Monday, August 31, 2009

LIGI KUU ENGLAND kusitishwa wiki 2 kupisha Mitoano KOMBE LA DUNIA!!!

Baada ya kuchezwa mechi za jana Jumapili, LIGI KUU itasimama kwa wiki mbili na kurudi tena tarehe 12 Septemba 2009 ili kupisha mechi za Timu za Taifa za kuwania nafasi za kuingia Fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini mwakani.Mechi hizo za Mataifa zitachezwa tarehe 5 Septemba na tarehe 9 Septemba.RATIBA YA LIGI KUU ni kama ifuatavywo:JUMAMOSI, 12 Septemba 2009 [SAA ZA BONGO][saa 11 jioni]Blackburn v WolverhamptonLiverpool v BurnleyMan City v ArsenalPortsmouth v BoltonStoke v ChelseaSunderland v HullWigan v West ham[saa 1 na nusu usiku]Tottenham v Man UJUMAPILI, 13 Septemba 2009[saa 8 mchana]Birmingham v Aston Villa[saa 12 na robo]Fulham v Everton.KikoCapello ateua si cha England!! Kocha wa England Fabio Capello ametangaza Kikosi chake kitakachopambana na Slovenia kwa mechi ya kirafiki hapo Jumamosi na mechi ya mtoano wa Kombe la Dunia dhidi ya Croatia Jumatano Septemba 5.Peter Crouch, Aaron Lennon na Wes Brown wameitwa tena Kikosini baada ya kukosekana katika mechi za hivi karibuni za Timu hiyo.Lakini Mshambuliaji wa Manchester United Michael Owen hakuitwa pamoja na Maveterani wa Timu hiyo Kipa David James na Mlinzi Rio Ferdinand ambao ni majeruhi.England watacheza na Slovenia Wembley saa moja na nusu usiku, saa za bongo, hapo Jumamosi, na Jumatano, Septemba 5 mechi na Croatia itakuwa saa 4 usiku saa za bongo.Endapo England wataifunga Croatia hiyo Jumatano watajihakikishia kucheza Fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini mwaka 2010.KIKOSI KAMILI:Makipa: Foster (Manchester United), Green (West Ham), Robinson (Blackburn)Walinzi: Johnson (Liverpool), Brown (Manchester United), Upson (West Ham), Terry (Chelsea), Lescott (Manchester City), A Cole (Chelsea), Bridge (Manchester City)Viungo: Wright-Phillips (Manchester City), Lennon (Tottenham), Beckham (Los Angeles Galaxy), Barry (Manchester City), Lampard (Chelsea), Carrick (Manchester United), Gerrard (Liverpool), A Young (Aston Villa), Milner (Aston Villa)Washambuliaji: Rooney (Manchester United), Heskey (Aston Villa), Defoe (Tottenham), C Cole (West Ham), Crouch (Tottenham

Friday, August 28, 2009

Villa nje, Fulham, Everton wapeta EUROPA LIGI!!!

Licha ya kufungwa ugenini bao 1-0 na Amkar Perm ya Urusi, Fulham imefanikiwa kuingia hatua ya Makundi ya EUROPA LIGI kwa jumla ya mabao 3-2 huku wenzao Everton wakijumuika nao baada ya pia kuwa ugenini na kutoka suluhu ya 1-1 na Sigma Olomouc ya Czech Republic na kutinga kwenye Makundi kwa jumla ya mabao 5-1.Kwa Aston Villa, licha ya kushinda uwanjani kwao 2-1 dhidi ya Rapid Vienna ya Austria, Villa imebwagwa nje ya EUROPA LIGI kwa bao la ugenini kwani ilifungwa mechi ya kwanza bao 1-0 na hivyo jumla ya mabao kuwa 2-2 katika mechi mbili.Droo ya kuamua Timu zipi zitakuwa Kundi lipi itafanywa leo huko Monaco kabla ya mechi ya leo kugombea SUPER CUP kati ya Bingwa wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE, Barcelona, na Bingwa wa UEFA CUP, Shakhtar Donetsk.

Klabu za Uingereza zakwepa Vigogo Ulaya UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Klabu za Uingereza zakwepa Vigogo Ulaya UEFA CHAMPIONS LEAGUEKlabu 5 za Uingereza zimewekwa kwenye Makundi ambayo Wadau wengi wamedai ni “laini kidogo” baada ya kuepuka kupangwa na Timu Vigogo wa Ulaya. Manchester United ambao walifika Fainali msimu uliopita wapo pamoja na CSKA Moscow, Besiktas na Wolfsburg KUNDI B.Liverpool watamenyana na Lyon, Fiorentina na Debrecen wakati Chelsea wapo na Porto, Atletico Madrid na APOEL Nicosia.Arsenal wamepangiwa na AZ Alkmaar, Olympiakos na Standard Liege wakati Rangers ya Scotland itacheza na Stuttgart, Sevilla na Unirea Urziceni.Klabu za England zimekwepa kuwekwa na Real Madrid na Inter Milan huku Real akiwa Kundi moja na AC Milan, Marseille na FC Zurich.Inter Milan yuko pamoja na Barcelona, Dynamo Kiev na Rubin Kazan.Msimu uliokwisha Chelsea walitolewa nje na Brcelona kwenye Nusu Fainali kwa bao la Andres Iniesta la dakika za majeruhi na Mkurugenzi Mtendaji wao Peter Kenyon alizungumza baada ya upangaji Makundi na kusema: “Tunaanza upya na siku zote tunataka twende mbele zaidi. Hamna mechi rahisi au Kundi laini lakini tumewakwepa Vigogo!!”Manchester United, kwa kuwa Kundi moja na CSKA Moscow, watarudi tena Uwanja wa Luzhniki walipowatoa Chelsea Fainali ya 2008 na kuwa Bingwa wa Ulaya na Mkuurugenzi Mkuu wa Klabu hiyo David Gill ametamka: “Kwa ujumla, tunafurahia Kundi letu. Tuna shauku kubwa kurudi tena Moscow baada ya furaha ya 2008!”Lakini, Sir Alex Ferguson, Meneja wa Man U, alisema: “CSKA sasa wamejijenga sana na mechi za kuchezea Uturuki ni ngumu siku zote. Pia tunajua ubora wa Wolfsburg na mafanikio yao Bundesliga msimu uliopita.”Nae, Mkurugenzi Mkuu wa Liverpool, Christian Purslow, amesema: “Tumefurahia!”Mkuu wa Arsenal, Ivan Gazidis, alionyesha tahadhari kuhusu KUNDI H ambalo wao wapo na kutamka: “Wengine wataangalia na kusema Arsenal atapita lakini tupo makini. Itakuwa ngumu ila tutatimiza kazi yetu.”Yapo Makundi Manane yenye Timu 4 kila moja na mechi zitachezwa mtindo wa Ligi wa nyumbani na ugenini huku mechi za kwanza zikichezwa Septemba 15 na 16.Washindi wanane wa kila Kundi pamoja na Washindi wa pili wataingia hatua ya mtoano huku washindi wa tatu wakiingizwa EUROPA LIGI.Fainali itachezwa Uwanja wa Real Madrid Bernabeu Stadium tarehe 22 May 2010 ambayo ni Jumamosi tofauti na hapo nyuma Fainali kuchezwa Jumatano.

Klabu za Uingereza zakwepa Vigogo Ulaya UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Klabu za Uingereza zakwepa Vigogo Ulaya UEFA CHAMPIONS LEAGUEKlabu 5 za Uingereza zimewekwa kwenye Makundi ambayo Wadau wengi wamedai ni “laini kidogo” baada ya kuepuka kupangwa na Timu Vigogo wa Ulaya. Manchester United ambao walifika Fainali msimu uliopita wapo pamoja na CSKA Moscow, Besiktas na Wolfsburg KUNDI B.Liverpool watamenyana na Lyon, Fiorentina na Debrecen wakati Chelsea wapo na Porto, Atletico Madrid na APOEL Nicosia.Arsenal wamepangiwa na AZ Alkmaar, Olympiakos na Standard Liege wakati Rangers ya Scotland itacheza na Stuttgart, Sevilla na Unirea Urziceni.Klabu za England zimekwepa kuwekwa na Real Madrid na Inter Milan huku Real akiwa Kundi moja na AC Milan, Marseille na FC Zurich.Inter Milan yuko pamoja na Barcelona, Dynamo Kiev na Rubin Kazan.Msimu uliokwisha Chelsea walitolewa nje na Brcelona kwenye Nusu Fainali kwa bao la Andres Iniesta la dakika za majeruhi na Mkurugenzi Mtendaji wao Peter Kenyon alizungumza baada ya upangaji Makundi na kusema: “Tunaanza upya na siku zote tunataka twende mbele zaidi. Hamna mechi rahisi au Kundi laini lakini tumewakwepa Vigogo!!”Manchester United, kwa kuwa Kundi moja na CSKA Moscow, watarudi tena Uwanja wa Luzhniki walipowatoa Chelsea Fainali ya 2008 na kuwa Bingwa wa Ulaya na Mkuurugenzi Mkuu wa Klabu hiyo David Gill ametamka: “Kwa ujumla, tunafurahia Kundi letu. Tuna shauku kubwa kurudi tena Moscow baada ya furaha ya 2008!”Lakini, Sir Alex Ferguson, Meneja wa Man U, alisema: “CSKA sasa wamejijenga sana na mechi za kuchezea Uturuki ni ngumu siku zote. Pia tunajua ubora wa Wolfsburg na mafanikio yao Bundesliga msimu uliopita.”Nae, Mkurugenzi Mkuu wa Liverpool, Christian Purslow, amesema: “Tumefurahia!”Mkuu wa Arsenal, Ivan Gazidis, alionyesha tahadhari kuhusu KUNDI H ambalo wao wapo na kutamka: “Wengine wataangalia na kusema Arsenal atapita lakini tupo makini. Itakuwa ngumu ila tutatimiza kazi yetu.”Yapo Makundi Manane yenye Timu 4 kila moja na mechi zitachezwa mtindo wa Ligi wa nyumbani na ugenini huku mechi za kwanza zikichezwa Septemba 15 na 16.Washindi wanane wa kila Kundi pamoja na Washindi wa pili wataingia hatua ya mtoano huku washindi wa tatu wakiingizwa EUROPA LIGI.Fainali itachezwa Uwanja wa Real Madrid Bernabeu Stadium tarehe 22 May 2010 ambayo ni Jumamosi tofauti na hapo nyuma Fainali kuchezwa Jumatano.

UHAMISHO LIGI KUU ENGLAND!!!!!

Zikiwa zimebaki siku chache kabla dirisha la uhamisho halijafungwa hapo Agosti 31, spidi ya uhamisho imepamba moto huku Klabu nyingi bado zikichacharika kusaka Wachezaji.Baadhi ya biashara zilizokamilika hivi karibuni ni pamoja na uhamisho wa Mlinzi na Nahodha wa Manchester City Richard Dunne, miaka 29, kuhamia Aston Villa.Aston Villa pia imemchukua Stephen Warnock, miaka 27,kutoka Blackburn Rovers kwa mkataba wa miaka minne.Warnock, anaeweza kucheza kama Kiungo au Beki wa kushoto, alijiunga na Blackburn mwaka 2007 akitokea Liverpool.Mlinzi wa Portsmouth Sylvain Distin, miaka 31, amejiunga na Everton kwa mkataba wa miaka mitatu na ada ambayo haikutajwa.Nao Wachezaji wa Middlesbrough iliyoshushwa Daraja msimu uliokwisha, Robert Huth, mlinzi kutoka Ujerumani na Tuncay Sanli wa Uturuki, wamejiunga na Stoke City.Blackburn Rovers wamemsaini Pascal Chimbonda kwa mkataba wa miaka miwili kutoka Tottenham Hotspur.

Bayern Munich wamchota Robben!

Real Madrid wamekubali kumuuza Winga wa zamani wa Chelsea, Mdachi Arjen Robben, kwa Bayern Munich kwa ada ya Pauni Milioni 22.Robben, miaka 25, alitegemewa kuhama Real tangu Klabu hiyo iwanunue Cristiano Ronaldo na Kaka.Nae Bosi mkubwa wa Bayern Munich, Hoeness, ametamka: “Robben ataimarisha Timu. Yeye akicheza Winga kulia na Ribery kushoto Timu itakuwa bomba!”

Wednesday, August 26, 2009

Wenger: “Leo na Celtic ni Mechi Kubwa kupita Jumamosi na Man U!!!”

Meneja wa Arsenal,Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger, ametamka mechi ya leo ya marudiano ya mtoano wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE kati ya Timu yake Arsenal na Celtic itakayochezwa nyumbani kwa Arsenal Emirates Stadium ni mechi kubwa kupita mechi ya Jumamosi ya Ligi Kuu England watakayocheza Old Trafford na Mabingwa Manchester United.Arsenal waliishinda Celtic mechi ya kwanza ugenini kwa bao 2-0 na suluhu ya aina yeyote ile au hata wakifungwa 1-0 itawafanya watinge hatua ya Makundi ya michuano hiyo.Wenger alisema: “Hii ni mechi muhimu kupita Jumamosi na Man U!! Ukifungwa leo hamna marudiano!! Tukifungwa Jumamosi na Man U bado tuna nafasi kwani tutabakiwa na mechi 35 za Ligi!!”Mbali ya ushindi wa uwanjani katika mechi ya leo, Timu ambazo zitacheza hatua ya Makundi ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE huwa na uhakika wa kupata donge lisilopungua Pauni Milioni 25.Mechi ya leo itaanza saa 3 dakika 45 saa za bongo., ametamka mechi ya leo ya marudiano ya mtoano wa UEFA CHAMPIONS LEAGUE kati ya Timu yake Arsenal na Celtic itakayochezwa nyumbani kwa Arsenal Emirates Stadium ni mechi kubwa kupita mechi ya Jumamosi ya Ligi Kuu England watakayocheza Old Trafford na Mabingwa Manchester United.Arsenal waliishinda Celtic mechi ya kwanza ugenini kwa bao 2-0 na suluhu ya aina yeyote ile au hata wakifungwa 1-0 itawafanya watinge hatua ya Makundi ya michuano hiyo.Wenger alisema: “Hii ni mechi muhimu kupita Jumamosi na Man U!! Ukifungwa leo hamna marudiano!! Tukifungwa Jumamosi na Man U bado tuna nafasi kwani tutabakiwa na mechi 35 za Ligi!!”Mbali ya ushindi wa uwanjani katika mechi ya leo, Timu ambazo zitacheza hatua ya Makundi ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE huwa na uhakika wa kupata donge lisilopungua Pauni Milioni 25.Mechi ya leo itaanza saa 3 dakika 45 saa za bongo.

Vurugu Carling Cup Uwanjani Upton Park: West Ham 3 Millwall 1

FA kuchunguza!!!FA, Chama cha Soka cha England, kimesema kitafanya uchunguzi juu ya vurugu zilizotokea ndani na nje ya Uwanja wa Uptown Park jana usiku ambako mtu mmoja alichomwa kisu katika mechi ya Timu mbili zote za mjini London zenye upinzani wa jadi West Ham na Millwall zilipokuwa zikicheza mechi ya mtoano ya Kombe la Carling.Timu hizi hazijawahi kukutana tangu Aprili 2005 kwa vile West Ham iko Ligi Kuu na Millwall inacheza Madaraja mawili chini yake yaani Ligi 2.Vurugu hizo zilianza nje ya uwanja kabla ya mechi pale mamia ya Mashabiki wasio na Tiketi ambao Polisi imesema walipanga kuleta fujo kuanza kurusha chupa, matofali na kuchoma moto.Ndani ya uwanja, West Ham wakiwa nyuma kwa bao 1 lililofungwa na Harris wa Millwall dakika ya 26, waliweza kusawazisha dakika ya 87 kupitia Junior Stanislas na kusababisha Mashabiki kuvamia uwanja wakishangilia.Katika dakika 30 za muda wa nyongeza, alikuwa Junior Stanislas tena alieifungia West Ham bao la pili kwa penalti na Mashabiki kwa mara ya pili wakavamia uwanja kushangilia.Hapo ndipo Refa akasimamisha mechi na kuwatoa nje Wachezaji huku Polisi na Wasimamizi wakijitahidi kuwaondoa Mashabiki uwanjani.Mmoja wa watu waliojitahidi kuwatuliza Washabiki ni Mchezaji wa West Ham Jack Collison ambae Baba yake Mzazi alifariki Jumapili kwa ajali ya pikipiki na ambae alisema licha ya msiba huo yuko tayari kucheza mechi hiyo.FA imesema Shabiki yeyote atakaegundulika kushiriki fujo hizo atafungiwa maisha kuingia kwenye Viwanja.

MATOKEO MECHI ZA JANA UEFA CHAMPIONS LEAGUE [Kwenye mabano Timu inayosonga mbele na jumla ya magoli]Anderlect 1 v Lyon 3 [Lyon imeshinda jumla magoli 8-2]Atletico Madrid 2 v Panathinaikos 0 [Atletico 5-2]Debrecin 2 v Levski Sofia o [Debrecin 4-1]FC Zurich 2 v FK Ventspills 1 [FC Zurich 5-1]Maccabi Haifa 3 v SV Red Bull Salzburg 0 [Haifa 5-1]MECHI ZA LEO JUMATANO AGOSTI 26[Matokeo mechi ya kwanza kwenye mabano][saa 3 dak 45 usiku]Apoel Nicosia v FC Copenhagen [0-1]Arsenal v Celtic [2-0]Fiorentina v Sporting [2-2]Olympiacos v FC Sheriff Tiraspol [2-0]VfB Stuttgart v Politehnica Timisoara [2-0]

Monday, August 24, 2009

Lockerbie minister facing critics

Mr. MacAskill

The Scottish justice secretary will be forced to defend his decision to release the Lockerbie bomber as the Scottish Parliament is recalled.

Opposition parties will demand to know how Kenny MacAskill aims to repair the damage they claim has been done to Scotland's global reputation.

He has been under huge pressure after granting early release to terminally-ill Abdelbaset Ali al-Megrahi.

Mr MacAskill will make a statement to parliament and be questioned by MSPs.

The parliament will reconvene at 1430 BST on Monday.

Megrahi was freed after receiving a life sentence imposed in 2001 for his conviction for the UK's worst terrorist atrocity, which claimed 270 lives in 1988.

International standing

The 57-year-old, who has prostate cancer, returned home to Libya on Thursday to jubilant scenes which included people waving Scottish flags.

Scottish ministers said their decision to release Megrahi on compassionate grounds - which has been strongly criticised by the US government - followed due process and was the right one.

As the Scottish Parliament was preparing to cut short its summer break to discuss the issue, Scotland's opposition politicians urged Mr MacAskill to set out how he intends to improve Scotland's international standing in the wake of the criticism.

Greece braced for more fire chaos

Greek firefighters face another day battling wildfires that threaten areas north of Athens, as thousands leave their homes.

Moto mkubwa wateketeza Athens


Maelfu ya wakazi kadhaa wa mji wa Athens nchini Ugiriki wameokolewa katika nyumba zao kufuatia moto wa mstituni unaoendelea kuuzunguka mji mkuu huo.

Karibu watu wote wa Aglos Stefanos, kilomita 23 kutoka kaskazini mashariki mwa Athens, walikimbia moto huo kwa magari au kwa miguu.

Moto umekuwa ukiteketeza eneo la kilomita 50 ukichochewa kwa upepo mkali usiotabirika.

Moto huo ambao ni mkubwa kuliko ule wa mwaka 2007 uliouwa watu 70, unaelezewa kama ni angamizo kwa mazingira.

Juhudi za uzimaji moto zilisimamishwa wakati wa usiku giza lilipoanza kuingia siku ya Jumapili, huku moto huo ukiendelea kuwaka wakati wa usiku, ingawaje hakuna majeruhi walioripotiwa.

Ingawa moto huo umeripotiwa kupungua katika maeneo ya mjini ulikuwa bado unaendelea kuteketeza zaidi maeneo ya misitu.

''Kubadilikabadilika kwa mwelekeo wa upepo kunatabiri moto huo'' msemaji wa kikosi cha zama moto Giannis Kapakis ameliambia shirika la habari la Reuters. ''Ni lazima wote tuwe watulivu katika kipindi cha usiku huu.''

Nyumba kadhaa zimeteketezwa na hali ya hatari imetangazwa katika eneo la mji wa Athens.

Waziri mkuu Costas Karamanlis amesema nchi inakumbana na ''mkasa mzito'' lakini akapongeza juhudi za waokozi kwa juhudi zao za kishujaa.

Italia, Ufaransa na Cyprus zimetuma ndege kusaidiana na vikosi vya zima moto vya Ugiriki.

Polisi wakiwa na vipaza sauti walizunguka katika eneo la Agios Stefanos mapema Jumapili kuwaasa wakazi kuelekea Athens mara moja.

''Tumekuwa tukiomba serikali tangu asubuhi kutuma vikosi'', amesema Panayiotis Bitakos makamu Meya wa eneo hilo. ''Muda umekwisha sasa, umekwisha sana.''

Moto huo unaripotiwa kuwa umeanza siku ya Ijumaa katika eneo lililotengwa kutupa takataka la Grammatiko, karibu na mji mkongwe wa Marathon.

Moto huo unasambaa kwa kasi katika vilima nje ya mji wa Athens, ukiteketeza misitu.

Moto huo uliongezaka zaidi siku ya Jumamosi na kusambaa hadi Varnavas. Hadi siku ya Jumapili asubuhi nyumba zilikuwa zinaungua katika vitongoji vya Athens vya Drafi, Pikermi na Pallini.

Wakati wa usiku moto ulikumba kilele cha Pendeli, katika mwinuko, kitongoji cha kaskazini kinachoonyesha mandhari ya mji wa Athens, ukiteketeza majumba.

Sehemu kubwa ya mlima wa Pendeli iliteketezwa mwaka 2007, anasema Malcolm Brabant aliyeko Athens.

Miti iliyokuwa katika milima mitatu kati ya minne inayozunguka mjii mkuu Athens, ilishateketezwa katika matukio yaliyopita ya moto na mmomonyoko wa udongo katika misitu utakuwa ni wa kutisha, mwandishi wetu anaongeza.

Mkasa mzito

Mamia ya vikosi vya zima moto na wanajeshi vikisaidiwa kwa helikopta na ndege vimekuwa vikidondosha maji toka angani kuzima moto, lakini moto huo ulikuwa mkubwa kupindukia kuweza kudhibiti, mwandishi wetu anasema.

Gavana wa Athens Yiannis Sgouros ameiambia televisheni ya Ugiriki kuwa zaidi ya akari 30,000 za ardhi zimeteketezwa, katika kile anachokielezea kama ni ''maangamizi ya mazingira.''

Wakati wakazi wengi katika maeneo yaliyotishiwa na moto huo walifuata maelekezo ya kuhama, wengine walibaki wakijaribu kulinda nyumba zao.

Moto huo umesababisha moshi mzito katika anga la Athens.

Venezuela repeats at Miss Universe contest.

Dayana Mendoz

Miss Venezuela Stefania Fernandez, center, reacts as she is named Miss Universe 2009 next to Miss Universe 2008 Dayana Mendoza, also of Venezuela, right, at the end the Miss Universe beauty pageant in Nassau, Bahamas, Sunday, Aug. 23, 2009. Miss Dominican Republic Ada Aimee De la Cruz, left, was first runner up.

Sunday, August 23, 2009

Century man: Rooney afunga goli lake la 100 Man U walipomchapa mtu 5-0!!


Wayne Rooney amefunga goli lake la 100 akiwa na Man U kwenye mechi iliyowapa nguvu mpya, ari mpya na kelele mpwa mashabiki wa timu hiyo baada ya mwanzo mbaya na kufungwa na wiki iliyopita. Manchester United jana aliwafunga Wigan bila huruma bao 5-0 mabao ambayo yalifungwa kipindi cha pili.

Katika mchezo wa jana mabao wawili ya Rooney yalimuwezesha kuwa na magoli 101 katika timu ya Man U.

Owen ndiye aliyefungua karamu ya magoli kwa kupachka bao la kwanza kitokea benchi.

Dimitar Berbatov alifunga bao la pili na la mwisho lilifungwa na Nani.

Saturday, August 22, 2009

Liverpool wamsaini Mlinzi Kyrgiakos.

Klabu ya Liverpool imekamilisha taratibu za kumsaini Beki wa Kimataifa wa Ugiriki Sotirios Kyrgiakos kutoka AEK Athens kwa ada ya Pauni Milioni 2.Kyrgiakos, miaka 30, anaecheza kama Sentahafu, aliwahi kuichezea Rangers ya Scotland na amesaini mkataba wa miaka miwili.Wakati huohuo, Beki wa Liverpool, Daniel Agger, atafanyiwa upasuaji wa mgongo na atakuwa nje ya uwanja kwa wiki 6.Adriano arudishwa tena Timu ya BrazilMshambuliaji Adriano alieisusa Inter Milan na kugoma kurudi kwenye Timu hiyo na sasa yuko kwao Brazil akichezea Klabu ya Flamengo, ameitwa tena kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Brazil kitakachocheza na Wapinzani wao wakubwa Argentina Septemba 5 kwenye mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia. Siku 4 baadae Brazil watachuana na Chile kwenye mashindano hayo hayo.Kikosi kamili:Makipa: Julio Cesar (Inter Milan), Victor (Gremio);Walinzi: Andre Santos (Fenerbahce), Daniel Alves (Barcelona), Maicon (Inter), Filipe (Deportivo La Coruna), Lucio (Inter), Luisao (Benfica), Miranda (Sao Paulo), Juan (AS Roma);Viungo: Elano (Galatasaray), Felipe Melo (Juventus), Gilberto Silva (Panathinaikos), Josue (VfL Wolfsburg), Ramires (Benfica), Julio Baptista (AS Roma), Kaka (Real Madrid), Lucas (Liverpool);Washambuliaji: Luis Fabiano (Sevilla), Nilmar (Villarreal), Robinho (Manchester City), Adriano (Flamengo)

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ndo umeanza, blog hii yapenda kuwatakia mfungo mwema wa mwezi huu mtukufu na pia kuwaasa wale wote wanaofunga kuwa kufuata mafundisho ya Quran Tukufu kuhusu mwezi huu. Tunasema Ramadan Kareem.wa Ramadhani ndo umeanza, blog hii yapenda kuwatakia mfungo mwema wa mwezi huu mtukufu na pia kuwaasa wale wote wanaofunga kuwa kufuata mafundisho ya Quran Tukufu kuhusu mwezi huu. Tunasema Ramadan Kareem.

Friday, August 21, 2009

EUROPA LEAGUE

EUROPA LEAGUE: Everton na Fulham zapeta mechi ya kwanza nyumbani, Villa yapigwa kimoja ugenini!!!
Kwenye mechi za kwanza za mchujo wa kuwania kuingia kwenye Makundi ya EUROPA LEAGUE Klabu za England Aston Villa, Everton na Fulham, zilizomaliza LIGI KUU England zikiwa nafasi za 5, 6 na 7 na hivyo kupata nafasi kucheza Ulaya, leo zilitupa karata zao na ni Aston Villa pekee waliocheza ugenini walifungwa bao 1-0 na Rapid Vienna ya Austria huku Everton na Fulham zikipata ushindi mnono kwao.
Everton waliibamiza Sigma Olomouc ya Urusi kwa mabao 4-0 mawili mguuni kwa Luis Saha na mengine mawili toka kwa Chipukizi Jack Rodwell.
Fulham waliinyuka Amkar Perm ya Urusi 3-1 kwa mabao ya Jonhson, Dempsey na Zamora.
Marudiano ya mechi hizi ni wiki ijayo.
Matokeo mengine ni:
Ajax 2 Bratislava 0
CSKA Sofia 0 Dinamo Moscow 0
FC Twente 3 FK Qabarag 1
Guingamp 1 Hamburg 5
MFK Kosice 3 Roma 3.

EUROPA LEAGUE

EUROPA LEAGUE: Everton na Fulham zapeta mechi ya kwanza nyumbani, Villa yapigwa kimoja ugenini!!!
Kwenye mechi za kwanza za mchujo wa kuwania kuingia kwenye Makundi ya EUROPA LEAGUE Klabu za England Aston Villa, Everton na Fulham, zilizomaliza LIGI KUU England zikiwa nafasi za 5, 6 na 7 na hivyo kupata nafasi kucheza Ulaya, leo zilitupa karata zao na ni Aston Villa pekee waliocheza ugenini walifungwa bao 1-0 na Rapid Vienna ya Austria huku Everton na Fulham zikipata ushindi mnono kwao.
Everton waliibamiza Sigma Olomouc ya Urusi kwa mabao 4-0 mawili mguuni kwa Luis Saha na mengine mawili toka kwa Chipukizi Jack Rodwell.
Fulham waliinyuka Amkar Perm ya Urusi 3-1 kwa mabao ya Jonhson, Dempsey na Zamora.
Marudiano ya mechi hizi ni wiki ijayo.
Matokeo mengine ni:
Ajax 2 Bratislava 0
CSKA Sofia 0 Dinamo Moscow 0
FC Twente 3 FK Qabarag 1
Guingamp 1 Hamburg 5
MFK Kosice 3 Roma 3

Lampard: "Ni Messi tu anaweza kumbadili Ronaldo!"

Kiungo wa Chelsea Franck Lampard amesema Manchester United hawawezi kupata mbadala wa Cristiano Ronalndo labda wamchukue Messi.
Hata hivyo Lampard amesema anaamini pengo la Ronaldo litazibwa kwa Meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson kuifanya Timu hiyo icheze "kitimu" badala ya kutegemea mtu mmoja na hivyo amekiri Man U itakuwa tishio.
Rio nje mwezi!!
Taarifa zinasema Beki kigogo wa Manchester United, Rio Ferdinand, atakuwa nje ya uwanja mwezi mzima baada ya kuumia musuli pajani mazoezini.
Hivyo Ferdinand ataikosa mechi ya Jumamosi hii dhidi ya Wigan na Jumamosi ijayo dhidi ya Arsenal.

Thursday, August 20, 2009

Nelson Mandela Bay ready for 2010!!

In the city's colourful promotional brochure, Nelson Mandela Bay/Port Elizabeth boasts of being the "best tourist destination" in South Africa. After a short tour around the city, it is not hard to see why such a bold claim has emblazoned across the booklet's front cover.
Situated in the Eastern Cape Province, where some of the country's most celebrated figures hail from, there are many compelling reasons why Nelson Mandela Bay/ Port Elizabeth should be an essential stop for tourists during next year's FIFA World Cup.
"We believe the Nelson Mandela Bay will be one of the biggest tourist attractions during the World Cup," Nelson Mandela Bay spokesperson, Roland Williams told FIFA.com. "Our goal is to market and position the city as a destination of choice far beyond 2010. We have worked very hard and one can see that our infrastructure is one of the best in the country."
The warm beaches, the wildlife, the breathtaking views and the natural vegetation on view as you drive through this vast province go towards making a trip to the south-eastern part of the country a must. The Eastern Cape is home to Nelson Mandela, an iconic figure in South Africa and throughout the world. It has also given birth to the likes of another former South African president, Thabo Mbeki, as well as Steve Biko, the architect of Black Consciousness in South Africa, Govan Mbeki, Oliver Tambo, Walter Sisulu and many others.
Nelson Mandela Bay/Port Elizabeth is also the birthplace of Blackburn Rovers and Bafana Bafana winger, Elrio van Heerden. Currently, the city does not have a top flight outfit following the sudden relegation of Bay United from the elite league last season. However, some of the country's major teams continue to use the city for matches.
Recently, Nelson Mandela Bay launched three Visitor Information Centres (VICs) to ensure tourists arriving in the city for the 2010 FIFA World Cup™ receive the best advice and information. The three centres are based at the Port Elizabeth Airport, the lighthouse facility at the Donkin Reserve and the Boardwalk Casino and Entertainment World. These one-stop shops will supply tourists with information on a wide range of services, including reservations, accommodation, tours, vehicle hire, entertainment, adventure and travel tips. Visitors to the centre will also be able to make use of user-friendly touch screens linked to central database of tourism products on offer and the advertisements of local businesses.
New StadiumTwo months after its completion, the state-of-the-art Nelson Mandela Bay Stadium has already passed two major tests in its quest to be ready for the FIFA World Cup.
The stadium achieved a milestone when it became the first newly-built South Africa 2010 venue to be completed - a full 12 months before the world's greatest showpiece descends on the African continent for the first time ever.
The Nelson Mandela Bay Stadium recently hosted two major events: the British Lions Tour and the country's biggest football encounter popularly known as the Soweto Derby between historical arch-rivals Orlando Pirates and Kaizer Chiefs.
"It is clear for everyone to see that the Nelson Mandela Bay is ready," Williams added. "We managed to complete our stadium more than a year before the event; that on its own should say something to those who still believe we won't be able to successfully host this event."
The Nelson Mandela Bay Stadium will host group games during the 64-match event next year. The stadium will also be the venue for the third and fourth place play.

Wednesday, August 19, 2009

Arsenal ushindi tu.



UEFA CHAMPIONS LEAGUE: Arsenal yaipiga Celtic 2-0 nyumbani kwao!!
Arsenal jana walianza vyema harakati zao za kutaka kuingia hatua ya Makundi ya UEFA Champions League baada ya kuibugiza Celtic ya Scotland hukohuko kwao Uwanjani Parkhead kwa mabao 2-0.
Timu hizi zitarudiana wiki ijayo Jumanne Emirates Stadium nyumbani kwa Arsenal.
Matokeo mechi nyingine za UEFA CHAMPIONS LEAGUE zilizochezwa jana ni: [kwenye mabano ni Nchi Timu zinazotoka]
FC Sheriff Tiraspol [Moldova] 0 Olympiacos [Greece] 2
Celtic [Scotland] 0 Arsenal [England] 2
Poli Aek Timisoara [Romania] 0 VfB Stuttgart [Germany] 2
FC Kobehavn [Denmark] 1 APOEL Nicosia FC [Cyprus] 0
Sporting Lisbon [Portugal] 2 Fiorentina [Italy] 2

LIGI KUU ENGLAND: Chelsea wachanja mbuga!
Jana Chelsea wameendeleza wimbi lao la ushindi baada ya kushinda ugenini walipoipiga Sunderland mabao 3-1 mabao yote matatu yakifungwa kipindi cha pili baada ya Sunderland kuongoza kwa bao lililofungwa na Darren Bent hadi mapumziko.
Mabao ya Chelsea yalifungwa na Ballack, Lampard [penalti] na Deco.
Katika mechi nyingine za LIGI KUU, Wigan wakiwa nyumbani walipachikwa kimoja na Wolverhampton timu iliyopanda Daraja msimu huu.
Mechi za leo LIGI KUU ni: [saa za bongo]
-SAA 3 DAK 45 usiku
Birmingham v Portsmouth
Burnley v Manchester United
Hull City v Tottenham
-SAA 5 usiku
Liverpool v Stoke City
-Kipa wa zamani wa Arsenal kustaafu soka!!!
Jens Lehman, Kipa wa zamani wa Arsenal na Timu ya Taifa ya Ujerumani, ambae atafikisha umri wa miaka 40 Novemba mwaka huu, atastaafu kucheza soka mwishoni mwa msimu huu ulioanza majuzi.
Lehman, ambae kwa sasa ni Kipa wa Klabu iliyo Bundesliga VfB Stuttgart, ameidakia Timu ya Ujerumani mara 61 na kucheza Arsenal kati ya 2003 na 2008.
-Wakala wa Vidic akanusha Nemanja kwenda Barca!!!
Paolo Fabbri, Wakala wa Beki mahiri wa Mabingwa Manchester United, Nemanja Vidic, amekanusha taarifa zilizomnukuu yeye na kuzagaa sana leo hii kuwa ametamka Vidic ana nia ya kuhamia Spain Klabuni Barcelona.
Fabbri amesema yeye hakusema hayo ila anachojua ni kuwa Vidic anajisikia raha kuwa na Manchester United.

KWA Ufupiiiii....................................:

-Salgado atua Ewood Park!!!
Michael Salgado, miaka 33, Veterani kutoka Spain, alieichezea Real Madrid kwa muda wa miaka 10 na kuiwezesha kutwaa Ubingwa wa Ulaya mara mbili na La Liga mara nne, amesaini mkataba wa miaka miwili na Klabu ya Blackburn Rovers inayoongozwa na Sam Allardyce anaesifika kwa kuwachota Wachezaji Wakongwe na kuwaibua upya kama alivyofanya na akina Jay Jay Okocha.
Salgado, alieiwakilisha Timu ya Taifa ya Spain mara 53, ametemwa na Real Madrid kabla msimu huu kuanza.

Omarion – I Get It In (Feat Lil Wayne) [Full/CDQ]

We finally have the full CDQ version of this record! It is Omarion featuring the best rapper alive, Lil Wayne collaborating together to make a hot track called “I Get It In“. You can listen and download the song below.

Behind The Scenes Of Playaz Circle’s, “I Cant Remember,” ft. Bobby Valentino

Tuesday, August 18, 2009

CHELSEA SIGN NEMANJA MATIC


Chelsea Football Club is delighted to announce the signing of midfielder Nemanja Matic on a four-year contract.

The 21-year-old joins us from Slovak side MFK Kosice and is highly regarded around Europe as a talent to look out for in the future.

Matic already has two full Serbia caps, playing alongside Branislav Ivanovic, and was at the Under 21 European Championships in Sweden this summer, although a broken metatarsal ended his tournament in the first game against Italy.

That injury means he will be ruled out for a number of weeks yet, although he is recovering well, and he is delighted to be a Chelsea player.

'I know a lot about Chelsea, I have been following them,' he said.

'I play together with Branislav in the national team and have spoken to him about Chelsea. The first time when I met him to play in the national team I asked a couple of questions,' Matic added.

He may be a relative unknown to Blues fans, so chelseafc.com asked the player to say a few words about himself.

'I am a solid midfield player, I have a lot to offer and for sure to progress and I will show everyone why I am at Chelsea,' he began.

'I am a central-midfielder, and I know I am not well known but I have physical power and I am quite a technical, left-footed player.

'Since the age of 18 I have been at Kosice, and before that I had played in the youth team of Red Star Belgrade.'

Matic, who is 6ft 4ins tall and also holds a Slovak passport, has been heavily trailed by other Premier League clubs, and actually spent some time on trial at Middlesbrough in January.

'I was there in the winter, when I came it was winter in the north of England so it was not very nice, but the squad was okay and I liked it,' he said.

Hopefully London will be a more hospitable destination, and while Matic does not yet speak English, having Ivanovic alongside, as well as other eastern European influences Andriy Shevchenko and Yuri Zhirkov, he is sure to settle quickly.

Chelsea Football Club is delighted to announce the signing of midfielder Nemanja Matic on a four-year contract.

The 21-year-old joins us from Slovak side MFK Kosice and is highly regarded around Europe as a talent to look out for in the future.

Matic already has two full Serbia caps, playing alongside Branislav Ivanovic, and was at the Under 21 European Championships in Sweden this summer, although a broken metatarsal ended his tournament in the first game against Italy.

That injury means he will be ruled out for a number of weeks yet, although he is recovering well, and he is delighted to be a Chelsea player.

'I know a lot about Chelsea, I have been following them,' he said.

'I play together with Branislav in the national team and have spoken to him about Chelsea. The first time when I met him to play in the national team I asked a couple of questions,' Matic added.

He may be a relative unknown to Blues fans, so chelseafc.com asked the player to say a few words about himself.

'I am a solid midfield player, I have a lot to offer and for sure to progress and I will show everyone why I am at Chelsea,' he began.

'I am a central-midfielder, and I know I am not well known but I have physical power and I am quite a technical, left-footed player.

'Since the age of 18 I have been at Kosice, and before that I had played in the youth team of Red Star Belgrade.'

Matic, who is 6ft 4ins tall and also holds a Slovak passport, has been heavily trailed by other Premier League clubs, and actually spent some time on trial at Middlesbrough in January.

'I was there in the winter, when I came it was winter in the north of England so it was not very nice, but the squad was okay and I liked it,' he said.

Hopefully London will be a more hospitable destination, and while Matic does not yet speak English, having Ivanovic alongside, as well as other eastern European influences Andriy Shevchenko and Yuri Zhirkov, he is sure to settle quickly.

Chelsea Football Club is delighted to announce the signing of midfielder Nemanja Matic on a four-year contract.

The 21-year-old joins us from Slovak side MFK Kosice and is highly regarded around Europe as a talent to look out for in the future.

Matic already has two full Serbia caps, playing alongside Branislav Ivanovic, and was at the Under 21 European Championships in Sweden this summer, although a broken metatarsal ended his tournament in the first game against Italy.

That injury means he will be ruled out for a number of weeks yet, although he is recovering well, and he is delighted to be a Chelsea player.

'I know a lot about Chelsea, I have been following them,' he said.

'I play together with Branislav in the national team and have spoken to him about Chelsea. The first time when I met him to play in the national team I asked a couple of questions,' Matic added.

He may be a relative unknown to Blues fans, so chelseafc.com asked the player to say a few words about himself.

'I am a solid midfield player, I have a lot to offer and for sure to progress and I will show everyone why I am at Chelsea,' he began.

'I am a central-midfielder, and I know I am not well known but I have physical power and I am quite a technical, left-footed player.

'Since the age of 18 I have been at Kosice, and before that I had played in the youth team of Red Star Belgrade.'

Matic, who is 6ft 4ins tall and also holds a Slovak passport, has been heavily trailed by other Premier League clubs, and actually spent some time on trial at Middlesbrough in January.

'I was there in the winter, when I came it was winter in the north of England so it was not very nice, but the squad was okay and I liked it,' he said.

Hopefully London will be a more hospitable destination, and while Matic does not yet speak English, having Ivanovic alongside, as well as other eastern European influences Andriy Shevchenko and Yuri Zhirkov, he is sure to settle quickly.

Celtic v Arsenal - Paddy Power Preview

After the resounding win at Goodison Park on Saturday, Arsenal find themselves on the road again for another ‘big’ game. This time it's Parkhead in the all-important Champions League Play-off Round, the prize at stake for both clubs is huge and any advantage the Gunners can bring back to the Emirates for the second leg will most likely decide the outcome of this tie.

Paddy Power expect Arsenal to make it through to the Group Stages (2/9) but no team in Europe has gone to Celtic and come away with much, it has been their away form that has let them down. How Arsenal cope with the famous atmosphere will be interesting, the crowd there really does give Celtic a 12th man.

14/5 Celtic Win
23/10 Draw
Evens Arsenal Win


After his man of the match display at the weekend Cesc Fabregas is the subject of Paddy Power’s Money-Back Special for the first leg. If Fabregas scores at anytime in 90 minutes Paddy Power will refund all losing 1st/last goalscorer, correct score and scorecast bets on the match.

Of course Arsenal will take confidence from their opening day win but Champions League nights at Celtic Park are very different from a Premier League game at Goodison Park. Celtic know how important this competition is to their fans and will be in the faces of the Arsenal team and will surely not give them the amount of free space Everton did. This season Arsenal fans can look forward to Andrey Arshavin playing in Europe for them and hope that he’ll see them into the next stages of this competition, he’s 7/1 to score the first goal at Celtic Park and 17/1 to score 2 or more goals. Eduardo marked his first Premier League appearance since returning from injury with a goal and he’s 6/1 to score the first and the same price to complete the scoring again.

First Scorer
6/1 Van Persie
6/1 Eduardo
7/1 Arshavin
15/2 Bendtner
11/1 Fabregas
18/1 Diaby
25/1 Denilson



It’s bound to be a tight affair and Arsène Wenger would surely take a score-draw before bringing Celtic down to the Emirates for the second leg. Away goals are crucial in these two-legged Champions League games and should Arsenal get one of these then the balance of power will be firmly in their favour.

Correct Score
11/2 Arsenal 1-0
7/1 Arsenal 2-0
8/1 Arsenal 2-1
14/1 Arsenal 3-0
14/1 Arsenal 3-1

17/2 0-0
5/1 1-1
12/1 2-2

Paddy Power will be offering in-running betting on this match along with every other Arsenal match this season, where you can bet after the match has started and you’ve got a better feeling of how the game is going to play out.

Wenger - Nordtveit needs Nurnberg spell

Arsène Wenger believes Havard Nordtveit’s year-long loan to Nurnberg could be the making of him.

After captaining the Reserve team following his arrival in north London two years ago, the Norwegian youth international spent time on-loan at UD Salamanca and Lillestrom last term.

And, earlier this month, Nordtveit agreed to join Bundesliga newcomers Nurnberg for the 2009/10 campaign.

Wenger has kept a close eye on the 19-year-old’s progress since his arrival at Emirates Stadium and the manager hopes his potential will be realised during his time in Germany.

“To play here, I believe he needs at least one year in the Bundesliga,” the manager said at his press conference last week.

“It will be very interesting to see how he has improved. He is a player with good mental strength, is an intelligent boy and very mature.

“I believe he will be a very good player and whenever we check him, he played very well.”


Illuminata anadatisha wallah!!


Illuminata

Ubalozi wa Marekani wamkaribisha Hasheem Thabeet Nyumbani.

Hasheem akisaini kwenye mmoja wa mipira ambayo imetolewa na ubalozi wa Marekani kama msaada kwa timu ya vijana, anayeangalia ni Karen Grissete.

Monday, August 17, 2009

Jumamosi, 22 Agosti 2009

Jumamosi ya tarehe 22 mwezi Agosti 2009, tutakuletea moja kwa moja matangazo ya mechi ya ligi kuu ya Premier ya England, kati ya Arsenal na Portsmouth. Mechi hiyo itaanza saa 1700 za Afrika Mashariki,

WATU WAFURIKA KUSIKILIZA HUKUMU YA ZOMBE NA WENZAKE!!



Umati wa watu wakiwa wamefurika katika mahakama kuu ya Tanzania ili kusikiliza hukumu ya Abdalla Zombe ambayo inatolewa leo mahakamani hapo kama unavyoona vipaza sauti vimefungwa katika mahakama hiyo ili kila mtu atakaye hudhuria mahakamani hapo hata kama hatakuwa katika chumba inaposomwa hukumu hiyo asikie wakati itakapotolewa.

Zombe na wenzie kuachiwa uhuru...!!!

Abdallah Zombe

Jaji Salum Masatti wa Mahakama Kuu, leo mchana amemwachia huru mkuu wa zamani wa upelelezi mkoani Dar es Salaam, Abdallah Zombe na polisi wengine wanane ambao kwa pamoja walikuwa wanakabliwa na mashtaka ya kuwaua kwa makusudi wafanyabiashara ya madini kutoka, Mahenge mkoa wa.Morogoro na dereva wa teksi wa mkazi wa Dar es Salaam.

Katika kesi hiyo, ambayo ilikuwa ikivuta watu wengi kwenye chumba cha Mahakama Kuu jijini Dar es salaam, Jaji Masatti amewaachia huru washtakiwa hao baada ya kesi hiyo kuunguruma toka ilipoanza kusikilizwa kwa mara ya kwanza Mei 28, 2008.

Zombe na wenzake walikuwa wanatuhumiwa kuwaua kwa kukusudia Sabinus Chigumbi, maarufu kama Jongo na ndugu yake Ephrahim Chigumbi na Mathias Lunkombe ambao ni wafanyabiashara wa Mahenge. Mwingine ni dereva teksi wa Manzese jijini Dar es salaam, Juma Ndugu.

Inadaiwa kuwa watu hao waliuawa kwa kupigwa risasi kwenye msitu wa Pande ulioko Mbezi Luisi wilayani Kinondoni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Watu hao walikamatwa na polisi kwa madai ya kuhusika kwenye tukio la ujambazi jijini Dar es salaam, lakini gazeti hili likaripoti baadaye kuwa waliouawa hawakuwa majambazi baada ya kuzungumza na watu wa sehemu mbalimbali, zikiwemo Mahenge na Sinza.

Taarifa hiyo ilisababisha Rais Jakaya Kikwete kuunda tume iliyoongozwa na Jaji Kipenka Mussa ambayo uchunguzi wake ulisababisha kutiwa hatiani kwa watu hao na kufunguliwa kesi.

Hukumu ya leo ya Jaji Masatti inaweza kuamsha vilio au vicheko atakapoamua kuwatia hatiani askari hao wa Jeshi la Polisi au kuwaachia huru baada ya kujenga msimamo kutokana na ushahidi uliowasilishwa na pande zote pamoja na maoni ya wazee wa baraza.

Lameck Mlacha, msajili namba mbili wa wilaya wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, aliiambia Mwananchi kuwa siku ya hukumu mahakama itaweka vipaza sauti ili wananchi wanaotarajiwa kufurika mahakamani hapo, kusikiliza hukumu hiyo vizuri.

Pia alisema ili kuhakikisha kuwa wananchi wote wanapata ujumbe kamili na kuuelewa, hukumu itasomwa kwa lugha ya Kiswahili.

Hali ya ulinzi pia ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kuimarishwa mahakamani hapo ili kuhakikisha kuwa mambo yote yanakwenda sawa na kwa amani bila vurugu yoyote.

Awali washtakiwa kwenye kesi hiyo walikuwa 12, lakini baada ya kumalizika kwa hatua ya awali, washtakiwa tisa walionekana wana kesi ya kujibu wakati watatu waliachiawa huru.

Walioachiwa huru ni aliyekuwa mshtakiwa wa sita, Koplo Morris Nyangelela, Koplo Felix Cedrick, aliyekuwa mshtakiwa wa nane na PC Noel Leonard ambaye alikuwa mshtakiwa wa nne.

Hadi sasa Saadi Alawi, ambaye ameelezwa kuwa ndiye aliyetekeleza mauaji hayo kwa kuwapiga risasi watu hao, hajakamatwa.

Zombe, ambaye ni mshtakiwa wa kwanza na ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya Kamanda wa Polisi wa Dar es salaam wakati wa mauaji hayo, alipata ahueni baada ya kusikiliza maoni ya Wazee wa Baraza.

Katika maoni waliyotoa Juni 26, wazee hao walieleza kuwa upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha mashtaka bila kuacha mashaka dhidi yake.

Wazee hao walidai kuwa kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa na mashahidi 37 upande wa mashtaka, hakuna shahidi hata mmoja aliyeweza kuithibitishia mahakama kuhusika kwa Zombe katika mauaji ya wafanyabiashara hao kwa kuwa hakuna shahidi hata mmoja aliyeieleza mahakama kuwa alimuona Zombe katika eneo la mauaji au hata walikokamatwa Sinza.

"Ili mtu atiwe hatiani kwa kosa kubwa kama hili la mauaji ni lazima upande wa mashtaka uthibitishe bila kuacha shaka kuwa mshtakiwa huyo alifanya kosa hilo. Upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha hatia ya mauaji kwa mshtakiwa wa kwanza" alisema Mzee Kimolo na kuungwa mkono na wenzake.

"Mheshimiwa Jaji, maoni yangu na mapendekezo yangu ni kwamba mahakama yako tukufu imuone mshtakiwa wa kwanza kuwa hana hatia na imwachie huru."Lakini wakati wa kufanya majumuisho Juni 25, upande wa mashtaka uliiomba mahakama imtie hatiani afisa huyo mwandamizi wa polisi kwa kushiriki kosa baada ya kosa (accessory after the facts).

"Kama mahakama itaona kuwa mshtakiwa wa kwanza (Zombe) na wa 13 (Gwabisabi) hawakushiriki katika mauaji kwa kuwa ushahidi ulioko mahakamani hawakwenda Pande, basi iwatie hatiani kwa kosa la Accessory after the facts chini ya kifungu cha 213,387(i) na 388 cha Penal Code," alidai Mtaki.

Mtaki aliileza mahakama kuwa kila kesi huamuliwa kwa mazingira yake na kuitaka mahakama kuzingatia mazingira ya kesi hiyo, ambayo alisema kuwa washtakiwa wote ni askari polisi, baadhi yao wakiwa ni maofisa na wapelelezi walio na uzoefu.

"Kwa hali hiyo shauri hili linapaswa lipewe mtazamo wa kipekee kabisa kwa kuzingatia ushahidi wa pande zote na hatimaye mahakama yako tukufu iweze kufikia uamuzi wa haki ambao sisi tunaamini kuwa washtakiwa wote wana hatia ya mashtaka haya," alisisitiza Mtaki.

Sheria inaweza kumtia hatiani mshtakiwa iwapo anabainika kushiriki kosa, kushiriki kosa baada ya kosa na kushiriki kabla ya kosa.Lakini wakati akitoa mwongozo, Jaji Masatti alisema ingawa sheria inaweza kumtia mtu hatiani kwa kushiriki kosa baada ya kosa, hilo linaweza kutendeka iwapo alishtakiwa kwa kosa hilo.

Wote tisa wameshtakiwa kwa kosa kubwa la mauaji, na wala si kula njama za kuua, jambo ambalo linafanya Zombe awe anatarajiwa kuachiwa huru iwapo hataonekana na hatia ya kushiriki kuua.

Kesi hiyo ilianza kusikilizwa rasmi katika Mahakama hiyo mbele ya Jaji Masatti wakati huo akiwa Jaji Kiongozi Mei 26 mwaka 2006, na jumla ya mashahidi 37 walitoa ushahidi mahakamani hapo kabla ya washtakiwa kusimama kizimbani na kujitetea.

Washtakiwa wengine waliobakia katika kesi hiyo baada ya watatu kuachiwa na mmoja, Koplo Rashid Lema kufariki dunia Aprili 3 mwaka huu, ni SP Christopher Bageni, ASP Ahmed Makelle, WP 4593 PC Jane Andrew, CPL Emmanuel Mabula, PC Michael Sonza, CPL Ebeneth Saro, C/CPL Rajab Bakari na D/CPL Festus Gwabisabi.

Saturday, August 15, 2009

Revival Meeting , Dallas Texas

weekend njema wadau!!!!!

visigino kwa ajili ya.......

Captive Egyptians defeat Somali pirates, sail free


MOGADISHU, Somalia – Using machetes and guns, the men fought a desperate battle to take control of two boats off the Somali coast. But this time, it wasn't pirates who launched the attack — it was Egyptian fishermen who had been held hostage for four months and who killed two brigands and took others captive as they regained control of their vessels

Friday, August 14, 2009

TMH KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA KITUO!!

Mkurugenzi wa Tanzania Mitindo House TMH Khadija Mwanamboka akionyesha Mchoro wa ramani ya Kituo cha watoto yatima wanaolelewa na shirika hilo, wakati alipoongea na wanahabari katika ukumbi wa idara ya habari maelezo, kuhusu hafla ya uchangiaji wa ujenzi wa kituo hicho itakayofanyika jumamosi Agosti 22 mwaka huu kwenye ukumbi wa Greek Club jijini Dar es salaam na kujumuisha makampuni mablimbali makazi ya kituo hicho kwa sasa yako Magomeni mapipa jijini Dar na kituo hicho kinatarajiwa kujengwa Kigamboni.

Wakunga wataziweza hizo compyuta?


Baadhi ya wakunga kutoka vyuo vya afya ambalimbali vilivyopatiwa kompyuta na watu wa Marekani wakijaribu vifaa hivyo wakati wakipatiwa mafunzo ya kutumia vifaa hivyo kwa ajili ya vyuo 63 nchini. Picha ya Ubalozi wa Marekani.

Mzee Kingunge Amepwelea-Kanisa Katoliki

Pichani Mzee Kingunge Ngombale Mwiru
MALUIMBANO kuhusu waraka wa Kanisa Katoliki (RC)yanaendelea kuwa makali, baada ya waumini wa kanisa hilo kumuelezea mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru kuwa amepwelea.Mbali na kauli hiyo iliyotolewa jana na Baraza la Walei,Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Valentino Mokiwa amemtaka Kingunge kuliomba radhi kanisa badala ya kuombwa radhi kama alivyotaka.

Tuesday, August 11, 2009

Is Miss Pooja's next album, "Romantic Jatt", indicative of the kind of man she's looking for? Well the Bhangra songstress hasn't spoken about how she picked the title of her album just yet, but she has left fans wondering if that's what she is searching for in a partner. Aside from the title there is quite a bit of buzz around the album in general being that this is her next major project. With all the hype around the Punjabi beauty, Bhangra listeners have high expectations from her. Hopefully this album will showcase her talent.

"Romantic Jatt", is set to be released on August 21st and Miss Pooja has teamed up with some of Urban Desi's and Bhangra's best to work on this project. Rishi Rich, Tigerstyle, Kam Frantic, Aman Hayer, Punjabi Lab, Sunil Kalyan, & Tarli Digital have contributed to this production. The album maintains the traditional Bhangra vibe through Miss Pooja's rich Punjabi vocals and at the same time does a great job of fusing in other genres of music. An example of this is the song, "Romantic Jatt," which is a Bhangra track with a dancehall flavor.

Produced by Tigerstyle "Romantic Jatt" is the title track and features dancehall artist Roach Killa. The song has been playlisted by the BBC Asian Network and has been receiving heavy rotation.

Along with the new album there have been talks about a new look for Miss Pooja. The Bhangra star may have added more of a western flair to her style as seen in the photo above. Well, change is always hard especially when your fans love you for the way you are, but people do change and hopefully Miss Pooja's fans will continue to grow with her. Stay tuned for news about her upcoming album, and if you haven't heard the title track on the album yet, check it out below.

Monday, August 10, 2009

Lil Wayne Got A Million In Cash For His 26th Birthday From Baby » lw1


Baby suprised Lil Wayne at his 26th birthday party with a million dollars in cash in a Louis Vuitton briefcase. Reports say Lil Wayne was almost in tears(what man wouldn’t be?). Damn I will settle for a duffel bag with a 100k.

The Worst Career Moves in Hip-Hop History

Pesky decisions swarm us daily in life, like a troop of blind killer bees. Most of us just swat them with the slipshod petulance of a dog’s tail. But our hip-hop heroes know better, because when it comes to running a career into the ground or digging a hole bigger than the U.S. deficit, no one knows better than rappers. Here are 13 hip-hop artists to meditate on next time you run into an occupational obstacle, for they are the ones who made modern rap’s worst career moves.
Rizoh

Horse Shoe Gang “Crazy Niggas” with Royce da 5′9″ on intro/outro

It’s the beginning of the week and Crooked’s brothers Horse Shoe Gang are back again with another freestyle called “Crazy Niggas” .This time around they murdered the eminem track “hello” off Relapse.Royce da 5′9″ was in the studio when Horse Shoe Gang recorded it so he got on the intro and outro and gave his Detroit stamp of approval for the Horse Shoe Gang.I also attached a new updated photo of the group if you can please use this one from now on. Enjoy!

usher

usher host vegas in mag's issue party

jay-z & oprah

jay-z &oprah in marcy housing project

mrembo wa wiki!!

Sunday, August 9, 2009

Hillary Clinton aionya Eritrea


Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Bi Hillary Clinton ameonya kuwa Marekani itachukua hatua kali dhidi ya Eritrea iwapo haitaacha kuwasaidia wapiganaji wa Somalia.

Bi Clinton alisema baada ya kufanya mazungumzo na rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed mjini Nairobi Kenya, kuwa vitendo vya Eritrea ''havikubaliki''.

Amesema pia kuwa Marekani itaongeza nguvu kuisadaia serikali ya umoja ya Somalia.

Eritrea inakanusha kukisadia kikundi cha wapiganaji cha Somalia al-Shabab ambao wanajaribu kuiondoa serikali ya Somalia.

Kundi la al-Shabab linaongezeka nguvu na wasomali laki mbili na hamsini elfu wameyakimbia makazi yao kufuatia mapigano kati ya wapiganaji hao na majeshi ya serikali katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

Akiwa katika siku ya pili ya ziara yake barani Afrika, Bi Clinton alikuwa anafanya mazungumzo na kiongozi anayeungwa mkono na Umoja wa Mataifa, muislamu mwenye msimamo wa kati.

Kwa hakika iwapo Al-Shabab wanapata hifadhi nchini Somalia ambapo itakaribisha al-Qaeda na vitendo vya kigaidi, basi itakuwa ni tishio kwa Marekani.

Katika mkutano wa pamoja na rais wa Somalia, Bi Clinton alisema: ''Ni kipindi kirefu kimepita sasa ambapo Eritrea inapaswa kuacha na kukoma kukisaidia kikundi cha al-Shabab na kuanza kuwa msaada na sio kuvuruga amani ya nchi jirani.

''Tunaweka bayana kabisa kuwa vitendo vyao havikubaliki''. Tunakusudia kuchukua hatua kali iwapo vitendo hivyo havitakoma.''

Aliongeza: ''Hakuna shaka kuwa al-Shabab wanataka kudhibiti Somalia na kuitumia kama kituo ambacho watakuwa wakiendesha shughuli zao na hata kujipenyeza nchi jirani na kisha kufanya mashambulio dhidi ya nchi za mbali na karibu.''

Bi Clinton amesema iwapo al-Shabab watapata hifadhi nchini Somalia ''itakuwa ni tishio kwa Marekani.''

Marekani imefutilia mbali uamuzi wake wa kutuma majeshi yake kupigana na waasi nchini Somalia.

Eritrea imekuwa ikikanusha mara kwa mara kukisaidia kikundi cha al-Shabab, ikisema kuwa tuhuma hizo ni za kutengenezwa na kitengo cha usalama cha Marekani.

Kabla ya mazungumzo hayo siku ya Alhamis, Bi Clinton aliwakumbuka waathirika wa milipuko ya mabomu ya mwaka 1998 katika balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya, katika sherehe za kuweka mashada ya maua zilizofanyika mjini Nairobi.

Zaidi ya watu 220 waliuawa na wengine 5000 walijeruhiwa katika shambulio hilo la kwanza lililofanywa na al-Qaeda dhidi ya Marekani.

Shirika la habari la AP limemkariri Bi Clinton akisema kuwa eneo hilo la ubalozi linakumbusha kuwa '' tishio la ugaidi ambalo haliheshimu mipaka, rangi, kabila au dini bado lipo, na linalenga kuharibu na kuwanyima watu nafasi ya kufanya maamuzi yao wenyewe na kuendelea kuishi.''

Kuna taarifa kuwa al-Shabab kikundi cha kiislamu chenye kupendelea sheria kali ya kiislamu na kinachohusishwa na al-Qaeda, kinapata msaada kutoka wapiganaji duniani kote.

Mapema wiki hii polisi nchini Australia iliwakamata watu kadhaa na kuwashitaki kwa kupanga kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga mjini Sydney na kusema kuwa watu hao wana uhusiano na al-Shabab.

Mwandishi wa BBC aliyeko Nairobi Will Ross anasema rais wa Somalia anahitaji kila msaada unaopatikana. Vikundi vya kijeshi vinavyounga mkono serikali vinadhibiti sehemu ndogo tu ya makao makuu ya Somalia,Mogadishu.

Anadokeza kuwa ni eneo la hatari sana kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kuweza kuingia Somalia, kwani mapigano bado yanaendelea.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Somalia ameiambia BBC kuwa kitendo cha Marekani kuiunga mkono serikali ya Somalia ni ''jambo la msingi sana.''

''Ni wazi kabisa kuwa watu wa Somalia wamechoka, wamekinaishwa na kuchoshwa na vurugu,''. Alisema.

Marekani inakiri kuwa imetoa msaada wa tani 40 za silaha na risasi kwa vikosi vinavyounga mkono serikali ya Somalia mwaka huu, na kwamba inatarajia kupeleka shehena zaidi, anasema mwandishi wetu. www.bbc.com/swahili

Magaidi wahukumiwa kifo India


Mahakama nchini India imetoa hukumu ya kifo kwa watu watatu waliofanya mashambulio ya mabomu yaliyoua watu 50 mjini Mumbai (bombay) mwaka 2003.

Haneef Sayyed na mkewe Fahmeeda na Ashrat Ansari walipatikana na hatia ya kufanya njama na kuua kwa kukusudia mwezi uliopita.

Milipuko hiyo iliyotokea katika katika eneo la lango kuu la India na katika soko la vito vya dhamani, yalisababisha maafa makubwa na kulitikisa taifa la India.

Wanasemekana kuwa walikuwa wakilipiza kisasi juu ya vifo vya waislamu wakati wa maandamano katika jimbo la Gujarat yaliyotokea mwaka mmoja kabla.

Mamia ya watu wameuawa katika mashambulio kadhaa mjini Mumbai katika miaka ya hivi karibuni.

Watu hao watatu wameonekana kuwa na mahusianao na kikundi cha wapiganaji wa kiisalmu nchini Pakistan, kijulikanacho kama Lashkar-e-Taiba, ambacho wachunguzi wanaamini kilihusika na mashambulio ya Mumbai mwezi Novemba mwaka 2008.

Uhusiano na Pakistan

Katika mahakama maalum inayohusika na kesi za kigaidi, Jaji Puranik aliamuru kwamba watu wote hao watatu waliopatikana na hatia kuwa ni ''lazima wanyongwe hadi kufa''.

Huku wakiwa wamesimama kizimbani watu hao hawakuonyesha kuwa na hisia yoyote wakati hukumu hiyo ikitolewa, mwandishi wa shirika la habari la AFP
anaarifu.

Wanasheria wao wamedokeza kuwa watu hao watakata rufaa juu ya hukumu hiyo ya kifo, ambayo ni mara chache sana kutolewa nchini India, na mara nyingi haitekelezwi au hupunguzwa na rais, shirika hilo linasema.

Mwanasheria wa Haneef Sayyed amesema mteja wake lazima afungwe maisha bila kufikiriwa kupewa msamaha, wakati mwansheria wa Fahmeeda Sayyed amepinga hukumu hiyo ya kifo akisema alikuwa ni mwanamke masikini, asiye na elimu na aliyelazimishwa kufanya uhalifu huo na mumewe.

Mwanasheria wa Ansar Sushan Kunjuramaran hakutoa maombi yoyote sipokuwa Ansar mwenyewe alimwambia jaji kuwa hakubaliani na uamuzi huo wa mahakama.

Mwendesha mashitaka mkuu Ujiwal Nikam amesema uhalifu huo wa watu hao watatu umeonyesha ukatili wa hali ya juu na umesababisha mauaji ya watu wengi wasio na hatia.

''Itakuwa ni kufanyia mzaha mfumo wa sheria na haki iwapo hukumu ya kifo haitatolewa,'' alisema kabla ya hukumu.

Milipuko hiyo ya magari mawili ya mwezi August mwaka 2003 yalileta taharuki katika lango kuu la India na katika soko la Zaveri Bazaar karibu na hekalu la Mumba Devi katika makao makuu ya Mumbai.

Takribani watu 180 walijeruhiwa katika mkasa huo.

Washitakiwa hao watatu wote kutoka Mumbai walifunguliwa mashitaka chini ya Sheria ya Kuzuia Ugaidi ya India ambayo toka wakati huo imetenguliwa.

Watu wengine wawili zaidi Mohammed Ansari na Mohammed Hasan walishitakiwa
lakini waliachiliwa kufuatia marudio ya kesi yao na mahakama maalum mwaka jana.

Washitakiwa hao watuatu walipatikana na hatia ya kupanga milipuko ya mabomu kwa kushirikiana na kundi la Lashkar-e-Taiba.

Kundi la Lashkar linatuhumiwa kufanya mashambulio mengine kadhaa nchini India katika miaka ya hivi karibuni, ikijumuisha ya silaha za bunduki na mabomu mjini Mumbai Novemba mwaka jana.

Hofu ya wapiganaji

Jaji amesema kuwa washitakiwa wote watatu ni wafuasi wa kundi la Lashkar, shitaka ambalo walilikana.

Lashkar ni moja kati ya makundi hatari yanayohofiwa kupigana dhidi ya ngome ya India eneo la Kashmir.

Lilipigwa marufuku nchini Pakistan mwezi Januari mwaka 2002 kufuatia mashambulio ya tarehe 11 mwezi Septemba nchini Marekani.

Hadi wakati huo Lashkar walikuwa wanaweza kufanya shughuli zao kwa uwazi ndani ya Pakistan ikiwemo kachangisha fedha na kuandikisha wafuasi.

Lashkar ilishutumiwa na India kwa mashambulio ya mabomu mjini Delhi mwezi October mwaka 2005 yaliyouwa zaidi ya watu 60 na ya Decemba mwaka 2001 kuvamia bunge la India.

Wachunguzi wa India wanalihusisha kundi hilo na mashambulio ya Mumbai mwezi Novemba mwaka 2008 ambapo watu wenye silaha waliwaua watu wapatao 166 katika mkasa wa siku tatu mfululizo.

Mshambuliaji pekee anayeaminika bado kuwa hai, Mohammad Ajmal Amir Qasab, alikiri kushiriki katika shambulio hilo katika kesi yake nchini India mwezi uliopita.

Naye pia angeweza kuhukumiwa kifo iwapo kukiri kwake kungekubalika na kisha majaji kutoa hukumu ya juu zaidi.

Habari zaidi zinasema kuwa, Pakistani imeomba polisi wa kimataifa kutoa tahadhari kote duniani juu ya watu wapatao 13 kuhusiana na uchunguzi wa mashambulio ya mwaka 2008.