Wednesday, September 2, 2009
Wadhamini FA Cup kujitoa!!
FA, Chama cha Soka England, kimetangaza Mdhamini wa Kombe la FA, E.On, hataongeza mkataba ukiisha mwaka 2010.E.On walikuwa na mkataba na FA wa miaka minne uliokuwa na thamani ya zaidi ya Pauni Milioni 32.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment