Wednesday, August 19, 2009

KWA Ufupiiiii....................................:

-Salgado atua Ewood Park!!!
Michael Salgado, miaka 33, Veterani kutoka Spain, alieichezea Real Madrid kwa muda wa miaka 10 na kuiwezesha kutwaa Ubingwa wa Ulaya mara mbili na La Liga mara nne, amesaini mkataba wa miaka miwili na Klabu ya Blackburn Rovers inayoongozwa na Sam Allardyce anaesifika kwa kuwachota Wachezaji Wakongwe na kuwaibua upya kama alivyofanya na akina Jay Jay Okocha.
Salgado, alieiwakilisha Timu ya Taifa ya Spain mara 53, ametemwa na Real Madrid kabla msimu huu kuanza.

No comments:

Post a Comment