Saturday, August 22, 2009

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ndo umeanza, blog hii yapenda kuwatakia mfungo mwema wa mwezi huu mtukufu na pia kuwaasa wale wote wanaofunga kuwa kufuata mafundisho ya Quran Tukufu kuhusu mwezi huu. Tunasema Ramadan Kareem.wa Ramadhani ndo umeanza, blog hii yapenda kuwatakia mfungo mwema wa mwezi huu mtukufu na pia kuwaasa wale wote wanaofunga kuwa kufuata mafundisho ya Quran Tukufu kuhusu mwezi huu. Tunasema Ramadan Kareem.

No comments:

Post a Comment