Kocha wa zamani wa Tottenham na Real Madrid Juande Ramos ameteuliwa Meneja wa CSKA Moscow na kumbadili Mbrazil Zico.Ramos, baada ya kutimuliwa Tottenham Oktoba, 2008, alipata kazi Real Madrid ya mkataba wa miezi 6 ulioisha mwishoni mwa msimu uliokwisha.CSKA Moscow wako Kundi moja pamoja na Manchester United kwenye UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
No comments:
Post a Comment