Monday, August 31, 2009
LIGI KUU ENGLAND kusitishwa wiki 2 kupisha Mitoano KOMBE LA DUNIA!!!
Friday, August 28, 2009
Villa nje, Fulham, Everton wapeta EUROPA LIGI!!!
Klabu za Uingereza zakwepa Vigogo Ulaya UEFA CHAMPIONS LEAGUE
Klabu za Uingereza zakwepa Vigogo Ulaya UEFA CHAMPIONS LEAGUE
UHAMISHO LIGI KUU ENGLAND!!!!!
Bayern Munich wamchota Robben!
Wednesday, August 26, 2009
Wenger: “Leo na Celtic ni Mechi Kubwa kupita Jumamosi na Man U!!!”
Vurugu Carling Cup Uwanjani Upton Park: West Ham 3 Millwall 1
Monday, August 24, 2009
Lockerbie minister facing critics
The Scottish justice secretary will be forced to defend his decision to release the Lockerbie bomber as the Scottish Parliament is recalled.
Opposition parties will demand to know how Kenny MacAskill aims to repair the damage they claim has been done to Scotland's global reputation.
He has been under huge pressure after granting early release to terminally-ill Abdelbaset Ali al-Megrahi.
Mr MacAskill will make a statement to parliament and be questioned by MSPs.
The parliament will reconvene at 1430 BST on Monday.
Megrahi was freed after receiving a life sentence imposed in 2001 for his conviction for the UK's worst terrorist atrocity, which claimed 270 lives in 1988.
International standing
The 57-year-old, who has prostate cancer, returned home to Libya on Thursday to jubilant scenes which included people waving Scottish flags.
Scottish ministers said their decision to release Megrahi on compassionate grounds - which has been strongly criticised by the US government - followed due process and was the right one.
As the Scottish Parliament was preparing to cut short its summer break to discuss the issue, Scotland's opposition politicians urged Mr MacAskill to set out how he intends to improve Scotland's international standing in the wake of the criticism.
Moto mkubwa wateketeza Athens
Karibu watu wote wa Aglos Stefanos, kilomita 23 kutoka kaskazini mashariki mwa Athens, walikimbia moto huo kwa magari au kwa miguu.
Moto umekuwa ukiteketeza eneo la kilomita 50 ukichochewa kwa upepo mkali usiotabirika.
Moto huo ambao ni mkubwa kuliko ule wa mwaka 2007 uliouwa watu 70, unaelezewa kama ni angamizo kwa mazingira.
Juhudi za uzimaji moto zilisimamishwa wakati wa usiku giza lilipoanza kuingia siku ya Jumapili, huku moto huo ukiendelea kuwaka wakati wa usiku, ingawaje hakuna majeruhi walioripotiwa.
Ingawa moto huo umeripotiwa kupungua katika maeneo ya mjini ulikuwa bado unaendelea kuteketeza zaidi maeneo ya misitu.
''Kubadilikabadilika kwa mwelekeo wa upepo kunatabiri moto huo'' msemaji wa kikosi cha zama moto Giannis Kapakis ameliambia shirika la habari la Reuters. ''Ni lazima wote tuwe watulivu katika kipindi cha usiku huu.''
Nyumba kadhaa zimeteketezwa na hali ya hatari imetangazwa katika eneo la mji wa Athens.
Waziri mkuu Costas Karamanlis amesema nchi inakumbana na ''mkasa mzito'' lakini akapongeza juhudi za waokozi kwa juhudi zao za kishujaa.
Italia, Ufaransa na Cyprus zimetuma ndege kusaidiana na vikosi vya zima moto vya Ugiriki.
Polisi wakiwa na vipaza sauti walizunguka katika eneo la Agios Stefanos mapema Jumapili kuwaasa wakazi kuelekea Athens mara moja.
''Tumekuwa tukiomba serikali tangu asubuhi kutuma vikosi'', amesema Panayiotis Bitakos makamu Meya wa eneo hilo. ''Muda umekwisha sasa, umekwisha sana.''
Moto huo unaripotiwa kuwa umeanza siku ya Ijumaa katika eneo lililotengwa kutupa takataka la Grammatiko, karibu na mji mkongwe wa Marathon.
Moto huo unasambaa kwa kasi katika vilima nje ya mji wa Athens, ukiteketeza misitu.
Moto huo uliongezaka zaidi siku ya Jumamosi na kusambaa hadi Varnavas. Hadi siku ya Jumapili asubuhi nyumba zilikuwa zinaungua katika vitongoji vya Athens vya Drafi, Pikermi na Pallini.
Wakati wa usiku moto ulikumba kilele cha Pendeli, katika mwinuko, kitongoji cha kaskazini kinachoonyesha mandhari ya mji wa Athens, ukiteketeza majumba.
Sehemu kubwa ya mlima wa Pendeli iliteketezwa mwaka 2007, anasema Malcolm Brabant aliyeko Athens.
Miti iliyokuwa katika milima mitatu kati ya minne inayozunguka mjii mkuu Athens, ilishateketezwa katika matukio yaliyopita ya moto na mmomonyoko wa udongo katika misitu utakuwa ni wa kutisha, mwandishi wetu anaongeza.
Mkasa mzito
Mamia ya vikosi vya zima moto na wanajeshi vikisaidiwa kwa helikopta na ndege vimekuwa vikidondosha maji toka angani kuzima moto, lakini moto huo ulikuwa mkubwa kupindukia kuweza kudhibiti, mwandishi wetu anasema.
Gavana wa Athens Yiannis Sgouros ameiambia televisheni ya Ugiriki kuwa zaidi ya akari 30,000 za ardhi zimeteketezwa, katika kile anachokielezea kama ni ''maangamizi ya mazingira.''
Wakati wakazi wengi katika maeneo yaliyotishiwa na moto huo walifuata maelekezo ya kuhama, wengine walibaki wakijaribu kulinda nyumba zao.
Moto huo umesababisha moshi mzito katika anga la Athens.
Sunday, August 23, 2009
Century man: Rooney afunga goli lake la 100 Man U walipomchapa mtu 5-0!!
Wayne Rooney amefunga goli lake la 100 akiwa na Man U kwenye mechi iliyowapa nguvu mpya, ari mpya na kelele mpwa mashabiki wa timu hiyo baada ya mwanzo mbaya na kufungwa na wiki iliyopita. Manchester United jana aliwafunga Wigan bila huruma bao 5-0 mabao ambayo yalifungwa kipindi cha pili.
Katika mchezo wa jana mabao wawili ya Rooney yalimuwezesha kuwa na magoli 101 katika timu ya Man U.
Owen ndiye aliyefungua karamu ya magoli kwa kupachka bao la kwanza kitokea benchi.
Saturday, August 22, 2009
Liverpool wamsaini Mlinzi Kyrgiakos.
Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Friday, August 21, 2009
EUROPA LEAGUE
EUROPA LEAGUE
Everton waliibamiza Sigma Olomouc ya Urusi kwa mabao 4-0 mawili mguuni kwa Luis Saha na mengine mawili toka kwa Chipukizi Jack Rodwell.
Fulham waliinyuka Amkar Perm ya Urusi 3-1 kwa mabao ya Jonhson, Dempsey na Zamora.
Marudiano ya mechi hizi ni wiki ijayo.
Matokeo mengine ni:
Ajax 2 Bratislava 0
CSKA Sofia 0 Dinamo Moscow 0
FC Twente 3 FK Qabarag 1
Guingamp 1 Hamburg 5
MFK Kosice 3 Roma 3
Lampard: "Ni Messi tu anaweza kumbadili Ronaldo!"
Hata hivyo Lampard amesema anaamini pengo la Ronaldo litazibwa kwa Meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson kuifanya Timu hiyo icheze "kitimu" badala ya kutegemea mtu mmoja na hivyo amekiri Man U itakuwa tishio.
Rio nje mwezi!!
Taarifa zinasema Beki kigogo wa Manchester United, Rio Ferdinand, atakuwa nje ya uwanja mwezi mzima baada ya kuumia musuli pajani mazoezini.
Hivyo Ferdinand ataikosa mechi ya Jumamosi hii dhidi ya Wigan na Jumamosi ijayo dhidi ya Arsenal.
Thursday, August 20, 2009
Nelson Mandela Bay ready for 2010!!
Situated in the Eastern Cape Province, where some of the country's most celebrated figures hail from, there are many compelling reasons why Nelson Mandela Bay/ Port Elizabeth should be an essential stop for tourists during next year's FIFA World Cup.
"We believe the Nelson Mandela Bay will be one of the biggest tourist attractions during the World Cup," Nelson Mandela Bay spokesperson, Roland Williams told FIFA.com. "Our goal is to market and position the city as a destination of choice far beyond 2010. We have worked very hard and one can see that our infrastructure is one of the best in the country."
The warm beaches, the wildlife, the breathtaking views and the natural vegetation on view as you drive through this vast province go towards making a trip to the south-eastern part of the country a must. The Eastern Cape is home to Nelson Mandela, an iconic figure in South Africa and throughout the world. It has also given birth to the likes of another former South African president, Thabo Mbeki, as well as Steve Biko, the architect of Black Consciousness in South Africa, Govan Mbeki, Oliver Tambo, Walter Sisulu and many others.
Nelson Mandela Bay/Port Elizabeth is also the birthplace of Blackburn Rovers and Bafana Bafana winger, Elrio van Heerden. Currently, the city does not have a top flight outfit following the sudden relegation of Bay United from the elite league last season. However, some of the country's major teams continue to use the city for matches.
Recently, Nelson Mandela Bay launched three Visitor Information Centres (VICs) to ensure tourists arriving in the city for the 2010 FIFA World Cup™ receive the best advice and information. The three centres are based at the Port Elizabeth Airport, the lighthouse facility at the Donkin Reserve and the Boardwalk Casino and Entertainment World. These one-stop shops will supply tourists with information on a wide range of services, including reservations, accommodation, tours, vehicle hire, entertainment, adventure and travel tips. Visitors to the centre will also be able to make use of user-friendly touch screens linked to central database of tourism products on offer and the advertisements of local businesses.
New StadiumTwo months after its completion, the state-of-the-art Nelson Mandela Bay Stadium has already passed two major tests in its quest to be ready for the FIFA World Cup.
The stadium achieved a milestone when it became the first newly-built South Africa 2010 venue to be completed - a full 12 months before the world's greatest showpiece descends on the African continent for the first time ever.
The Nelson Mandela Bay Stadium recently hosted two major events: the British Lions Tour and the country's biggest football encounter popularly known as the Soweto Derby between historical arch-rivals Orlando Pirates and Kaizer Chiefs.
"It is clear for everyone to see that the Nelson Mandela Bay is ready," Williams added. "We managed to complete our stadium more than a year before the event; that on its own should say something to those who still believe we won't be able to successfully host this event."
The Nelson Mandela Bay Stadium will host group games during the 64-match event next year. The stadium will also be the venue for the third and fourth place play.
Wednesday, August 19, 2009
Arsenal ushindi tu.
Timu hizi zitarudiana wiki ijayo Jumanne Emirates Stadium nyumbani kwa Arsenal.
Matokeo mechi nyingine za UEFA CHAMPIONS LEAGUE zilizochezwa jana ni: [kwenye mabano ni Nchi Timu zinazotoka]
FC Sheriff Tiraspol [Moldova] 0 Olympiacos [Greece] 2
Celtic [Scotland] 0 Arsenal [England] 2
Poli Aek Timisoara [Romania] 0 VfB Stuttgart [Germany] 2
FC Kobehavn [Denmark] 1 APOEL Nicosia FC [Cyprus] 0
Sporting Lisbon [Portugal] 2 Fiorentina [Italy] 2
LIGI KUU ENGLAND: Chelsea wachanja mbuga!
Jana Chelsea wameendeleza wimbi lao la ushindi baada ya kushinda ugenini walipoipiga Sunderland mabao 3-1 mabao yote matatu yakifungwa kipindi cha pili baada ya Sunderland kuongoza kwa bao lililofungwa na Darren Bent hadi mapumziko.
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Ballack, Lampard [penalti] na Deco.
Katika mechi nyingine za LIGI KUU, Wigan wakiwa nyumbani walipachikwa kimoja na Wolverhampton timu iliyopanda Daraja msimu huu.
Mechi za leo LIGI KUU ni: [saa za bongo]
-SAA 3 DAK 45 usiku
Birmingham v Portsmouth
Burnley v Manchester United
Hull City v Tottenham
-SAA 5 usiku
Liverpool v Stoke City
Jens Lehman, Kipa wa zamani wa Arsenal na Timu ya Taifa ya Ujerumani, ambae atafikisha umri wa miaka 40 Novemba mwaka huu, atastaafu kucheza soka mwishoni mwa msimu huu ulioanza majuzi.
Lehman, ambae kwa sasa ni Kipa wa Klabu iliyo Bundesliga VfB Stuttgart, ameidakia Timu ya Ujerumani mara 61 na kucheza Arsenal kati ya 2003 na 2008.
-Wakala wa Vidic akanusha Nemanja kwenda Barca!!!
Paolo Fabbri, Wakala wa Beki mahiri wa Mabingwa Manchester United, Nemanja Vidic, amekanusha taarifa zilizomnukuu yeye na kuzagaa sana leo hii kuwa ametamka Vidic ana nia ya kuhamia Spain Klabuni Barcelona.
Fabbri amesema yeye hakusema hayo ila anachojua ni kuwa Vidic anajisikia raha kuwa na Manchester United.
KWA Ufupiiiii....................................:
Salgado, alieiwakilisha Timu ya Taifa ya Spain mara 53, ametemwa na Real Madrid kabla msimu huu kuanza.
Tuesday, August 18, 2009
CHELSEA SIGN NEMANJA MATIC
Chelsea Football Club is delighted to announce the signing of midfielder Nemanja Matic on a four-year contract.
The 21-year-old joins us from Slovak side MFK Kosice and is highly regarded around Europe as a talent to look out for in the future.
Matic already has two full Serbia caps, playing alongside Branislav Ivanovic, and was at the Under 21 European Championships in Sweden this summer, although a broken metatarsal ended his tournament in the first game against Italy.
That injury means he will be ruled out for a number of weeks yet, although he is recovering well, and he is delighted to be a Chelsea player.
'I know a lot about Chelsea, I have been following them,' he said.
'I play together with Branislav in the national team and have spoken to him about Chelsea. The first time when I met him to play in the national team I asked a couple of questions,' Matic added.
He may be a relative unknown to Blues fans, so chelseafc.com asked the player to say a few words about himself.
'I am a solid midfield player, I have a lot to offer and for sure to progress and I will show everyone why I am at Chelsea,' he began.
'I am a central-midfielder, and I know I am not well known but I have physical power and I am quite a technical, left-footed player.
'Since the age of 18 I have been at Kosice, and before that I had played in the youth team of Red Star Belgrade.'
Matic, who is 6ft 4ins tall and also holds a Slovak passport, has been heavily trailed by other Premier League clubs, and actually spent some time on trial at Middlesbrough in January.
'I was there in the winter, when I came it was winter in the north of England so it was not very nice, but the squad was okay and I liked it,' he said.
Hopefully London will be a more hospitable destination, and while Matic does not yet speak English, having Ivanovic alongside, as well as other eastern European influences Andriy Shevchenko and Yuri Zhirkov, he is sure to settle quickly.
Chelsea Football Club is delighted to announce the signing of midfielder Nemanja Matic on a four-year contract.
The 21-year-old joins us from Slovak side MFK Kosice and is highly regarded around Europe as a talent to look out for in the future.
Matic already has two full Serbia caps, playing alongside Branislav Ivanovic, and was at the Under 21 European Championships in Sweden this summer, although a broken metatarsal ended his tournament in the first game against Italy.
That injury means he will be ruled out for a number of weeks yet, although he is recovering well, and he is delighted to be a Chelsea player.
'I know a lot about Chelsea, I have been following them,' he said.
'I play together with Branislav in the national team and have spoken to him about Chelsea. The first time when I met him to play in the national team I asked a couple of questions,' Matic added.
He may be a relative unknown to Blues fans, so chelseafc.com asked the player to say a few words about himself.
'I am a solid midfield player, I have a lot to offer and for sure to progress and I will show everyone why I am at Chelsea,' he began.
'I am a central-midfielder, and I know I am not well known but I have physical power and I am quite a technical, left-footed player.
'Since the age of 18 I have been at Kosice, and before that I had played in the youth team of Red Star Belgrade.'
Matic, who is 6ft 4ins tall and also holds a Slovak passport, has been heavily trailed by other Premier League clubs, and actually spent some time on trial at Middlesbrough in January.
'I was there in the winter, when I came it was winter in the north of England so it was not very nice, but the squad was okay and I liked it,' he said.
Hopefully London will be a more hospitable destination, and while Matic does not yet speak English, having Ivanovic alongside, as well as other eastern European influences Andriy Shevchenko and Yuri Zhirkov, he is sure to settle quickly.
Chelsea Football Club is delighted to announce the signing of midfielder Nemanja Matic on a four-year contract.
The 21-year-old joins us from Slovak side MFK Kosice and is highly regarded around Europe as a talent to look out for in the future.
Matic already has two full Serbia caps, playing alongside Branislav Ivanovic, and was at the Under 21 European Championships in Sweden this summer, although a broken metatarsal ended his tournament in the first game against Italy.
That injury means he will be ruled out for a number of weeks yet, although he is recovering well, and he is delighted to be a Chelsea player.
'I know a lot about Chelsea, I have been following them,' he said.
'I play together with Branislav in the national team and have spoken to him about Chelsea. The first time when I met him to play in the national team I asked a couple of questions,' Matic added.
He may be a relative unknown to Blues fans, so chelseafc.com asked the player to say a few words about himself.
'I am a solid midfield player, I have a lot to offer and for sure to progress and I will show everyone why I am at Chelsea,' he began.
'I am a central-midfielder, and I know I am not well known but I have physical power and I am quite a technical, left-footed player.
'Since the age of 18 I have been at Kosice, and before that I had played in the youth team of Red Star Belgrade.'
Matic, who is 6ft 4ins tall and also holds a Slovak passport, has been heavily trailed by other Premier League clubs, and actually spent some time on trial at Middlesbrough in January.
'I was there in the winter, when I came it was winter in the north of England so it was not very nice, but the squad was okay and I liked it,' he said.
Hopefully London will be a more hospitable destination, and while Matic does not yet speak English, having Ivanovic alongside, as well as other eastern European influences Andriy Shevchenko and Yuri Zhirkov, he is sure to settle quickly.
Celtic v Arsenal - Paddy Power Preview
Paddy Power expect Arsenal to make it through to the Group Stages (2/9) but no team in Europe has gone to Celtic and come away with much, it has been their away form that has let them down. How Arsenal cope with the famous atmosphere will be interesting, the crowd there really does give Celtic a 12th man.
14/5 Celtic Win
23/10 Draw
Evens Arsenal Win
After his man of the match display at the weekend Cesc Fabregas is the subject of Paddy Power’s Money-Back Special for the first leg. If Fabregas scores at anytime in 90 minutes Paddy Power will refund all losing 1st/last goalscorer, correct score and scorecast bets on the match.
Of course Arsenal will take confidence from their opening day win but Champions League nights at Celtic Park are very different from a Premier League game at Goodison Park. Celtic know how important this competition is to their fans and will be in the faces of the Arsenal team and will surely not give them the amount of free space Everton did. This season Arsenal fans can look forward to Andrey Arshavin playing in Europe for them and hope that he’ll see them into the next stages of this competition, he’s 7/1 to score the first goal at Celtic Park and 17/1 to score 2 or more goals. Eduardo marked his first Premier League appearance since returning from injury with a goal and he’s 6/1 to score the first and the same price to complete the scoring again.
First Scorer
6/1 Van Persie
6/1 Eduardo
7/1 Arshavin
15/2 Bendtner
11/1 Fabregas
18/1 Diaby
25/1 Denilson
It’s bound to be a tight affair and Arsène Wenger would surely take a score-draw before bringing Celtic down to the Emirates for the second leg. Away goals are crucial in these two-legged Champions League games and should Arsenal get one of these then the balance of power will be firmly in their favour.
Correct Score
11/2 Arsenal 1-0
7/1 Arsenal 2-0
8/1 Arsenal 2-1
14/1 Arsenal 3-0
14/1 Arsenal 3-1
17/2 0-0
5/1 1-1
12/1 2-2
Paddy Power will be offering in-running betting on this match along with every other Arsenal match this season, where you can bet after the match has started and you’ve got a better feeling of how the game is going to play out.
Wenger - Nordtveit needs Nurnberg spell
After captaining the Reserve team following his arrival in north London two years ago, the Norwegian youth international spent time on-loan at UD Salamanca and Lillestrom last term.
And, earlier this month, Nordtveit agreed to join Bundesliga newcomers Nurnberg for the 2009/10 campaign.
Wenger has kept a close eye on the 19-year-old’s progress since his arrival at Emirates Stadium and the manager hopes his potential will be realised during his time in Germany.
“To play here, I believe he needs at least one year in the Bundesliga,” the manager said at his press conference last week.
“It will be very interesting to see how he has improved. He is a player with good mental strength, is an intelligent boy and very mature.
“I believe he will be a very good player and whenever we check him, he played very well.”
Monday, August 17, 2009
WATU WAFURIKA KUSIKILIZA HUKUMU YA ZOMBE NA WENZAKE!!
Zombe na wenzie kuachiwa uhuru...!!!
Jaji Salum Masatti wa Mahakama Kuu, leo mchana amemwachia huru mkuu wa zamani wa upelelezi mkoani Dar es Salaam, Abdallah Zombe na polisi wengine wanane ambao kwa pamoja walikuwa wanakabliwa na mashtaka ya kuwaua kwa makusudi wafanyabiashara ya madini kutoka, Mahenge mkoa wa.Morogoro na dereva wa teksi wa mkazi wa Dar es Salaam.
Katika kesi hiyo, ambayo ilikuwa ikivuta watu wengi kwenye chumba cha Mahakama Kuu jijini Dar es salaam, Jaji Masatti amewaachia huru washtakiwa hao baada ya kesi hiyo kuunguruma toka ilipoanza kusikilizwa kwa mara ya kwanza Mei 28, 2008.
Zombe na wenzake walikuwa wanatuhumiwa kuwaua kwa kukusudia Sabinus Chigumbi, maarufu kama Jongo na ndugu yake Ephrahim Chigumbi na Mathias Lunkombe ambao ni wafanyabiashara wa Mahenge. Mwingine ni dereva teksi wa Manzese jijini Dar es salaam, Juma Ndugu.
Inadaiwa kuwa watu hao waliuawa kwa kupigwa risasi kwenye msitu wa Pande ulioko Mbezi Luisi wilayani Kinondoni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Watu hao walikamatwa na polisi kwa madai ya kuhusika kwenye tukio la ujambazi jijini Dar es salaam, lakini gazeti hili likaripoti baadaye kuwa waliouawa hawakuwa majambazi baada ya kuzungumza na watu wa sehemu mbalimbali, zikiwemo Mahenge na Sinza.
Taarifa hiyo ilisababisha Rais Jakaya Kikwete kuunda tume iliyoongozwa na Jaji Kipenka Mussa ambayo uchunguzi wake ulisababisha kutiwa hatiani kwa watu hao na kufunguliwa kesi.
Hukumu ya leo ya Jaji Masatti inaweza kuamsha vilio au vicheko atakapoamua kuwatia hatiani askari hao wa Jeshi la Polisi au kuwaachia huru baada ya kujenga msimamo kutokana na ushahidi uliowasilishwa na pande zote pamoja na maoni ya wazee wa baraza.
Lameck Mlacha, msajili namba mbili wa wilaya wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, aliiambia Mwananchi kuwa siku ya hukumu mahakama itaweka vipaza sauti ili wananchi wanaotarajiwa kufurika mahakamani hapo, kusikiliza hukumu hiyo vizuri.
Pia alisema ili kuhakikisha kuwa wananchi wote wanapata ujumbe kamili na kuuelewa, hukumu itasomwa kwa lugha ya Kiswahili.
Hali ya ulinzi pia ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kuimarishwa mahakamani hapo ili kuhakikisha kuwa mambo yote yanakwenda sawa na kwa amani bila vurugu yoyote.
Awali washtakiwa kwenye kesi hiyo walikuwa 12, lakini baada ya kumalizika kwa hatua ya awali, washtakiwa tisa walionekana wana kesi ya kujibu wakati watatu waliachiawa huru.
Walioachiwa huru ni aliyekuwa mshtakiwa wa sita, Koplo Morris Nyangelela, Koplo Felix Cedrick, aliyekuwa mshtakiwa wa nane na PC Noel Leonard ambaye alikuwa mshtakiwa wa nne.
Hadi sasa Saadi Alawi, ambaye ameelezwa kuwa ndiye aliyetekeleza mauaji hayo kwa kuwapiga risasi watu hao, hajakamatwa.
Zombe, ambaye ni mshtakiwa wa kwanza na ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya Kamanda wa Polisi wa Dar es salaam wakati wa mauaji hayo, alipata ahueni baada ya kusikiliza maoni ya Wazee wa Baraza.
Katika maoni waliyotoa Juni 26, wazee hao walieleza kuwa upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha mashtaka bila kuacha mashaka dhidi yake.
Wazee hao walidai kuwa kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa na mashahidi 37 upande wa mashtaka, hakuna shahidi hata mmoja aliyeweza kuithibitishia mahakama kuhusika kwa Zombe katika mauaji ya wafanyabiashara hao kwa kuwa hakuna shahidi hata mmoja aliyeieleza mahakama kuwa alimuona Zombe katika eneo la mauaji au hata walikokamatwa Sinza.
"Ili mtu atiwe hatiani kwa kosa kubwa kama hili la mauaji ni lazima upande wa mashtaka uthibitishe bila kuacha shaka kuwa mshtakiwa huyo alifanya kosa hilo. Upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha hatia ya mauaji kwa mshtakiwa wa kwanza" alisema Mzee Kimolo na kuungwa mkono na wenzake.
"Mheshimiwa Jaji, maoni yangu na mapendekezo yangu ni kwamba mahakama yako tukufu imuone mshtakiwa wa kwanza kuwa hana hatia na imwachie huru."Lakini wakati wa kufanya majumuisho Juni 25, upande wa mashtaka uliiomba mahakama imtie hatiani afisa huyo mwandamizi wa polisi kwa kushiriki kosa baada ya kosa (accessory after the facts).
"Kama mahakama itaona kuwa mshtakiwa wa kwanza (Zombe) na wa 13 (Gwabisabi) hawakushiriki katika mauaji kwa kuwa ushahidi ulioko mahakamani hawakwenda Pande, basi iwatie hatiani kwa kosa la Accessory after the facts chini ya kifungu cha 213,387(i) na 388 cha Penal Code," alidai Mtaki.
Mtaki aliileza mahakama kuwa kila kesi huamuliwa kwa mazingira yake na kuitaka mahakama kuzingatia mazingira ya kesi hiyo, ambayo alisema kuwa washtakiwa wote ni askari polisi, baadhi yao wakiwa ni maofisa na wapelelezi walio na uzoefu.
"Kwa hali hiyo shauri hili linapaswa lipewe mtazamo wa kipekee kabisa kwa kuzingatia ushahidi wa pande zote na hatimaye mahakama yako tukufu iweze kufikia uamuzi wa haki ambao sisi tunaamini kuwa washtakiwa wote wana hatia ya mashtaka haya," alisisitiza Mtaki.
Sheria inaweza kumtia hatiani mshtakiwa iwapo anabainika kushiriki kosa, kushiriki kosa baada ya kosa na kushiriki kabla ya kosa.Lakini wakati akitoa mwongozo, Jaji Masatti alisema ingawa sheria inaweza kumtia mtu hatiani kwa kushiriki kosa baada ya kosa, hilo linaweza kutendeka iwapo alishtakiwa kwa kosa hilo.
Wote tisa wameshtakiwa kwa kosa kubwa la mauaji, na wala si kula njama za kuua, jambo ambalo linafanya Zombe awe anatarajiwa kuachiwa huru iwapo hataonekana na hatia ya kushiriki kuua.
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa rasmi katika Mahakama hiyo mbele ya Jaji Masatti wakati huo akiwa Jaji Kiongozi Mei 26 mwaka 2006, na jumla ya mashahidi 37 walitoa ushahidi mahakamani hapo kabla ya washtakiwa kusimama kizimbani na kujitetea.
Washtakiwa wengine waliobakia katika kesi hiyo baada ya watatu kuachiwa na mmoja, Koplo Rashid Lema kufariki dunia Aprili 3 mwaka huu, ni SP Christopher Bageni, ASP Ahmed Makelle, WP 4593 PC Jane Andrew, CPL Emmanuel Mabula, PC Michael Sonza, CPL Ebeneth Saro, C/CPL Rajab Bakari na D/CPL Festus Gwabisabi.
Saturday, August 15, 2009
Captive Egyptians defeat Somali pirates, sail free
Friday, August 14, 2009
TMH KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA KITUO!!
Wakunga wataziweza hizo compyuta?
Mzee Kingunge Amepwelea-Kanisa Katoliki
MALUIMBANO kuhusu waraka wa Kanisa Katoliki (RC)yanaendelea kuwa makali, baada ya waumini wa kanisa hilo kumuelezea mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru kuwa amepwelea.Mbali na kauli hiyo iliyotolewa jana na Baraza la Walei,Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Valentino Mokiwa amemtaka Kingunge kuliomba radhi kanisa badala ya kuombwa radhi kama alivyotaka.
Tuesday, August 11, 2009
"Romantic Jatt", is set to be released on August 21st and Miss Pooja has teamed up with some of Urban Desi's and Bhangra's best to work on this project. Rishi Rich, Tigerstyle, Kam Frantic, Aman Hayer, Punjabi Lab, Sunil Kalyan, & Tarli Digital have contributed to this production. The album maintains the traditional Bhangra vibe through Miss Pooja's rich Punjabi vocals and at the same time does a great job of fusing in other genres of music. An example of this is the song, "Romantic Jatt," which is a Bhangra track with a dancehall flavor.
Produced by Tigerstyle "Romantic Jatt" is the title track and features dancehall artist Roach Killa. The song has been playlisted by the BBC Asian Network and has been receiving heavy rotation.
Along with the new album there have been talks about a new look for Miss Pooja. The Bhangra star may have added more of a western flair to her style as seen in the photo above. Well, change is always hard especially when your fans love you for the way you are, but people do change and hopefully Miss Pooja's fans will continue to grow with her. Stay tuned for news about her upcoming album, and if you haven't heard the title track on the album yet, check it out below.
Monday, August 10, 2009
The Worst Career Moves in Hip-Hop History
Horse Shoe Gang “Crazy Niggas” with Royce da 5′9″ on intro/outro
Sunday, August 9, 2009
Hillary Clinton aionya Eritrea
Bi Clinton alisema baada ya kufanya mazungumzo na rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed mjini Nairobi Kenya, kuwa vitendo vya Eritrea ''havikubaliki''.
Amesema pia kuwa Marekani itaongeza nguvu kuisadaia serikali ya umoja ya Somalia.
Eritrea inakanusha kukisadia kikundi cha wapiganaji cha Somalia al-Shabab ambao wanajaribu kuiondoa serikali ya Somalia.
Kundi la al-Shabab linaongezeka nguvu na wasomali laki mbili na hamsini elfu wameyakimbia makazi yao kufuatia mapigano kati ya wapiganaji hao na majeshi ya serikali katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Akiwa katika siku ya pili ya ziara yake barani Afrika, Bi Clinton alikuwa anafanya mazungumzo na kiongozi anayeungwa mkono na Umoja wa Mataifa, muislamu mwenye msimamo wa kati.
Kwa hakika iwapo Al-Shabab wanapata hifadhi nchini Somalia ambapo itakaribisha al-Qaeda na vitendo vya kigaidi, basi itakuwa ni tishio kwa Marekani.
Katika mkutano wa pamoja na rais wa Somalia, Bi Clinton alisema: ''Ni kipindi kirefu kimepita sasa ambapo Eritrea inapaswa kuacha na kukoma kukisaidia kikundi cha al-Shabab na kuanza kuwa msaada na sio kuvuruga amani ya nchi jirani.
''Tunaweka bayana kabisa kuwa vitendo vyao havikubaliki''. Tunakusudia kuchukua hatua kali iwapo vitendo hivyo havitakoma.''
Aliongeza: ''Hakuna shaka kuwa al-Shabab wanataka kudhibiti Somalia na kuitumia kama kituo ambacho watakuwa wakiendesha shughuli zao na hata kujipenyeza nchi jirani na kisha kufanya mashambulio dhidi ya nchi za mbali na karibu.''
Bi Clinton amesema iwapo al-Shabab watapata hifadhi nchini Somalia ''itakuwa ni tishio kwa Marekani.''
Marekani imefutilia mbali uamuzi wake wa kutuma majeshi yake kupigana na waasi nchini Somalia.
Eritrea imekuwa ikikanusha mara kwa mara kukisaidia kikundi cha al-Shabab, ikisema kuwa tuhuma hizo ni za kutengenezwa na kitengo cha usalama cha Marekani.
Kabla ya mazungumzo hayo siku ya Alhamis, Bi Clinton aliwakumbuka waathirika wa milipuko ya mabomu ya mwaka 1998 katika balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya, katika sherehe za kuweka mashada ya maua zilizofanyika mjini Nairobi.
Zaidi ya watu 220 waliuawa na wengine 5000 walijeruhiwa katika shambulio hilo la kwanza lililofanywa na al-Qaeda dhidi ya Marekani.
Shirika la habari la AP limemkariri Bi Clinton akisema kuwa eneo hilo la ubalozi linakumbusha kuwa '' tishio la ugaidi ambalo haliheshimu mipaka, rangi, kabila au dini bado lipo, na linalenga kuharibu na kuwanyima watu nafasi ya kufanya maamuzi yao wenyewe na kuendelea kuishi.''
Kuna taarifa kuwa al-Shabab kikundi cha kiislamu chenye kupendelea sheria kali ya kiislamu na kinachohusishwa na al-Qaeda, kinapata msaada kutoka wapiganaji duniani kote.
Mapema wiki hii polisi nchini Australia iliwakamata watu kadhaa na kuwashitaki kwa kupanga kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga mjini Sydney na kusema kuwa watu hao wana uhusiano na al-Shabab.
Mwandishi wa BBC aliyeko Nairobi Will Ross anasema rais wa Somalia anahitaji kila msaada unaopatikana. Vikundi vya kijeshi vinavyounga mkono serikali vinadhibiti sehemu ndogo tu ya makao makuu ya Somalia,Mogadishu.
Anadokeza kuwa ni eneo la hatari sana kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kuweza kuingia Somalia, kwani mapigano bado yanaendelea.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia ameiambia BBC kuwa kitendo cha Marekani kuiunga mkono serikali ya Somalia ni ''jambo la msingi sana.''
''Ni wazi kabisa kuwa watu wa Somalia wamechoka, wamekinaishwa na kuchoshwa na vurugu,''. Alisema.
Marekani inakiri kuwa imetoa msaada wa tani 40 za silaha na risasi kwa vikosi vinavyounga mkono serikali ya Somalia mwaka huu, na kwamba inatarajia kupeleka shehena zaidi, anasema mwandishi wetu. www.bbc.com/swahili
Magaidi wahukumiwa kifo India
Haneef Sayyed na mkewe Fahmeeda na Ashrat Ansari walipatikana na hatia ya kufanya njama na kuua kwa kukusudia mwezi uliopita.
Milipuko hiyo iliyotokea katika katika eneo la lango kuu la India na katika soko la vito vya dhamani, yalisababisha maafa makubwa na kulitikisa taifa la India.
Wanasemekana kuwa walikuwa wakilipiza kisasi juu ya vifo vya waislamu wakati wa maandamano katika jimbo la Gujarat yaliyotokea mwaka mmoja kabla.
Mamia ya watu wameuawa katika mashambulio kadhaa mjini Mumbai katika miaka ya hivi karibuni.
Watu hao watatu wameonekana kuwa na mahusianao na kikundi cha wapiganaji wa kiisalmu nchini Pakistan, kijulikanacho kama Lashkar-e-Taiba, ambacho wachunguzi wanaamini kilihusika na mashambulio ya Mumbai mwezi Novemba mwaka 2008.
Uhusiano na Pakistan
Katika mahakama maalum inayohusika na kesi za kigaidi, Jaji Puranik aliamuru kwamba watu wote hao watatu waliopatikana na hatia kuwa ni ''lazima wanyongwe hadi kufa''.
Huku wakiwa wamesimama kizimbani watu hao hawakuonyesha kuwa na hisia yoyote wakati hukumu hiyo ikitolewa, mwandishi wa shirika la habari la AFP
anaarifu.
Wanasheria wao wamedokeza kuwa watu hao watakata rufaa juu ya hukumu hiyo ya kifo, ambayo ni mara chache sana kutolewa nchini India, na mara nyingi haitekelezwi au hupunguzwa na rais, shirika hilo linasema.
Mwanasheria wa Haneef Sayyed amesema mteja wake lazima afungwe maisha bila kufikiriwa kupewa msamaha, wakati mwansheria wa Fahmeeda Sayyed amepinga hukumu hiyo ya kifo akisema alikuwa ni mwanamke masikini, asiye na elimu na aliyelazimishwa kufanya uhalifu huo na mumewe.
Mwanasheria wa Ansar Sushan Kunjuramaran hakutoa maombi yoyote sipokuwa Ansar mwenyewe alimwambia jaji kuwa hakubaliani na uamuzi huo wa mahakama.
Mwendesha mashitaka mkuu Ujiwal Nikam amesema uhalifu huo wa watu hao watatu umeonyesha ukatili wa hali ya juu na umesababisha mauaji ya watu wengi wasio na hatia.
''Itakuwa ni kufanyia mzaha mfumo wa sheria na haki iwapo hukumu ya kifo haitatolewa,'' alisema kabla ya hukumu.
Milipuko hiyo ya magari mawili ya mwezi August mwaka 2003 yalileta taharuki katika lango kuu la India na katika soko la Zaveri Bazaar karibu na hekalu la Mumba Devi katika makao makuu ya Mumbai.
Takribani watu 180 walijeruhiwa katika mkasa huo.
Washitakiwa hao watatu wote kutoka Mumbai walifunguliwa mashitaka chini ya Sheria ya Kuzuia Ugaidi ya India ambayo toka wakati huo imetenguliwa.
Watu wengine wawili zaidi Mohammed Ansari na Mohammed Hasan walishitakiwa
lakini waliachiliwa kufuatia marudio ya kesi yao na mahakama maalum mwaka jana.
Washitakiwa hao watuatu walipatikana na hatia ya kupanga milipuko ya mabomu kwa kushirikiana na kundi la Lashkar-e-Taiba.
Kundi la Lashkar linatuhumiwa kufanya mashambulio mengine kadhaa nchini India katika miaka ya hivi karibuni, ikijumuisha ya silaha za bunduki na mabomu mjini Mumbai Novemba mwaka jana.
Hofu ya wapiganaji
Jaji amesema kuwa washitakiwa wote watatu ni wafuasi wa kundi la Lashkar, shitaka ambalo walilikana.
Lashkar ni moja kati ya makundi hatari yanayohofiwa kupigana dhidi ya ngome ya India eneo la Kashmir.
Lilipigwa marufuku nchini Pakistan mwezi Januari mwaka 2002 kufuatia mashambulio ya tarehe 11 mwezi Septemba nchini Marekani.
Hadi wakati huo Lashkar walikuwa wanaweza kufanya shughuli zao kwa uwazi ndani ya Pakistan ikiwemo kachangisha fedha na kuandikisha wafuasi.
Lashkar ilishutumiwa na India kwa mashambulio ya mabomu mjini Delhi mwezi October mwaka 2005 yaliyouwa zaidi ya watu 60 na ya Decemba mwaka 2001 kuvamia bunge la India.
Wachunguzi wa India wanalihusisha kundi hilo na mashambulio ya Mumbai mwezi Novemba mwaka 2008 ambapo watu wenye silaha waliwaua watu wapatao 166 katika mkasa wa siku tatu mfululizo.
Mshambuliaji pekee anayeaminika bado kuwa hai, Mohammad Ajmal Amir Qasab, alikiri kushiriki katika shambulio hilo katika kesi yake nchini India mwezi uliopita.
Naye pia angeweza kuhukumiwa kifo iwapo kukiri kwake kungekubalika na kisha majaji kutoa hukumu ya juu zaidi.
Habari zaidi zinasema kuwa, Pakistani imeomba polisi wa kimataifa kutoa tahadhari kote duniani juu ya watu wapatao 13 kuhusiana na uchunguzi wa mashambulio ya mwaka 2008.