Friday, September 11, 2009

Mechi za Vilabu zarudi tena!!

Baada ya mikiki na hekaheka, furaha kwa baadhi na huzuni kwa wengine katika Nchi zao mbalimbli zilizokuwa zikiwania kuingia Fainali Kombe la Dunia huko Afrika Kusini 2010, sasa tunarudi kwenye michuano ya Klabu kwenye LIGI KUU England, UEFA CHAMPIONS LIGI na EUROPA LIGI.Ifuatayo ni Ratiba ya Wiki moja kuanzia Jumamosi hii hadi Jumapili, Septemba 20.

No comments:

Post a Comment