Thursday, December 31, 2009
Haya funga mwaka na....!!!
Arsenal yamchapa Ports mouth 4 kwa 1
Arsenal~4
Ports mouth~1
Namchezo uliopishana nusu saa tu yani Man utd vs Wigan. pia wigan wapata kipondo toka kwa man utd 5 kwa mtungi kweli siku yakufa nyani miti yote huteleza wahenga usema.
MAN UTD~5
WIGAN~0
MWisho ya yote nihayo. Nakutakieni HAPPY NEW YEAR wadau.
Monday, December 28, 2009
Akika Dunia! Matau,
NAHUKU ARSENAL VS A.VILLA
Arsenal yamchapa vill 3-0
arsenal-3
a.villa-0
Thursday, December 17, 2009
Matokeo yaliyo jili kwenye blog yeto europa!
Burnely kutoka sale na Arsenal
Burnely-1
Arsenal- 1
NAYE:Chelsea kumchapa Portsmouth 2 kwa 1 Chelsea-2
Portsmouth-1
NA Liver poor kumtandika Wigan 2 kwa 1
Liver poor-2
Wigan-1
Wednesday, December 16, 2009
Katika ulimwengu wa soka baran ulaya akika timwili lajana
NA LEO IFIKAPO SAA 1:00 Atlanta vs Barcelona
NA PIA SAA 4:45 Chelsea vs Porsmo
Arsenal vs Burnel
Tuesday, December 15, 2009
Sunday, December 13, 2009
Leo ndio leo asema kesho muongo!
arsenal wapo ugenini .mpira umeanza kunako saa 1 :00 za East Africa. Katika dakika ya 11 torres nakosa bao kunako dakika ya 40 kipind cha kwanza kuyt mshambuliaji wa Liver anapata gori moja. Na kunako dakika ya 49 samir nasri anapata bao moja ni mshambuliaji wa Arsenal. Pia dakika ya 57 arsenal wana pata gor la 2 Arshavin anajipatia.Da! Yani uwezi amini mpaka mzezo unaisha Arsenal wanaongoza mabao 2
Liver poor-1
Arsenal-2
Usiku mkubwa da nime shudia vingi sana kwa usiku wa juma mosi kuamki juma pili
Friday, December 11, 2009
LIGI KUU BARAN UROPA USUSAN NCHIN ENGLAND JUMAMOSI 12/DEC/2009
Wednesday, December 9, 2009
9/dec/2009 sherehe ya miaka 48 ya uhuru
Tuesday, December 8, 2009
Tukirudi baran la ulopa!
Man utd
vs
Wolfsrug
Maselle
vs
Realmadrid
kitakacho toke kataka mech hiz jaribu kufatiria blog hii mdau tupo pamoja
Wadau nyote karibuni uwanja wetu wa uhuru maana naona shamlashamla ...!!!
Monday, December 7, 2009
Nimengi yaliyo tokea anga za kimataifa ususani america
Tuesday, December 1, 2009
money 4 nothing!!!!!!
Watching hated rival Barcelona win an unprecedented Treble while struggling both domestically and in Europe was a bitter pill to swallow for Real. The humiliating experience prompted a glut of summer spending at the Bernabeu, with Cristiano Ronaldo, Kaka and Karim Benzema all arriving in blockbuster transfer moves.
Friday, November 27, 2009
NAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NA WEEKEND NJEMA MDAU
Saturday, November 14, 2009
Tuesday, November 10, 2009
Sunday, November 8, 2009
Boss Wa England Fabio Capello Ajalibu Kuwaonya Majeruhi!!!
Jinsi Nilivyomuumba Mke Ninayemtaka"
Saturday, October 31, 2009
NILIVYO ONA NILISHTUKA NIKA SEMA SIWEZI KUSITAJABU MIMI KUNA WADAUS
Uma ukitolewa toka kwenye tumbo lake wakati wa operesheni pembeni kulia ni baadhi ya vijiko na uma vilitolewa toka kwenye tumbo lake.
Madaktari nchini Ujerumani ilibidi wamfanyie operesheni ya dharura mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Margaret Daalman ambaye alikuwa akimeza vijiko na uma kila alipokuwa akila kwa muda mrefu kiasi cha kwamba jumla ya vijiko na uma 78 vilitolewa toka kwenye tumbo lake. Pichani Lundo la vijiko na uma vikiwa vimekusanyika kwenye tumbo lake. GONGA LIFE STYLE kwa habari zaidi.
Katika dabi ya Timu za Kaskazini ya London, Arsenal wakiwa kwao Emirates Stadium waliwapiga Tottenham mabao 3-0 kwenye mechi ya Ligi Kuu iliyoanza mapema kuliko mechi nyingine za leo Jumamosi Oktoba 31.Mpaka mapumziko Arsenal walikuwa mbele kwa bao 2-0 kwa mabao yaliyofungwa ndani ya dakika moja katika dakika ya 43 Mfungaji akiwa Van Persie na la pili sekunde chache baadae kwa bao zuri sana la Nahodha Fabregas. Bao la 3 alifunga Van Persie.Vikosi:Arsenal: Almunia, Sagna, Gallas, Vermaelen, Clichy, Fabregas, Song Billong, Diaby, Bendtner, van Persie, Arshavin. AKIBA: Mannone, Senderos, Nasri, Eduardo, Ramsey, Eboue, Gibbs. Tottenham: Gomes, Corluka, King, Bassong, Assou-Ekotto, Bentley, Huddlestone, Palacios, Jenas, Keane, Crouch. AKIBA: Button, Hutton, Bale, Pavlyuchenko, Dawson, Kranjcar, Woodgate. Refa: Mark Clattenburg .
Monday, October 26, 2009
Milan certain of Beckham deal
AC Milan vice-president Adriano Galliani is "100% certain" David Beckham will return to the San Siro outfit in the winter transfer market.
The England midfielder has been strongly linked with a second loan spell at the Rossoneri to improve his chances of making Fabio Capello's FIFA World Cup™ squad.
Galliani told the Italian media: "Beckham's arrival is certain to happen, 100%. The agreement is done and all that is missing are the signatures."
The 34-year-old Beckham returned to the Los Angeles Galaxy in the summer after a successful six-month loan spell with Milan, where he helped the Rossoneri finish fourth in Serie A with two story by
Lil Wayne – Run This Town [No Ceilings]
Wednesday, October 21, 2009
MASKINI: Liverpool ni vipigo mfululizo!!!! Barca waaibishwa Nou Camp!!!
echi za jana za UEFA CHAMPIONS LEAGUE zimeleta matokeo yasiyotarajiwa na magoli bwelele huku ajabu kubwa ni pale Warusi Rubin Kazan walipowakung’uta Mabingwa Watetezi wa Ulaya FC Barcelona kwa bao 2-1 tena wakiwa nyumbani kwao Nou Camp.
Liverpool wameendelea kupata vipigo mfululizo ingawa jana sio puto ndio liliwafunga bali ni goli la dakika za majeruhi wakiwa kwenye ngome yao Anfield na pia kupata athari kubwa pale mhimili wao na Nahodha wao Steven Gerrard kucheza dakika 25 tu za mwanzo na kulazimika kutoka baada ya kuumia.
Matokeo ya mechi ya jana ambayo Liverpool alifungwa 2-1 na Lyon ya Ufaransa yamedhihirisha ile imani ya wengi kuwa Liverpool bila Gerrard na Torres ni nyanya tu. Jana Torres hakucheza kabisa.
Sasa, baada ya vipigo mfululizo, Jumapili kwenye Ligi Kuuu, Liverpool wanawakaribisha Mahasimu wao wakubwa Manchester United na hilo linawatia homa Mashabiki wa Liverpool.
Arsenal wakiwa ugenini huko Uholanzi na huku wakiongoza bao 1-0 walilazimishwa sare ya 1-1 na AZ Alkmaar.
Rangers ya Scotland iliadhiriwa vibaya ikiwa nyumbani baada ya kuchapwa bao 4-1 na Unirea Urziceni.
Sevilla, baada ya mechi 3 tu, wameweka rekodi huko Ulaya baada ya kufuzu kusonga mbele Raundi nyingine baada ya mechi 3 tu.
Matokeo kamili mechi za jana Jumanne, Oktoba 20:
KUNDI E
Liverpool 1 Lyon 2
Debrecen 3 Fiorentina 4
KUNDI F
Inter Milan 2 Dynamo Kiev 2
Barcelona 1 Rubin Kazan 2
KUNDI G
Stuttgart 1 Sevilla 3
Rangers 1 Unirea Urziceni 4
KUNDI H
AZ Alkmaar 1 Arsenal 1
Olympiakos 2 Standard Liege 1
Monday, October 12, 2009
Big Brother Revolution: Images from Day 35 - SUNDAY OCTOBER 11
Sunday, October 11, 2009
Wenger alicho ambiwa unakijua? "Wenger muda wa kusubiri umekwisha, leta Kombe Emirates"!!!
Saturday, October 10, 2009
Ronaldo na Rooney Wataniana!!
Fergie amwomba msamaha Refa Wiley
Thursday, October 8, 2009
WADAU BONGO STAR SEARCH WATANGAZA ZAWADI!!!
FIFA yairuhusu Man U kumsajili Kinda Pogba!!!
FIFA U-20 WORLD CUP EGYPT 2009
Tuesday, October 6, 2009
Mmiliki wa Liverpool George Gillett amlaumu Rafael BenÃtez kwa matokeo mabaya!!!
Saturday, October 3, 2009
VODACOM MISS TANZANIA 2009 NI MAGEUZI MAKUBWA,MREMBO KUTOKA MWANZA AJINYAKULIA TAJI TENA!!
Mkoa wa Mwanza kwa mara ya pili umetoa mrembo wa Tanzania na kudhihirisha uwezo wake katika mashindano hayo makubwa na yenye mvuto nchini, Miriam anachukua nafasi ya Vodaciom Miss Tanzania 2008 Nasreem Karim ambaye pia alitokea mkoani mwanza na kuufanya mkoa huo kuzichachafya kanada za Mkoa wa Dar es salaam Ilala Temeke na Kinondoni ambazo mara nyingi zimekuwa zikijitapa kuwa ndizo zenye warembo bomba kitu ambacho kimedhihirisha kuwa Tamb zao ni hazimzuii tembo kutoka Mwanza kunywa maji kisimani.
Miriam Gerald SALUYA44 anakutakia kila mafanikio katika kazi zako zote za Miss Tanzania ni kazi ngumu lakini ukiwa makini, ukajiheshimu na kusikiliza ushauri utashinda majaribu yoyote katika kazi hizo Mungu akujalie sana
Berbatov aliwahi kutekwa nyara?
Wednesday, September 30, 2009
BIG BROTHER AFRICA REVOLUTION - Daily Updates - Day 23 (September 29, 2009)
Manchester United v VfB Wolfsburg
Mechi nyingine ya leo kwenye Kundi hili ni kati ya CSKA Moscow v Besiktas.
Man U ilishinda mechi yake ya kwanza Kundini kwa ushindi wa ugenini wa 1-0 dhidi ya Besiktas na Wolfsburg, ikiwa nyumbani, iliibamiza CSKA Moscow 3-1.
Man U leo huenda ikaikosa nguvu kazi ya Winga Park Ji-sung ambae ni mgonjwa na pia upo wasiwasi kuhusu Michael Owen ambae ana tatizo dogo pajani.
Kipa Veterani Edwin van der Sar ameshapona na ameanza mazoezi lakini inaaminika leo Ben Foster ataendelea kuwa golini kwani van der Sar hajapata mazoezi ya kutosha.
Wolfsburg huenda wakamkosa Nahodha wao Josue mwenye matatizo ya goti ambalo alifanyiwa operesheni hivi karibuni.
Hata hivyo, nguvu ya Wolfsburg ni Mshambuliaji hatari toka Brazil Grafite na mwingine kutoka Bosnia, Edin Dzeko, Wachezaji ambao hupewa sapoti kubwa na mwenzao kutoka Bosnia pia aitwae Zvjezdan Misimovic.
LEO UEFA CHAMPIONS LEAGUE
Apoel Nicosia v Chelsea
Leo saa 3 dakika 45 usiku, saa za bongo, Chelsea wanashuka Uwanja wa GSP Nicosia uliopo mjini Nicosia, Visiwani Cyprus, kucheza na Wenyeji wao Apoel Nicosia katika mechi ya pili Kundini mwao katika kinyang’anyiro cha UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
Chelsea watashuka dimbani bila Nyota wao Michael Ballack, John Mikel Obi na Ashley Cole ambao ni majeruhi pamoja na Didier Drogba na Jose Bosingwa ambao bado wako kifungoni.
Ingawa Apoel Nicosia hawapewi nafasi kubwa kwenye mechi hii, Kocha wao Ivan Jovanovic anaamini wanaweza kufanya vizuri hasa baada ya kucheza vizuri katika mechi ya kwanza walipokuwa ugenini huko Spain na kutoka suluhu na Atletico Madrid.
Chelsea waliifunga FC Porto ya Ureno bao 1-0 katika mechi ya awali ya Kundi hili.
Mechi nyingine kwenye Kundi hili ni FC Porto v Atletico Madrid.
Monday, September 28, 2009
Tuesday, September 22, 2009
Nyoka Mwenye Mkono Mmoja Awashangaza Wanasayansi China
Thursday, September 17, 2009
Akiri Adebayor kwa FA ‘kumtimba’ van Persie!!!
Wednesday, September 16, 2009
Amerie&lil wayne schedule videoshoot around his new bay
“[When] we were doing the video they were ‘we have to figure it out because nature might take its course,” she told The BoomBox. “We were like ‘lets go to where nature might take its course [Los Angeles] so we can get a pick up shot in case he gets the call.” The video, which was shot earlier this month, is for the single ‘Heard Em All,’ off her upcoming album.
“He’s awesome,” she said of working with Wayne. “He’s always really, really nice. The first time I met him we were doing this event together and we were sitting in the stands. Our handlers were transporting us in the building or something, I just remember thinking ‘he’s really down to earth. He’s really cool.’ I’ve liked him ever since he was in Cash Money, in like ‘97. He’s always had a lot of charisma.”
Amerie is gearing up for the release of her fourth album ‘Love & War,’ her first on Def Jam Records. “[I'm] very excited about [the new album],” she said. “I love my fans [and] I really hope they love this album. I feel like they will if they loved the first one and the second one.”
Shouts to TheBoomBox, and I wonder if they are shooting the video with Wayne’s verse as we last heard that Weezy was only making a cameo.
Tuesday, September 15, 2009
Teem ya Man City wasubiri litakalomkuta Adebayor!!! Shabiki amlalamikia van Persie Polisi!!
UEFA yafuta kifungo cha Eduardo, huru kucheza kesho UEFA CHAMPIONS LEAGUE!!!
Sunday, September 13, 2009
van persie adai emmanuel alimtimba makusudi ili amumize...!!!
Saturday, September 12, 2009
Wenger akiri: “Ni muhimu kumsimamisha Adebayor!”
Katika mechi ya leo, Man City itawakosa nyota wao Robinho na Tevez ambao wote waliumia katika mechi moja wakati Nchi zao Brazil na Argentina zilipokutana kwenye mechi ya Kombe la Dunia Jumamosi iliyopita huko Rosario City, Argentina na Brazil kushinda 3-1.
Arsenal watamkosa majeruhi Andriy Arshavin lakini Nahodha wao Cesc Fabregas na Tomas Rosicky wapo fiti na huenda wakacheza.
Mechi kama hii msimu uliokwisha, Man City walishinda bao 3-0.
Refa katika mechi ya leo ni Mark Clattenburg.
FIFA yaizuia Chelsea kuwarudisha hata Wachezaji wao waliowatoa kwa mkopo!!
Friday, September 11, 2009
ULE MCHANANGE WA LIGI KUU England: Mechi za Wikiendi hii na taarifa zake mbalimbali
LIGI KUU ENGLAND:
Mechi za Vilabu zarudi tena!!
Thursday, September 10, 2009
0, Paraguay waingia Fainali!!!
Jumamosi, Argentina wakiwa nyumbani Rosario City, walipigwa bao 3-1 na Mahasimu wao wakubwa Brazil.
Bao la Paraguay lilifungwa na Haedo dakika ya 28.
Kwa kipigo hiki cha pili mfululizo ambacho mbali ya kuhatarisha sana nafasi ya Argentina kucheza Fainali huku zikiwa zimebaki mechi 2 tu kwenye Kundi lao, hata kibarua cha Kocha Diego Maradona sasa kina walakini mkubwa
Wednesday, September 9, 2009
David Gill wa Man U kachaguliwa katka chama cha Klabu Ulaya [ECA]!
ECA ina Bodi hiyo yenye Wawakilishi 15 na hupeleka Wajumbe wake kwenye Kamati za UEFA na kushirikiana na kutoa ushauri kuhusu masuala ya Soka huko Ulaya.
ECA inaundwa kutokana na Klabu 144 toka Nchi 53 za Ulaya na hupigania haki za Vilabu hivyo huko Ulaya.
Mpaka sasa Timu zilizo Fainali ni Wenyeji Afrika Kusini, Uholanzi, Brazil, Ghana, Japana, Korea Kaskazini, Korea Kaskazini na Australia.
Huko Ulaya Washindi 9 wa kila Kundi wataenda Fainali na Timu 8 Bora zitakazoshika nafasi ya pili zitafanyiwa dro ili kuwe na mechi 4 na washindi wa mechi hizo wataingia Fainali.
Mabingwa wa Ulaya Spain wataingia Fainali wakiwafunga Estonia na wakati huo huo Turkey iwafunge Bosnia. Lakini hata Spain wakitoka droo na Turkey akishinda, Spain atenda Fainali.
Denmark atatinga Fainali ikiwa tu ataifunga Albania huku Portugal waifunge Hungary na Malta wasifungwe na Sweden.
Na kwa Slovakia, itabidi kwanza waombe Slovenia na Poland watoke suluhu kisha wao waifunge Ireland nyumbani kwao Belfast ndipo wataingia Fainali.
Mutu aomba atoe pesa kwenye Mifuko ya Hisani badala ya kuilipa Chelsea Pauni Milioni 15!!!!
**ASEMA HANA UWEZO KULIPA FAINI HIYO ILIYOWEKWA NA FIFA!
Adrian Mutu ametoa pendekezo ni bora achangie kwenye Mifuko ya Hisani au kwenye Mifuko yoyote inayowasaidia watu badala ya kuilipa Chelsea fidia ya Pauni Milioni 15 kama ilivyoamuliwa na FIFA na kuungwa mkono na CAS [Mahakama ya Usuluhishi Michezoni].
Mshambuliaji huyo kutoka Rumania alieigharimu Chelsea Pauni Milioni 15 mwaka 2003 alifukuzwa Chelsea mwaka mmoja baadae baada ya kugundulika anatumia cocaine na kufungiwa miezi 7 kutocheza soka.
FIFA iliamua Mutu ailipe Chelsea Pauni Milioni 15 ikiwa ni fidia lakini Mutu alikata rufaa kupinga uamuzi huo kwa Korti ya Usuluhishi Michezoni [CAS= Court of Arbitration for Sport].
Uamuzi wa CAS ulitolewa Julai mwaka huu na Mutu amebakiza muda wa wiki moja tu kukata Rufaa kwa Mahakama Kuu ya Uswisi ambayo ndiyo pekee yenye haki ya kusikiliza na kuamua maamuzi yanayotolewa na CAS.
Hatua ya Mutu ipo kwenye barua aliyowaandikia Chelsea, Kamati ya Nidhamu ya FIFA na Rais wa FIFA, Sepp Blatter.
Katika barua hiyo, Mutu ameandika: “Siwezi kulipa kiasi hicho. Si suala la kuamua bali la kuelewa na kufahamu misingi ya kutokuwa na uwezo. Napendekeza nitoe mchango mkubwa utakaoamuliwa ili kuwasaidia Vijana wenye matatizo ya madawa ya kulevya na pia kutoa kiwango hicho hicho kwa Mfuko wa Hisani watakauchagua Chelsea wa mjini London na Nchini kwangu Romania.”
Baada ya kutimuliwa Chelsea, Mutu alijiunga na Juventus Januari 2005 kama Mchezaji huru na hivyo Chelsea kutopata hata senti na msimu mmoja baadae akaenda Fiorentina ambako yuko mpaka leo.