Friday, August 14, 2009
Wakunga wataziweza hizo compyuta?
Baadhi ya wakunga kutoka vyuo vya afya ambalimbali vilivyopatiwa kompyuta na watu wa Marekani wakijaribu vifaa hivyo wakati wakipatiwa mafunzo ya kutumia vifaa hivyo kwa ajili ya vyuo 63 nchini. Picha ya Ubalozi wa Marekani.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment