vermaelen, Clichy, Fabregas, Song Billong, Diaby, Bendtner, van Persie, Arshavin. AKIBA: Mannone, Senderos, Nasri, Eduardo, Ramsey, Eboue, Gibbs. Tottenham: Gomes, Corluka, King, Bassong, Assou-Ekotto, Bentley, Huddlestone, Palacios, Jenas, Keane, Crouch. AKIBA: Button, Hutton, Bale, Pavlyuchenko, Dawson, Kranjcar, Woodgate. Refa: Mark Clattenburg .

Monday, October 26, 2009

Milan certain of Beckham deal


David Bekham.
AC Milan vice-president Adriano Galliani is "100% certain" David Beckham will return to the San Siro outfit in the winter transfer market.
The England midfielder has been strongly linked with a second loan spell at the Rossoneri to improve his chances of making Fabio Capello's FIFA World Cup™ squad.
Galliani told the Italian media: "Beckham's arrival is certain to happen, 100%. The agreement is done and all that is missing are the signatures."
The 34-year-old Beckham returned to the Los Angeles Galaxy in the summer after a successful six-month loan spell with Milan, where he helped the Rossoneri finish fourth in Serie A with two story by
www.fifa.com

Lil Wayne – Run This Town [No Ceilings]


Holy shit, this is some sick Lil Wayne right here! Weezy goes in over Jay-Z’s “Run This Town” beat and absolutely murders it! This track is also from the No Ceilings mixtape which is dropping in 6 .

Wednesday, October 21, 2009

Fergie asusa Mkutano na Waandishi baada ya swali kuhusu Refa Wiley!!

Meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson aligoma kuendelea na mkutano wa Waandishi wa Habari uliokuwa ukifanyika Uwanjani Luzhniki huko Moscow, Urusi baada ya kuulizwa swali kuhusu kesi yake na FA iliyotokana na kauli yake kuwa Refa Alan Wiley hayuko fiti.Ferguson amepewa na FA mpaka Novemba 3 kuwasilisha utetezi wake kuhusu mashitaka yanayohusiana na kesi hiyo.Baada ya kuulizwa swali kuhusu Refa Alan Wiley, Ferguson aliinuka na kutoka chumba cha mahojiano baada ya kutamka: “Swali la kipumbavu na halipati jibu! Nipo kwenye mkutano huu kuhusu mechi na CSKA Moscow!”
NI USIKU WA MAAJABU ULIKUWA JANA BARANI ULAYA!!!
MASKINI: Liverpool ni vipigo mfululizo!!!! Barca waaibishwa Nou Camp!!!
echi za jana za UEFA CHAMPIONS LEAGUE zimeleta matokeo yasiyotarajiwa na magoli bwelele huku ajabu kubwa ni pale Warusi Rubin Kazan walipowakung’uta Mabingwa Watetezi wa Ulaya FC Barcelona kwa bao 2-1 tena wakiwa nyumbani kwao Nou Camp.

Liverpool wameendelea kupata vipigo mfululizo ingawa jana sio puto ndio liliwafunga bali ni goli la dakika za majeruhi wakiwa kwenye ngome yao Anfield na pia kupata athari kubwa pale mhimili wao na Nahodha wao Steven Gerrard kucheza dakika 25 tu za mwanzo na kulazimika kutoka baada ya kuumia.
Matokeo ya mechi ya jana ambayo Liverpool alifungwa 2-1 na Lyon ya Ufaransa yamedhihirisha ile imani ya wengi kuwa Liverpool bila Gerrard na Torres ni nyanya tu. Jana Torres hakucheza kabisa.
Sasa, baada ya vipigo mfululizo, Jumapili kwenye Ligi Kuuu, Liverpool wanawakaribisha Mahasimu wao wakubwa Manchester United na hilo linawatia homa Mashabiki wa Liverpool.
Arsenal wakiwa ugenini huko Uholanzi na huku wakiongoza bao 1-0 walilazimishwa sare ya 1-1 na AZ Alkmaar.
Rangers ya Scotland iliadhiriwa vibaya ikiwa nyumbani baada ya kuchapwa bao 4-1 na Unirea Urziceni.
Sevilla, baada ya mechi 3 tu, wameweka rekodi huko Ulaya baada ya kufuzu kusonga mbele Raundi nyingine baada ya mechi 3 tu.
Matokeo kamili mechi za jana Jumanne, Oktoba 20:
KUNDI E
Liverpool 1 Lyon 2
Debrecen 3 Fiorentina 4
KUNDI F
Inter Milan 2 Dynamo Kiev 2
Barcelona 1 Rubin Kazan 2
KUNDI G
Stuttgart 1 Sevilla 3
Rangers 1 Unirea Urziceni 4
KUNDI H
AZ Alkmaar 1 Arsenal 1
Olympiakos 2 Standard Liege 1

Monday, October 12, 2009

Big Brother Revolution: Images from Day 35 - SUNDAY OCTOBER 11


Day 35 on M-Net’s Big Brother was all action on the Sunday show with the evictions of Hannington and Yacob PLUS the exit of SuperSport celebrity guest Thomas Mlambo AND a performance by Kenya’s award-winning star Amani. Tune in to Big Brother Revolution on DStv channel 198 or 199 for more entertainment 24/7 live. For more information log on to Pictured here are Elizabeth and Kevin.

Sunday, October 11, 2009

Wenger alicho ambiwa unakijua? "Wenger muda wa kusubiri umekwisha, leta Kombe Emirates"!!!


Arsene Wenger amejulishwa na Wamiliki wa Arsenal kuwa wamechoka kusubiri na msimu huu hamna subira na wanataka kuona Kombe linatua Uwanjani Emirates.Tangu wachukue Kombe la FA mwaka 2005, Arsenal hawajanyakua tena Kombe lolote lile ingawa kosakosa ni nyingi na wana Kikosi cha Vijana wanaotandaza ‘Soka Tamu’ linalovutia Ulaya nzima.Mkurugenzi Mtendaji wa Arsenal, Ivan Gazidis, amesema: “Ni lengo letu kuchukua Kikombe msimu huu! Kumaliza nafasi ya pili, tatu au nne si bora kwetu! Tuna imani tuna Kikosi kizuri!”Gazidis, mwenye asili ya Afrika Kusini, aliingizwa kwenye Bodi ya Wakurugenzi ya Arsenal Novemba 2008, amesisitiza kuwa ingawa Soka ni biashara kubwa haiweze kusahaulika kuwa Arsenal wapo hapo kwa ajili ya Mashabiki wao ambao hawajali Mahesabu mazuri ya Fedha bali hutaka ushindi uwanjani

Saturday, October 10, 2009

Ronaldo na Rooney Wataniana!!


Fowadi wa England, Wayne Rooney, ambae Timu yake ishafuzu kuingia Fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini mwakani huku wakiwa wamebakisha mechi mbili amesema atafurahi sana ikiwa Cristiano Ronaldo na Ureno yake watashindwa kwenda Fainali hizo.Ureno iko hatarini kuzikosa Fainali hizo na wako nafasi ya 3 Kundini mwao pointi 2 nyuma ya Sweden walio nafasi ya pili huku Denmark akiongoza Kundi hilo.Rooney alisema: “Katika Kombe la Dunia mwaka 2006 Ureno walitung’oa Robo Fainali na mie nilipewa Kadi Nyekundu! Na tulipotolewa EURO 2008 Ronaldo alitucheka sana tulipokuwa nae Manchester United! Sasa bora wao wasiende Afrika Kusini!”Ronaldo alipoulizwa kuhusu kauli
ya Rooney alijibu kuwa anadhani rafiki yake huyo anawatania tu.

Fergie amwomba msamaha Refa Wiley

Bosi wa Manchester United Sir Alex Ferguson ameomba msamaha kwa Refa Alan Wiley kwa kauli yake kwamba Refa huyo hayuko ‘fiti’ kuchezesha mechi kauli aliyoitoa mara baada ya mechi ya Ligi Kuu ya Manchester United na Sunderland iliyoisha 2-2 huko Old Trafford wikiendi iliyokwisha.Mara baada ya kauli hiyo ya Sir Alex Ferguson, FA, Chama cha Soka England, kilimwandikia barua Ferguson kumtaka ajieleze. Taarifa iliyotoka kwenye tovuti ya Manchester United imemkariri Ferguson akisema: “Naomba msamaha kwa Bw. Wiley kwa kumfedhehesha na kwa FA kwa kutoa mawazo yangu hadharani. Haikuwa nia yangu kumfanya Bw. Wiley amulikwe na Waandishi wa Habari. Nia yangu ni kukutana nae na kumwomba msamaha uso kwa uso mara nitakaporudi safari yangu nje ya Nchi.”Ferguson aliongeza kwamba anamheshimu Refa Wiley na kauli yake haikumaanisha:-Wiley ni Refa mbaya.-Wiley anapendelea.-Uamuzi wake kwenye mechi ile ulikuwa dhaifu.-Kwamba alipitwa na matukio muhimu kwenye mechi ile.Mara baada ya Ferguson kusema maneno kwamba Wiley ‘hayuko fiti’ mjadala na mzozo mkubwa uliibuka kwenye Vyombo vya Habari huko England
Daa!! Rio asema akiachwa Fainali Kombe la Dunia akiwa sio fiti halalamiki!!
Rio Ferdinand amesema akiikosa Fainali ya Kombe la Dunia mwakani kwa sababu hayuko fiti au ni majeruhi hawezi kulalamika kwa sababu Meneja wa sasa hajali majina bali huchagua Wachezaji fiti tu na walio kwenye fomu tu.Rio amezungumzia hilo hasa kwa vile yeye kwa sasa anasakamwa na majeruhi mfululizo yaliyomfanya katika mwaka huu acheze mechi 26 kati ya 40 angezoweza kuchezea Klabu yake Manchester United na England.Rio, atakaetimiza miaka 30 mwezi ujao, amesema: “Capello ni mkweli! Ameweka bayana anachagua mtu akiwa fiti na kwenye fomu tu na sio jina! Maishani sijaandamwa na majeruhi kama sasa! Na si tatizo moja tu linalonisumbua! Msimu uliokwisha niliumia mgongo, msimu huu nimeumia musuli nyuma ya ugoko na kisha musuli pajani! Ni vitu tofauti na sasa nafanyiwa mazoezi ili kujifua nisipate matatizo ya aina hii!”Rio Ferdinand anategemewa kucheza mechi ya leo ya Kombe la Dunia ugenini na Ukraine.

Thursday, October 8, 2009

WADAU BONGO STAR SEARCH WATANGAZA ZAWADI!!!


Mkurugenzi wa Benchmark Production Rita Paulson(katikati)akiongea na waandishi wa habari juu ya kutangaza zawadi kwa washindi wa Bongo Star search(BSS)(kushoto)Brand Manager wa Kilimanjaro George Kavishe(kulia)Meneja Udhamini wa Vodacom Tanzania Emillian Rwejuna.Mashindano haya yatafanyika Diamond Jubilee Jumanne ijayo.

HABARI ZAIDI INGIA HAPA- http://www.fullshangwe.blogspot.com/
EBANAWEEE LISTI YA MAMENEJA MATAJIRI ENGLAND YATAJWA...?
Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Manchester United, Roy Keane, ambae sasa ni Meneja wa Timu inayosuasua mkiani Daraja la Coca Cola Championship, Ipswich Town, anashikilia nafasi ya pili katika Listi ya Mameneja Matajiri huko England.Roy Keane amethaminiwa kuwa na utajiri wa Pauni Milioni 27.Anaeshika nambari wani ni Fabio Capello mwenye Pauni Milioni 30.Sir Alex Ferguson wa Manchester United ni wa tatu akiwa na Pauni Milioni 22.Listi ya Mameneja Matajiri 10 ni:
-Fabio Capello [England] Pauni Milioni 30-Roy Keane [Ipswich] Pauni Milioni 27-Sir Alex Ferguson [Manchester United] Pauni Milioni 22-Carlo Ancelotti [Chelsea] 17-Sven-Goran Eriksson [Notts County]-Arsene Wenger [Arsenal] 15-Harry Redknapp [Tottenham] 10-Rafael Benitez [Liverpool] 9-Martin O’Nell [Aston Villa] 9-Mark Hughes [Man City] 8

FIFA yairuhusu Man U kumsajili Kinda Pogba!!!

Pogba
Manchester United imeruhusiwa na FIFA kumsajili Kijana mdogo wa miaka 16 Paul Pogba baada ya Klabu ya Ufaransa Le Havre awali kuweka pingamizi kuwa Man U imempora Mchezaji huyo.Mwezi Septemba Chelsea ilifungiwa na FIFA kwa kumrubuni na kumsaini kinyume cha sheria Gael Kakuta mwaka 2007 na hivyo kupewa adhabu ya kutosajili Mchezaji yeyote hadi 2011.Lakini Jaji aliyeteuliwa na FIFA kuipitia kesi ya Le Havre na Manchester United kuhusu Paul Pogba aliamua kuwa kwa sababu Pogba ni mdogo haiwezekani kisheria Le Havre wawe na mkataba na Pogba kuichezea Klabu hiyo ya Ufaransa kama Mchezaji wa Kulipwa.Uamuzi huo wa FIFA umewaruhusu Manchester United kumsajili Pogba kwenye Chuo chao cha Soka.Mwezi uliokwisha Manchester United iliwatishia kuwashitaki Le Havre kwa kuwachafulia jina lao kwa madai kuwa wamemwiba Pogba.

FIFA U-20 WORLD CUP EGYPT 2009

Ebana wa FIFA U-20 WORLD CUP EGYPT 2009
Brazil, UAE na Germany zajikita Robo Fainali!!
MATOKEO MECHI ZA JANA
Jumatano, Oktoba 7
:Brazil 3 v Uruguay 1
Venezuela 1 v UAE 2
Germany 3 v Nigeria 2
ROBO FAINALI:09/10/09:
South Korea v Ghana 09/10/09
: Italy v Hungary 10/10/09
: Brazil v Germany 10/10/09
: UAE v Costa Rica

Tuesday, October 6, 2009

msani wa Bongo afanya vitu vyake ndani ya Big Brother

Ana kwenda kwa jina la A.Y kutoka viwanja vya bongo


Mmiliki wa Liverpool George Gillett amlaumu Rafael Benítez kwa matokeo mabaya!!!

George Gillett
George Gillett, mmoja wa Wamarekani wawili ambao ndio Wamiliki wa Liverpool amedai Rafael Benitez ndie alaumiwe kwa matokeo mabaya ya Liverpool ambao juzi walifungwa na Chelsea mabao 2-0 kwenye Ligi Kuu. Gillett amedai yeye na Mmiliki mwenzake Tom Hicks wametoa dau la kutosha kuifanya Liverpool ipate Wachezaji bora na kuhakikisha mafanikio lakini kama hilo linaonekana haliwezekani basi wa kulaumiwa ni Benitez.Gillettte amesema: “Sisi tumewekeza pesa nyingi kupita hata Klabu za Arsenal, Chelsea na Manchester United!”
Refalii Mstaafu amponda Fergie!!!
FA wamtaka fergie kujieleza!!!
Jeff Winter ambae amestaafu baada ya kuwa mmoja wa Marefa wa Ligi Kuu England amemponda Sir Alex Ferguson kwa kauli yake aliyoitoa mara baada ya dro ya 2-2 ya mechi ya Ligi Kuu kati ya Manchester United na Sunderland alipomsema Refa aliechezesha mechi hiyo Alan Wiley kuwa hayuko ‘fiti’.Jeff Winter amesema kauli za Ferguson ni za uburuzaji na kiwoga na pia amedai Ferguson alitoa kauli hizo ili kuficha ukweli kuwa Timu yake Man U ilicheza vibaya mechi hiyo. Winter amesema: “Nadhani safari hii Ferguson amezidisha na hili linaweza kuwaathiri Manchester United na huenda Marefa wakaungana na kuikomoa Timu hiyo kwenye mechi zao!” Klabu ya Manchester United imekataa kuzungumza lolote kuhusu kauli za Refa huyo wa zamani.Wakati huohuo, FA imemtaka Sir Alex Ferguson atoe ufafanuzi kuhusu kauli yake kwamba Refa Alan Wiley hayuko fitiMmiliki wa Portsmouth auza hisa zake wiki 6 tu baada ya kuzinunua!!Sulaiman al-Fahim, ambae aliinunua Portsmouth wiki 6 zilizopita, ameamua kuuza aslimia 90 ya hisa hizo kwa Tajiri kutoka Saudi Arabia Ali al-Faraj.Uamuzi huo umekuja huku Klabu ya Portsmouth ikishindwa kuwalipa Wachezaji wake mishahara.Sulaiman al-Fahim ndie alishiriki kuinunua Klabu ya Manchester City kwa ajili ya Koo mojawapo ya Kifalme ya huko Abu Dhabi, Falme ya Nchi za Kiarabu.

Saturday, October 3, 2009

VODACOM MISS TANZANIA 2009 NI MAGEUZI MAKUBWA,MREMBO KUTOKA MWANZA AJINYAKULIA TAJI TENA!!


Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald ambaye ni miss Mwanza pia akipungia mashabiki wake mkono mara baada ya kutangazwa mshindi kartika shindano lililofanyika jana kwenye ukumbi wa Mlimani City na kushirikisha warembo wapatao 29 hivi baada ya mmoja wao kutolewa katika shindano hilo kutokana na kugundulika kuwa ni mjamzito.
Mkoa wa Mwanza kwa mara ya pili umetoa mrembo wa Tanzania na kudhihirisha uwezo wake katika mashindano hayo makubwa na yenye mvuto nchini, Miriam anachukua nafasi ya Vodaciom Miss Tanzania 2008 Nasreem Karim ambaye pia alitokea mkoani mwanza na kuufanya mkoa huo kuzichachafya kanada za Mkoa wa Dar es salaam Ilala Temeke na Kinondoni ambazo mara nyingi zimekuwa zikijitapa kuwa ndizo zenye warembo bomba kitu ambacho kimedhihirisha kuwa Tamb zao ni hazimzuii tembo kutoka Mwanza kunywa maji kisimani.
Miriam Gerald SALUYA44 anakutakia kila mafanikio katika kazi zako zote za Miss Tanzania ni kazi ngumu lakini ukiwa makini, ukajiheshimu na kusikiliza ushauri utashinda majaribu yoyote katika kazi hizo Mungu akujalie sana
Habari

Berbatov aliwahi kutekwa nyara?


Mshabuliaji wa Manchester United, Dimitar Berbatov, ametoboa kuwa miaka 10 iliyopita alitekwa nyara na Gangsta mkubwa huko kwao Bulgaria aitwae Georgi Iliev aliewatuma vibaraka wake watatu kumkamata ili kumlazimisha asaini Klabu ya Levski Kjustendil iliyomilikiwa na jambazi hilo.Wakati huo, Berbatov alikuwa Mchezaji wa CSKA Sofia huko Bulgaria.“Ni kweli!” Berbatov alithibitisha. “Ilitisha lakini nilifanikiwa kumpigia simu Baba yangu alieniokoa!”Akizungumzia presha anayoipata kwa kuchezea Klabu kubwa kama Manchester United, Berbatov alisema: “Ni presha kubwa! Sibishi kuwa mtu akilipa pesa nyingi kwa ajili yako anategemea vitu vikubwa toka kwako!”
Fergie na Torres ni Bora Septemba
Meneja wa Manchester United, Sir Alex Ferguson, na Straika wa Liverpool, Fernando Torres, wameshinda Tuzo ya Ligi Kuu England ya Meneja Bora na Mchezaji Bora kwa mwezi Septemba.Sir Alex Ferguson ameshinda Tuzo ya Meneja Bora ikiwa ni mara yake ya 24 kuitwaa kwa kuiongoza Manchester United kushika uongozi kwenye Ligi Kuu baada ya kushinda mechi zao zote za mwezi Septemba ambapo walianza kwa kuifunga Tottenham huko White Hart Lane 3-1, kisha kuwafunga Watani wao Man City 4-3 Old Trafford na kushinda Britannia Stadium 2-0 dhidi ya Stoke City.Man U vilevile walicheza mechi mbili za UEFA CHAMPIONS LEAGUE mwezi Septemba na kuifunga Besiktas 1-0 ugenini huko Ugiriki na pia kuilaza Wolfsburg Old Trafford 2-1.Fernando Torres ametunukiwa Tuzo ya Mchezaji Bora ikiwa ni mara yake ya pili kuipata kwa kufunga mabao matano mwezi Septemba. Torres, mpaka sasa, ndie anaeongoza kwa Ufungaji Bora kwenye Ligi Kuu akiwa na bao 8.

Wednesday, September 30, 2009

BIG BROTHER AFRICA REVOLUTION - Daily Updates - Day 23 (September 29, 2009)

Day 23 of M-Net’s BIG BROTHER REVOLUTION was filled with confrontation, romance – and sheep! On Sunday, Paloma told Itai that she felt betrayed by him when he didn’t keep his word. The next day, Itai told Big Brother that he was struggling with the tension in the house caused by the immorality that surrounds alliances. He felt like his alliance with the girls had no loyalty and wasn't sure who to trust.After his attempts to make amends with Paloma failed on Monday, he finally made his decision about who he is going to support and nominated Paloma and Liz. On Tuesday morning, Itai re-iterated his loyalty to Yacob and the twins, claiming that it is not about the money for him, but rather about true friendship. The drama continues!The housemates were handed their task on Tuesday, one which will surely push their endurance to the limit. Without knowing it, their task had actually started as soon as they woke up on Tuesday and will continue until they end their presentation on Thursday evening. Although the task has numerous components, the challenge is to not fall asleep during Big Brother's "waking hours". Big Brother decided that all housemates may sleep for a maximum of 4 hours on Tuesday night and 5 hours on Wednesday night

Manchester United v VfB Wolfsburg


Ndani ya Old Trafforf jijini Manchester, Mashetani Wekundu Man U watakwaana na Mabingwa wa Ujerumani Wolfsburg katika mechi ya pili ya Kundi lao kuwania Kombe la UEFA Champions LEAGUE.
Mechi nyingine ya leo kwenye Kundi hili ni kati ya CSKA Moscow v Besiktas.
Man U ilishinda mechi yake ya kwanza Kundini kwa ushindi wa ugenini wa 1-0 dhidi ya Besiktas na Wolfsburg, ikiwa nyumbani, iliibamiza CSKA Moscow 3-1.
Man U leo huenda ikaikosa nguvu kazi ya Winga Park Ji-sung ambae ni mgonjwa na pia upo wasiwasi kuhusu Michael Owen ambae ana tatizo dogo pajani.
Kipa Veterani Edwin van der Sar ameshapona na ameanza mazoezi lakini inaaminika leo Ben Foster ataendelea kuwa golini kwani van der Sar hajapata mazoezi ya kutosha.
Wolfsburg huenda wakamkosa Nahodha wao Josue mwenye matatizo ya goti ambalo alifanyiwa operesheni hivi karibuni.
Hata hivyo, nguvu ya Wolfsburg ni Mshambuliaji hatari toka Brazil Grafite na mwingine kutoka Bosnia, Edin Dzeko, Wachezaji ambao hupewa sapoti kubwa na mwenzao kutoka Bosnia pia aitwae Zvjezdan Misimovic.

LEO UEFA CHAMPIONS LEAGUE


Apoel Nicosia v Chelsea
Leo saa 3 dakika 45 usiku, saa za bongo, Chelsea wanashuka Uwanja wa GSP Nicosia uliopo mjini Nicosia, Visiwani Cyprus, kucheza na Wenyeji wao Apoel Nicosia katika mechi ya pili Kundini mwao katika kinyang’anyiro cha UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
Chelsea watashuka dimbani bila Nyota wao Michael Ballack, John Mikel Obi na Ashley Cole ambao ni majeruhi pamoja na Didier Drogba na Jose Bosingwa ambao bado wako kifungoni.
Ingawa Apoel Nicosia hawapewi nafasi kubwa kwenye mechi hii, Kocha wao Ivan Jovanovic anaamini wanaweza kufanya vizuri hasa baada ya kucheza vizuri katika mechi ya kwanza walipokuwa ugenini huko Spain na kutoka suluhu na Atletico Madrid.
Chelsea waliifunga FC Porto ya Ureno bao 1-0 katika mechi ya awali ya Kundi hili.
Mechi nyingine kwenye Kundi hili ni FC Porto v Atletico Madrid.

Monday, September 28, 2009

LEO MAN CITY v WEST HAM!!!!

Gianfranco Zola: "Bellamy alinifanya niwe Meneja Bora!!"

Meneja wa West Ham ambae aliwahi kuwa Staa wa Chelsea, Gianfranco Zola, amepasua kuwa Mchezaji mkorofi sana Craig Bellamy ambae sasa yuko Manchester City alimpa wakati mgumu alipokuwa West Ham na kumfanya yeye aongezeke uzoefu wa kuwa Meneja Bora.Bellamy, Raia wa Wales, aliihama West Ham Januari mwaka huu na kujiunga na Manchester City.Bellamy alipokuwa Liverpool ilibidi aihame Timu hiyo baada ya kudaiwa kumpiga na gongo la kuchezea Gofu mchezaji mwenzake John Riise na ashawahi kufarakana na Alan Shearer alipokuwa Newcastle.Wiki moja iliyopita Bellamy alitawala vichwa vya habari Magazetini baada ya kumzaba kibao shabiki alievamia Uwanja wa Old Trafford baada ya mechi kati ya Man U na Man City kumalizika kwa ushindi wa 4-3 kwa Man U.FA, Chama cha Soka cha England, kimempa onyo kali Bellamy kwa kitendo hicho.Na leo usiku, Timu ya Craig Bellamy, Manchester City, itapambana na Klabu yake ya zamani, West Ham na Meneja wa West Ham, Gianfranco Zola ametamka: "Nilipenda kufanya nae kazi! Ni kitu kigumu kwani ni mtu mwenye munkari! Lakini ukimchukulia kwa njia ipasayo ni Mchezaji anaekulipa kwa juhudi zake uwanjani!"Zola ameendelea: "Amenipa uzoefu na manufaa katika kazi ya Umeneja!"


Ebanaeee!!!! John Terry awakandya wenzake Chelsea!!

Nahodha wa Chelsea, John Terry, amewalaumu sana Wachezaji wenzake kufuatia kipigo chao cha Jumamosi cha mabao 3-1 walichoangushiwa na Timu 'dhaifu' Wigan ambayo katika mechi zake mbili za nyuma ilibugizwa 5-0 na Manchester United na 4-0 na Arsenal.Kipigo hicho toka kwa Wigan na ushindi wa Man U wa bao 2-0 dhidi ya Stoke City kumewafanya Man U ambao ndio Mabingwa Watetezi, kushika hatamu LIGI KUU England.Chelsea, ambao hawajachukua Ubingwa kwa miaka mitatu sasa tangu wautwae kwa mara mbili mfululizo chini ya Meneja Jose Mourinho, inaelekea wamekerwa sana na kipigo hicho na kufikia hatua ya kumfanya Terry kudiriki kuanika mzozo wao wa ndani ya Klabu hadharani.Terry amekaririwa akilalama: "Ni kawaida kucheza vibaya lakini hata ukicheza vibaya unategemea Wachezaji wenzako kujituma na kupigana! Timu nzima haikufanya hivyo! Timu kubwa zote zimeshinda wikiendi hii na hili linavunja moyo! Tuna mechi Jumatano, itabidi tufanye vizuri! Na Jumapili ijayo tuna mechi ngumu na Liverpool na itabidi tujitutumue!"
RATIBA YA SOKA WIKI HII:UEFA CHAMPIONS LEAGUE:
Jumanne, Septemba 29
Arsenal v OlympiakosAZ
Alkmaar v Standard
LiegeBarcelona v Dynamo
KievDebrecen v Lyon
Fiorentina v Liverpool
Rangers v SevillaRubin
Kazan v Inter Milan
Unirea Urziceni v VfB Stuttgart
Jumatano, Septemba 30
AC Milan v FC ZurichApoel
Nicosia v Chelsea
Byern Munich v Juventus
Bordeaux v Maccabi Haifa
CSKA Moscow v Besiktas
FC Porto v Atletico
Madrid
Manchester United v WolfsburgReal
Madrid v Marseille
EUROPA LIGI:Alhamisi,
Oktoba 1
Kuna jumla ya mechi 24 ila zinazotajwa hapa ni zile za Timu za Uingereza tu]BATE v EvertonCeltic v Rapid Vienna
Fulham v Basle
LIGI KUU ENGLAND:
Jumamosi, Oktoba 3
Bolton v Tottenham
Burnley v Birmingham
Hull City v Wigan
Manchester United v Sunderland
Wolverhampton v Portsmouth
Jumapili, Oktoba 4
Arsenal v Blackburn
Chelsea v Liverpool
Everton v Stoke City
West Ham v Fulham
Jumatatu, Oktoba 5
Aston Villa v Man City

Tuesday, September 22, 2009

Nyoka Mwenye Mkono Mmoja Awashangaza Wanasayansi China

Nyota aliyezaliwa akiwa na mkono mmoja nchini China amewashangaza wanasayansi nchini China. Kwa habari kamili kuhusiana na nyoka huyu GONGA World News pembeni kushoto.

Thursday, September 17, 2009

Akiri Adebayor kwa FA ‘kumtimba’ van Persie!!!


kwa ‘shingo upande’ kosa la aliloshitakiwa na FA la kutaka kumuumiza Mchezaji wa Arsenal Robin van Persie kwenye mechi ya Ligi Kuu Jumamosi iliyopita Uwanjani City of Manchester ambayo Man City waliishinda Arsenal 4-2.Refa wa mechi hiyo Mark Clattenburg hakuona kosa hilo lakini amekiri kwa FA, baada ya kushuhudia marudio ya video, kuwa angemlima Adebayor Kadi Nyekundu kama angeliona.Adebayor alipewa mpaka jana Jumatano ajitetee lakini ameamua kutofanya hivyo na kukubali kosa na adhabu atakayopewa ambayo inategemewa kuwa ni kufungiwa mechi 3 ya kwanza ikiwa ile ya Jumapili Man City watakapocheza na Man U.Adhabu hiyo itajulikana leo kesi hiyo itakaposikilizwa.Adebayor anakabiliwa na kosa jingine nalo ni la kuonyesha mwenendo usiokubalika wakati akishangilia goli lake siku hiyo hiyo Man City walipocheza na Arsenal na kwenda kuwachokoza Mashabiki wa Arsenal.Uamuzi wa kosa hili utajulikana Septemba 30.

Wednesday, September 16, 2009

Amerie&lil wayne schedule videoshoot around his new bay


The life of a baby maker is hard work, so when Amerie and Lil Wayne linked to shoot her latest video it had to be done in Los Angeles so he could be close to baby mama no. 3, Lauren London. The 24-year-old actress and the rapper welcomed a son Saturday night at Los Angeles’ Cedar Sinai Hospital.
“[When] we were doing the video they were ‘we have to figure it out because nature might take its course,” she told The BoomBox. “We were like ‘lets go to where nature might take its course [Los Angeles] so we can get a pick up shot in case he gets the call.” The video, which was shot earlier this month, is for the single ‘Heard Em All,’ off her upcoming album.
“He’s awesome,” she said of working with Wayne. “He’s always really, really nice. The first time I met him we were doing this event together and we were sitting in the stands. Our handlers were transporting us in the building or something, I just remember thinking ‘he’s really down to earth. He’s really cool.’ I’ve liked him ever since he was in Cash Money, in like ‘97. He’s always had a lot of charisma.”
Amerie is gearing up for the release of her fourth album ‘Love & War,’ her first on Def Jam Records. “[I'm] very excited about [the new album],” she said. “I love my fans [and] I really hope they love this album. I feel like they will if they loved the first one and the second one.”
Shouts to TheBoomBox, and I wonder if they are shooting the video with Wayne’s verse as we last heard that Weezy was only making a cameo.

Tuesday, September 15, 2009

Teem ya Man City wasubiri litakalomkuta Adebayor!!! Shabiki amlalamikia van Persie Polisi!!

Manchester City wanasubiri kujua hatima ya Mchezaji wao Emmanuel Adebayor kufuatia matukio mawili yanayomhusu yeye yalyotokea kwenye mechi ya LIGI KUU Jumamosi iliyopita ambayo Man City waliifunga Arsenal bao 4-2 Uwanjani City of Manchester.Tukio la kwanza ni ushangiliaji wa Adebayor alipofunga bao la 3 na kwenda kushangilia mbele ya Washabiki wa Arsenal ambao walikasirika na kutaka kuvamia uwanja lakini wakadhibitiwa na Walinzi pamoja na Polisi.Katika tukio hilo Mlinzi mmoja alipigwa kichwani na kupoteza fahamu kwa dakika 5 na Polisi wa Manchester wamesema Adebayor ndie chanzo cha fujo hizo.Refa Mark Clattenburg alimpa Adebayor Kadi ya Njano kwa tukio hilo.Tukio la pili ni pale Adebayor alipomgusa usoni Robin van Persie kwa buti na ingawa Refa hakuchukua hatua yeyote kwa Adebayor, van Persie alidai Adebayor alikusudia kumuumiza.Adebayor mwenyewe amekana hilo na kusema alimwomba radhi van Persie ambae amepinga hakuombwa radhi.FA wanatakiwa kutoa uamuzi kabla ya leo [Jumanne] saa 2 usiku [saa za bongo] kama watachukua hatua zozote kwa Adebayor na baada ya hapo Klabu inapewa masaa 24 kuamua kukata rufaa ikiwa adhabu imetolewa.Wakati huo huo, ameibuka Shabiki mmoja aliewakilisha malalamiko yake kwa Polisi kuwa van Persie aliwatukana alipokwenda mbele ya Mashabiki wa Man City baada ya kuifungia Arsenal goli dakika ya 62.Polisi wamesema wanachunguza malalamiko hayo.

UEFA yafuta kifungo cha Eduardo, huru kucheza kesho UEFA CHAMPIONS LEAGUE!!!

Rufaa ya Arsenal waliyokata kwa UEFA kupinga kwa adhabu ya Mshambuliaji wao mwenye asili ya Brazil lakini ni raia wa Croatia, Eduardo, aliyopewa kwa kumhadaa Refa Manuel Gonzalez katika mechi ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE na Celtic hapo Agosti 26, imekubaliwa na UEFA na sasa adhabu ya kufungiwa mechi mbili imefutwa.Eduardu sasa ni ruksa kucheza mechi ya kesho ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE ugenini Ubelgiji wakati Arsenal watakapokwaana na Standard Liege Uwanja wa Maurice Dufrasne.
yuleNahodha wa Everton Phillip Neville nje muda mrefu!!
Nahodha wa Everton, Phillip Neville, ambae ni mdogo wake Nahodha wa Manchester United, Gary Neville, atakuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipogongana na Dickson Etuhu wa Fulham katika mechi ya LIGI KUU siku ya Jumapili Uwanjani Craven Cottage na Fulham kushinda 2-1.Meneja wa Everton David Moyes amethibitisha habari hizo na kusema Neville ataenda kwa Wataalam Jijini London kwa uchunguzi zaidi na hapo ndipo watajua kwa uhakika muda gani atakosekana.

Sunday, September 13, 2009

mdau!! karibuni katika kiwanja kipya


kiwanja kipya cha funguliwa kinakwenda kwa jina la www.tanzania20.blospot.com

van persie adai emmanuel alimtimba makusudi ili amumize...!!!


Van Persie adai Adebayor alimtimba makusudi amuumize!!!=Adebayor huenda akasulubiwa na F.A kwa ushangiliaji!!!!

Emmanuel Adebayor, aliefunga bao moja dhidi ya Timu yake ya zamani Arsenal katika mechi ya jana ambayo Manchester City iliipiga Arsenal 4-2, huenda akawa matatani na FA hasa baada ya kufunga goli hilo la 3 na kisha kukimbia nusu ya Uwanja na kwenda mbele ya Mashabiki wa Arsenal kushangilia kitendo ambacho Refa alimpa Kadi ya Njano.Mashabiki hao wa Arsenal walichukizwa sana na kitendo hicho na ilibidi Polisi na Walinzi wawatulize.Ndani ya uwanja, Mchezaji wa Arsenal, Robben van Persie amedai Adebayor alimkanyaga usoni makusudi ingawa Adebayor mwenyewe amekiri hilo lakini amesema ni bahati mbaya na alimwomba radhi van Persie.Kitendo hicho hakikuonekana na Refa lakini van Persie amepinga kuwa Adebayor alimwomba radhi na aliendelea kung’ang’ania alitimbwa kusudi.

Tottenham 1 Manchester United 3
Manchester United, Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu England, jana wakiwa ugenini mjini London Uwanjani White Hart Lane nyumbani kwa Tottenham, timu ambayo ilikuwa haijafungwa hata mechi moja msimu huu wa Ligi, jana mbali ya kujikuta iko nyuma kwa bao 1-0 lilofungwa sekunde ya 51 tangu mechi ianze na Jermaine Defoe na baadae ikijikuta inacheza watu 10 baada ya Mchezaji wao Mkongwe Paul Scholes kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu, ilitoa soma la hali ya juu ya jinsi ‘Soka Bora na Tamu” linavyochezwa.Baada ya Manchester United kufungwa bao hilo moja walitulia na kutandaza soka la hali ya juu na kusawazisha bao hilo kupitia Mkongwe Ryan Giggs aliefunga kwa frikiki murua ambayo sasa itawafanya Washabiki wake wamsahau mpigaji frikiki wao wa kawaida Cristiano Ronaldo.Mbrazil Chipukizi Anderson, alieonyesha ukomavu mkuu katika kiungo, aliipatia Man U bao la pili na la kwanza kwake kwenye Ligi Kuu tangu ajiunge Man U.Hadi mapumziko Tottenham 1 Man U.Kipindi cha pili ndipo, Paul Scholes, baada ya tayari kuwa na Kadi moja ya Njano, alipewa Kadi ya pili ya Njano baada ya kuonekana amemchezea Rafu Tom Huddlestone ingawa marudio ya video yalionyesha ni Mchezaji wa Spurs ndie aliecheza rafu. Hiyo ilikuwa dakika ya 59 na Scholes akapewa Kadi Nyekundu.Hata hivyo, dakika ya 79, Wayne Rooney alifunga bao zuri baada ya kuihadaa ngome na Kipa Cudicini wa Spurs.Tottenham: Cudicini, Corluka, King, Bassong, Assou-Ekotto, Lennon, Huddlestone, Palacios, Defoe, Crouch, Keane. Akiba: Gomes, Hutton, Bentley, Jenas, Pavlyuchenko, Naughton, Kranjcar.Man Utd: Foster, O'Shea, Ferdinand, Vidic, Evra, Fletcher, Scholes, Anderson, Giggs, Berbatov, Rooney. Akiba: Kuszczak, Owen, Carrick, Nani, Fabio Da Silva, Jonathan Evans, Valencia.

Saturday, September 12, 2009

Wenger akiri: “Ni muhimu kumsimamisha Adebayor!”

Arsene Wenger amekiri kuwa ili Timu yake Arsenal iambulie chochote kwenye mechi ya leo ya Ligi Kuu England watakapocheza City of Manchester City Stadium na wenyeji Manchester City ni muhimu kumkaba Emmanuel Adebayor alieihama Arsenal na kwenda Man City msimu huu kwa vile ndie anaeng’ara sana kwa sasa.Adebayor msimu huu, katika mechi 3 za Man City Ligi Kuu ambazo wameshinda zote, amefunga goli katika kila mechi.Wenger vilevile ameongeza kuwa katika miaka ya hivi karibuni Mchezaji pekee ambae kiwango chake kilipanda juu sana kwa muda mfupi ni Adebayor ambae alimnunua kutoka Monaco mwaka 2006.Wenger amesema: “Tulimchukua kutoka Monaco akiwa hana namba huko na alipokuja kwetu kiwango chake kilipanda sana! Tunafurahia yote aliyotufanyia Arsenal na nadhani Klabu zote mbili, Arsenal na Man City, zimeridhika! Sisi tumepata pesa nzuri na wao wamepata Straika bora!”Mbali ya Adebayor, Man City pia imemchukua msimu huu Mlinzi Kolo Toure kutoka Arsenal ambae pia anang’ara na Timu yake mpya akiiongoza ngome ambayo katika mechi zao 3 za Ligi Kuu hawajafungwa hata goli moja.
Katika mechi ya leo, Man City itawakosa nyota wao Robinho na Tevez ambao wote waliumia katika mechi moja wakati Nchi zao Brazil na Argentina zilipokutana kwenye mechi ya Kombe la Dunia Jumamosi iliyopita huko Rosario City, Argentina na Brazil kushinda 3-1.
Arsenal watamkosa majeruhi Andriy Arshavin lakini Nahodha wao Cesc Fabregas na Tomas Rosicky wapo fiti na huenda wakacheza.
Mechi kama hii msimu uliokwisha, Man City walishinda bao 3-0.
Refa katika mechi ya leo ni Mark Clattenburg.


FIFA yaizuia Chelsea kuwarudisha hata Wachezaji wao waliowatoa kwa mkopo!!

FIFA imewaambia Chelsea hawaruhisiwi kuwarudisha Wachezaji wao waliowatoa kwa Klabu nyingine kwa mkopo wa msimu mzima kufuatia kifungo chao cha kutosajili Wachezaji kwa vipindi viwili vya usajili ikimaanisha hawawezi kusajili hadi mwaka 2011 adhabu ambayo wamepewa baada ya kumchukua Chipukizi Gael Kakuta kutoka FC Lens ya Ufaransa kinyume cha taratibu.Ingawa Chelsea wana nia ya kukata rufaa kupinga adhabu hiyo, Meneja wao Carlo Ancelotti alitaka kupunguza makali ya adhabu hiyo kwa kuwarudisha Wachezaji wao Klabuni waliowatoa kwa mkopo akiwemo Mchezaji wa Timu ya Vijana ya England wa chini ya miaka 21 Michael Mancienne kutoka Wolves, Scott Sinclair toka Wigan na Muargentina Franco di Santo kutoka Blackburn.FIFA imetoa ufafanuzi kuwa ni Di Santo pekee anaeweza kurudi Stamford Bridge kwa vile mkopo wake ni nusu msimu lakini Sinclair haruhusiwi kurudi kwa vile mkopo wake ni wa msimu mzima na kuhusu Mancienne, ingawa mkopo wake ni wa msimu mzima, FIFA itatoa uamuzi baadae kuhusu kipengele cha mkataba ambacho kinatamka anaweza kurudi Chelsea kwa dharura.Mpaka sasa Chelsea wanangoja kupokea kutoka FIFA adhabu yao rasmi ndani ya siku 10 zijazo na kisha wanatakiwa ndani ya siku 21 kukata rufaa.Chelsea wametaka kuwarudisha Wachezaji hao iliowatoa kwa mkopo ili wawe kava ya akina Didier Drogba, Michael Essien, John Obi Mikel na Salomon Kalou ambao itawakosa mwezi Januari 2010 kwani wote wanategemewa kuwakilisha Nchi zao kwenye mashindano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika huko Angola.Hata hivyo Januari 2010, Chelsea wanategemea majeruhi wao wa muda mrefu Paulo Ferreira na Joe Cole kurudi uwanjani baada ya kupona magoti waliyoumia.

Friday, September 11, 2009

ULE MCHANANGE WA LIGI KUU England: Mechi za Wikiendi hii na taarifa zake mbalimbali

Emmanuel Adebayor atakuwa kivutio kikubwa wakati Klabu yake ya zamani Arsenal itakapotua City of Manchester Stadium kucheza na Wenyeji Manchester City hapo kesho.Adebayor, akiwa na Man City msimu huu, amefunga bao katika mechi zote 3 za Ligi Kuu walizocheza na kushinda zote.Katika mechi hizo 3, ngome ya Man City haijaruhusu hata bao moja na inaongozwa na Mchezaji mwingine alietoka Arsenal, Kolo Toure.Tottenham ni Klabu nyingine ambayo haijapoteza mechi msimu huu baada ya kushinda mechi zao zote 4 ikiwa na ile waliyoipiga Liverpool bao 2-1 siku ya ufunguzi wa mechi za Ligi Kuu lakini kesho wana mtihani mkubwa pale watakapowakaribisha Mabingwa watetezi Manchester United Uwanjani White Hart Lane.Chelsea, ambao ndio vinara wa Ligi baada ya mechi 4 na kushinda zote, kesho wapo safarini hadi Uwanja wa Britannia kupambana na Stoke City.Liverpool, ambao tayari katika mechi 4 wamepoteza mbili, watakwaana na Wababe wa Manchester United na Everton, Timu iliyopanda Daraja Burnley uwanjani Anfield. Hata hivyo, Burnley, wakicheza ugenini, hawajashinda wala kutoka droo na hawajafunga hata goli moja katika mechi zao mbili walizocheza huko ugenini.Huko katikati ya England, mjini Birmingham, kutakuwa na kindumbwendumbwe cha Watoto wa mji mmoja kukutana na mechi hii, kwa sababu za usalama, itachezwa saa 6 mchana kwa saa za Uingereza na kuwakutanisha Birmingham City na Aston Villa Uwanjani St Andrews. Villa ndio wanaoonekana wenye nguvu baada ya kushinda mechi zote 4 zilizopita kati yao ukiwemo ushindi wa mabao 5-1 Uwanjani Villa Park mwaka jana.Fulham wanawakaribisha Everton uwanjani Craven Cottage siku ya Jumapili huku Klabu zote zikitaka ushindi hasa baada ya kutoanza vizuri Ligi msimu huu. Fulham wameshinda mechi moja tu walipowafunga Portsmouth siku ya ufunguzi na wenzao Everton walifungwa mechi zao zote 2 za kwanza na kushinda ya 3 walipoiua Wigan.Portsmouth hawana pointi hata moja hadi sasa baada ya mechi 4 na wawakaribisha Bolton ambao nao pia wanasuasua baada ya kupoteza mechi zao zote 3.Blackburn Rovers , mpaka sasa wamecheza mechi 3 na kutoka droo moja na kufungwa mbili, wanawakaribisha Wolves uwanjani Ewood Park. Wolves wameanza msimu huu kwa kuwafunga Wigan, kutoka droo na Hull City na kufungwa na West Ham na Man City.Sunderland, walioshinda mechi 2 na kufungwa 2, watakuwa nyumbani Stadium of Light kucheza na Hull City ambao wamecheza mechi 4 na kushinda moja, droo moja na kufungwa 2.Wigan watakuwa wenyeji wa West Ham kwao DW Stadium msimu uliokwisha ilikuwa ikiitwa KC Stadium.Wigan wameshacheza mechi 4, wameshinda moja na kufungwa 3 wakati West Ham wana mechi 3 na wameshinda moja, droo moja na kufungwa moja.

LIGI KUU ENGLAND:

Jumamosi, 12 Septemba 2009
[mechi zote saa 11 jioni saa za bongo isipokuwa ikitajwa]Blackburn v WolverhamptonLiverpool v BurnleyMan City v ArsenalPortsmouth v BoltonStoke v ChelseaSunderland v HullTottenham v Man Utd [saa 1 na nusu usiku]Wigan v West HamJumapili, 13 Septemba 2009Birmingham v Aston Villa [saa 8 mchana]Fulham v Everton [saa 12 na robo]

Mechi za Vilabu zarudi tena!!

Baada ya mikiki na hekaheka, furaha kwa baadhi na huzuni kwa wengine katika Nchi zao mbalimbli zilizokuwa zikiwania kuingia Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini 2010, sasa tunarudi kwenye michuano ya Klabu kwenye LIGI KUU England, UEFA CHAMPIONS LIGI na EUROPA LIGI.Ifuatayo ni Ratiba ya Wiki moja kuanzia Jumamosi hii hadi Jumapili, Septemba 20.
Ramos ni Kocha wa CSKA Moscow
Kocha wa zamani wa Tottenham na Real Madrid Juande Ramos ameteuliwa Meneja wa CSKA Moscow na kumbadili Mbrazil Zico.Ramos, baada ya kutimuliwa Tottenham Oktoba, 2008, alipata kazi Real Madrid ya mkataba wa miezi 6 ulioisha mwishoni mwa msimu uliokwisha.CSKA Moscow wako Kundi moja pamoja na Manchester United kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE.

Thursday, September 10, 2009

0, Paraguay waingia Fainali!!!


Paraguay leo alfajiri wameungana na Brazil kutoka Nchi za Marekani ya Kusini kuingia Fainali za Kombe la Dunia baada ya kuwapa kipigo cha bao 1-0 Argentina kwenye mechi iliyochezwa Paraguay.
Jumamosi, Argentina wakiwa nyumbani Rosario City, walipigwa bao 3-1 na Mahasimu wao wakubwa Brazil.
Bao la Paraguay lilifungwa na Haedo dakika ya 28.
Kwa kipigo hiki cha pili mfululizo ambacho mbali ya kuhatarisha sana nafasi ya Argentina kucheza Fainali huku zikiwa zimebaki mechi 2 tu kwenye Kundi lao, hata kibarua cha Kocha Diego Maradona sasa kina walakini mkubwa

Wednesday, September 9, 2009

David Gill wa Man U kachaguliwa katka chama cha Klabu Ulaya [ECA]!

Mkurugenzi Mkuu wa Manchester United, David Gill, amechaguliwa kwenye Bodi ya Chama cha Klabu Ulaya, ECA, [European Club Association] pamoja na Rais wa Real Madrid, Florentino Perez kwa kipindi cha miaka miwili.
ECA ina Bodi hiyo yenye Wawakilishi 15 na hupeleka Wajumbe wake kwenye Kamati za UEFA na kushirikiana na kutoa ushauri kuhusu masuala ya Soka huko Ulaya.
ECA inaundwa kutokana na Klabu 144 toka Nchi 53 za Ulaya na hupigania haki za Vilabu hivyo huko Ulaya.

KOMBE LA DUNIA: England na Serbia wanachungulia Fainali!!

England na Serbia watatinga Fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini mwakani wakishinda mechi zao za leo Jumatano Septemba 9 na Spain, Denmark na Slovakia pia wanaweza kujihakikishia kucheza Fainali ikiwa, kwanza, watashinda na kisha mechi nyingine katika Makundi yao yaangukia upande wao na kuwasaidia.
England na Serbia zinaweza kufanya idadi ya Timu zilizotinga Fainali kufikia 10 ikiwa England itawafunga Croatia nyumbani Wembley Stadium katika KUNDI la 6 na Serbia wakiwafunga Ufaransa mbele ya Mashabiki wa Serbia kwenye Uwanja wa Marakana mjini Belgrade.
Mpaka sasa Timu zilizo Fainali ni Wenyeji Afrika Kusini, Uholanzi, Brazil, Ghana, Japana, Korea Kaskazini, Korea Kaskazini na Australia.
Huko Ulaya Washindi 9 wa kila Kundi wataenda Fainali na Timu 8 Bora zitakazoshika nafasi ya pili zitafanyiwa dro ili kuwe na mechi 4 na washindi wa mechi hizo wataingia Fainali.
Mabingwa wa Ulaya Spain wataingia Fainali wakiwafunga Estonia na wakati huo huo Turkey iwafunge Bosnia. Lakini hata Spain wakitoka droo na Turkey akishinda, Spain atenda Fainali.
Denmark atatinga Fainali ikiwa tu ataifunga Albania huku Portugal waifunge Hungary na Malta wasifungwe na Sweden.
Na kwa Slovakia, itabidi kwanza waombe Slovenia na Poland watoke suluhu kisha wao waifunge Ireland nyumbani kwao Belfast ndipo wataingia Fainali.
Mutu aomba atoe pesa kwenye Mifuko ya Hisani badala ya kuilipa Chelsea Pauni Milioni 15!!!!
**ASEMA HANA UWEZO KULIPA FAINI HIYO ILIYOWEKWA NA FIFA!
Adrian Mutu ametoa pendekezo ni bora achangie kwenye Mifuko ya Hisani au kwenye Mifuko yoyote inayowasaidia watu badala ya kuilipa Chelsea fidia ya Pauni Milioni 15 kama ilivyoamuliwa na FIFA na kuungwa mkono na CAS [Mahakama ya Usuluhishi Michezoni].
Mshambuliaji huyo kutoka Rumania alieigharimu Chelsea Pauni Milioni 15 mwaka 2003 alifukuzwa Chelsea mwaka mmoja baadae baada ya kugundulika anatumia cocaine na kufungiwa miezi 7 kutocheza soka.
FIFA iliamua Mutu ailipe Chelsea Pauni Milioni 15 ikiwa ni fidia lakini Mutu alikata rufaa kupinga uamuzi huo kwa Korti ya Usuluhishi Michezoni [CAS= Court of Arbitration for Sport].
Uamuzi wa CAS ulitolewa Julai mwaka huu na Mutu amebakiza muda wa wiki moja tu kukata Rufaa kwa Mahakama Kuu ya Uswisi ambayo ndiyo pekee yenye haki ya kusikiliza na kuamua maamuzi yanayotolewa na CAS.
Hatua ya Mutu ipo kwenye barua aliyowaandikia Chelsea, Kamati ya Nidhamu ya FIFA na Rais wa FIFA, Sepp Blatter.
Katika barua hiyo, Mutu ameandika: “Siwezi kulipa kiasi hicho. Si suala la kuamua bali la kuelewa na kufahamu misingi ya kutokuwa na uwezo. Napendekeza nitoe mchango mkubwa utakaoamuliwa ili kuwasaidia Vijana wenye matatizo ya madawa ya kulevya na pia kutoa kiwango hicho hicho kwa Mfuko wa Hisani watakauchagua Chelsea wa mjini London na Nchini kwangu Romania.”
Baada ya kutimuliwa Chelsea, Mutu alijiunga na Juventus Januari 2005 kama Mchezaji huru na hivyo Chelsea kutopata hata senti na msimu mmoja baadae akaenda Fiorentina ambako yuko mpaka leo.


Tuesday, September 8, 2009

Rafa ajaribu kuwaonya Mawinga wake Babel na Riera

Rafa
Ryan Babel alitoka hadharani hivi karibuni na kusema bora aende kucheza kwao Uholanzi Timu ya Ajax ili ajihakikishie kuchukuliwa Timu ya Taifa ya Uholanzi ili acheze Fainali za Kombe la Dunia kwa sababu akiwa Liverpool hana namba ya kudumu na hilo limemfanya asichukuliwe Timu ya Uholanzi katika mechi za hivi karibuni.Babel hakutajwa kwenye Kikosi cha Uholanzi kilichochaguliwa kucheza mechi za Kombe la Dunia Jumatano iliyopita ila aliitwa baadae baada ya Mshambuliaji mmoja kuumia.Inaelekea kauli ya Babel imemtibua Kocha Rafa Benitez ambae alitoka na kudai kuwa Babel na Riera wote wanalilia kucheza na wote wanacheza pozisheni moja hivyo kuna ushindani mkubwa.Benitez anasema: “Ujumbe ni rahisi tu. Kiwanjani kila Mchezaji lazima adhihirishe ana uwezo. Babel anajua hawezi kuhama kwa sasa. Ni lazima afanye kazi turidhike. Ni Mchezaji mzuri na ana kipaji. Ni muhimu tuongee nae na tuone anapata maendeleo gani.”
katika mchanange balaa la Wafaransa lawakumba Man City kwa kumpora Chipukizi!!!
Klabu ya Ufaransa Rennes imethibitisha kuwa wameishitaki Manchester City kwa FIFA kwa kumpora Chipukizi Jeremy Helan mwanzoni mwa mwaka huu.Mwaka 2008, Kijana huyo Helan, miaka 17, alitakiwa na Manchester United lakini Rennes wakagoma kumtoa na ndipo Man City wakajikita na kumchukua ingawa Rennes walidai wana mkataba na Helan kuwa atasaini mkataba mwingine kama Mchezaji wa Kulipwa akifikisha miaka 17.Huko Ufaransa hairuhsiwi mtoto chini ya miaka 18 kusaini mkataba wa kuwa Mchezaji wa Kulipwa wakati England wanaruhusiwa wakifikisha miaka 17.Hivi juzi tu FIFA imeifungia Chelsea hadi 2011 kutosajili Mchezaji baada ya kupatikana na hatia ya kumpora Chipukizi Gael Kakuta kutoka FC Lens ya Ufaransa.Siku mbili baadae ikaibuka Klabu nyingine ya Ufaransa Le Havre na kudai Manchester United imewapora Kijana wao Pogba kwa kuwarubuni Wazazi wake na kuwapa fedha taslimu na nyumba.Hata hivyo, ingawa Le Havre imedai imepeleka mashtaka FIFA, FIFA imesema haijapokea chochote na wakati huo huo Manchester United imewataka Le Havre waache madai hayo au la watawashitaki.Ingawa Rennes imepeleka kesi FIFA na wao pia wamepelekwa Mahakamani na upande wa Chipukizi Helan wakivutana kuhusu nini kilisainiwa wakati Helan alipojiunga na Rennes.
katika nyanja za makipa mmoja wa makipa, Kipa Paddy Kenny afungiwa Miezi 9 kwa kutumia madawa!!!!
Kipa wa Sheffield United inayocheza Daraja la Championship, chini tu ya Ligi Kuu, Paddy Kenny, miaka 31, amefungiwa kutocheza soka kwa miezi 9 kuanzia Julai 22, 2009 kwa kupatikana na hatia ya kutumia dawa ‘Ephedrine’ ambayo ipo kwenye listi ya dawa zinazokatazwa kwa Wanasoka kwani huongeza nguvu.Paddy Kenny aligundulika kutumia dawa hiyo ambayo kawaida hutumika kutibu kifua hasa afueni kwenye pumu katika mechi Sheffield United walipocheza na Preston kwenye mechi maalum za mtoano kutafuta Timu kupanda Daraja kuingia Ligi Kuu.Paddy Kenny amekiri kutumia dawa hiyo lakini alijitetea kuwa alikuwa akiumwa kifua.Kamati ya Sheria ya FA, Chama cha Soka England, imesema imeridhika na utetezi wa Kenny Paddy kuwa hakutumia ‘Ephedrine’ kuongeza nguvu na ndio maana hawakumpa adhabu kali ya kifungo cha miaka miwili lakini ni wajibu wao kutoa adhabu ili iwe fundisho kwa Wachezaji wa Kulipwa kutotumia dawa bila ya maelekezo ya Madaktari wa Klabu zao.Klabu ya Sheffield United imelalamika kuwa Kamati hiyo kwa sababu imekubali Kipa huyo hakutumia dawa hiyo kuongeza nguvu walitegemea adhabu ndogo zaidi au onyo au msamaha.
MAN U WAIONYA LE HAVRE!
Manchester United imeionya Klabu ya Le Havre ya Ufaransa kuwa watachukua hatua za kisheria ikiwa Klabu hiyo haitaacha kutoa madai kwamba waliwapa pesa Wazazi wa Chipukizi Paul Pogba, miaka 16, ili kijana huyo asaini kwao.Rais wa Le Havre, Jean-Pierre Louvel, amedai kuwa Manchester United iliwapa Wazazi wa Pogba, Baba na Mama, Pauni 87,000 kila mmoja pamoja na nyumba ya kuishi mjini Manchester.Louvel aliendelea na madai yake kwa kusema kuwa wameshapeleka malalimiko yao FIFA.Wiki iliyopita, FIFA iliifungia Chelsea hadi mwaka 2011 kutosajili Mchezaji yeyote baada ya kupatikana na hatia ya kumchukua Mchezaji chipukizi Gael Kakuta kutoka FC Lenz ya Ufaransa kinyume cha taratibu.Manchester United imesema imefuata taratibu zote za UEFA na FIFA na kwamba uhamisho huo ikiwa pamoja na Mikataba yake, ilipitiwa na kupasishwa na FA, Chama cha Soka England, pamoja na uongozi wa Ligi Kuu England. Vilevile, Man U walisisitiza kuwa kufuatana na kanuni za Klabu yao pamoja na sheria za soka wao hawawezi kutoa fedha au kuwanunulia nyumba Wzazi wa Mchezaji.Hata hivyo, inasemekana Chama cha Soka cha Ufaransa, kufuatia shinikizo la Le Havre, bado hakijatoa Cheti cha Kimataifa cha Uhamisho na ndio maana FIFA hawajaubariki uhamisho huo

KOMBE LA DUNIA: NCHI ZA ULAYA

RATIBA: Jumatano, 9 Septemba 2009
Albania v Denmark
,Andorra v Kazakhstan,
Armenia v Belgium,
Belarus v Ukraine,
Bosnia-Herzegovina v Turkey,
Czech Republic v San Marino,
England v Croatia,
Faroe Islands v Lithuania,
Germany v Azerbaijan,
Hungary v Portugal,
Israel v Luxembourg,Italy v Bulgaria,
Latvia v Switzerland,
Liechtenstein v Finland,
Malta v Sweden,
Moldova v Greece,
Montenegro v Cyprus,
Northern Ireland v Slovakia,
Norway v FYR Macedonia,
Romania v Austria,
Scotland v Netherlands,
Serbia v France,
Slovenia v Poland,
Spain v Estonia,
Wales v Russia,

Monday, September 7, 2009

Slaven Bilić adai kwamba wamegundua udhaifu wa England!!!!


Bilic
Kocha wa Croatia, Slaven Bilic, ambayo Timu yake inakutana na England Jumatano Uwanjani Wembley kwenye mechi muhimu ya mtoano ya kuwania kuingia Fainali Kombe la Dunia, amedai kuwa wamegundua udhaifu wa Timu ya England na watatumia mwanya huo siku hiyo ya Jumatano.Mpaka sasa, England, walio chini ya Kocha toka Italia, Fabio Capello, wanaongoza Kundi lao kwa kushinda mechi 7 katika 7 walizocheza na wako mbele ya timu ya pili Croatia kwa pointi 4 na pia wana mechi moja mkononi.England wakiifunga Croatia hiyo Jumatano watatinga Fainali Afrika Kusini.Croatia, walio nafasi ya pili Kundi hili, wamewazidi Timu ya 3, Ukraine, pointi 3 lakini Ukraine wana mechi moja mkononi.Hivyo, ni muhimu sana Croatia kuifunga England ingawa itakuwa mechi ngumu kwao hasa kwa vile katika mechi ya kwanza kati ya timu hizo, England waliwaumbua Croatia kwa kuwapigia bao 4-1 nyumbani kwao mjni Zagreb.Hata hivyo, Croatia wanapata matumaini hasa wakikumbuka Novemba, 2007, Uwanjani Wembley, walipowafunga England 3-2 na kuwang’oa England kuingia Fainali za EURO 2008.Slaven Bilic, enzi za Uchezaji wake alichezea West Ham mwaka 1996 na 1997 kisha kwenda kucheza Everton mwaka 1997 hadi 2000, amesema: “England kwa sasa ni Timu tofauti. Wana uzuri wao lakini kuna kitu kimepungua kwao. Sasa wanaukosa ule “Uingereza” ambao uliifanya iwe ngumu kufungika zamani! Lakini, tunajua nini hasa wanakikosa na siwezi kuwaambia ni nini! Ni siri yetu!”