UEFA yamfungia Eduardo mechi 2!!
Mshambuliaji wa Arsenal Eduardo amefungiwa mechi 2 na UEFA kwa kujidondosha makusudi kwenye mechi na Celtic na hivyo kumhadaa Refa ili apate penalti aliyoifungia Arsenal bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 kwenye mechi ya mtoano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE.Eduardo atazikosa mechi za Arsenal dhidi ya Standard Liege na Olympiakos za Makundi UEFA CHAMPIONS LEAGUE.Arsenal wamepewa siku 3 kuikatia rufaa adhabu hiyo.
No comments:
Post a Comment