Wednesday, September 2, 2009

Mchezaji akatwa mguu baada ya kupigwa Radi kwenye mechi!!

Mchezaji wa Klabu ya FC Nordsjaelland ya Denmark, Jonathan Richter, amelazimika kukatwa mguu hospitali wiki 6 baada ya kupigwa na Radi akiwa uwanjani akiichezea Timu yake iliyokuwa ikicheza mechi ya kirafiki na Hvidovre.Madaktari walisema mguu wake uliharibika vibaya na kulikuwa hamna njia ila kuukata ili kumwokoa.

No comments:

Post a Comment